Huna uwezo wa kutoa taarifa. Zaidi sana unaleta uongo kujaribu kulinganisha TZ na Kenya. Kama kwenu kubaya kubaya tu. Huwezi ukatumia uongo kujifariji.
Leta taarifa za ukweli. Kama upo nazo za ukweli wewe leta na mimi naleta zenu.
NAKUPATIA NAFASI YA MWISHO.... JE NYAMA YA BINADAMU INAONJA AJE??Hahahaha... nilikuambia leo utaweka choo kwenye flying toilet... Next time Don't try hating on Kenya, Your place is worse off where humans feed on humans....