Maisha ya mkenya wa kawaida

Maisha ya mkenya wa kawaida

Wanazo working permit mkuu?

Shida ni kula binadamu mwenzako... Mnajifanyaa watu wazuri kumbe ni Kishetanishetani tu kimewajaa.... Nani anafanya hivi isipokuwa nyie wenyewe..
1ab.png
 
Hiyo english yenu sisi hatuna haja nayo tunajivunia Kiswahili, na hicho ndicho kinachowapoteza wa Kenya kupenda majigambo na ligha za wenzenu

Kiswahili chenyewe hamkijui hataa... Na nani kawaambia unaweza kutwang kiswahili... Mnabore hadi yote.
 
Hiyo ndiyo Turkana ndugu yangu. Police na hata rais wa kenya hawezi kanyaga huko. Wanajiendesha maisha yao wenyewe.
Duh!! Watakuwa wana serikali yao kwa Tanzania si rahisi kuona watu wanamiliki bunduki kama kisu,kweli tembea uone mkuu.
 
Wewe zungumza unavyoweza kwa uhuru wako. Lakini usije ukaleta taarifa za uongo tu.
Sasa ngoja nikupatie taarifa za kukuumiza kidogo. Hii ni kwa sababu ya kujipendekeza kwenu
Kwanza ninaanza na Askari wenu wenye viuno kama nyigu:
150402084640-06-kenya-attack-0402-super-169.jpg


Matokeo yake sasa ni kama ifuatavyo:-
jp-somalia2-sfSpan.jpg

BUTCHERED__Amisom_troops_killed_in_Somalia_146386284.jpg


Ushauri, acheni kuifanya wajuaji wakati hamna uwezo. Ona vijana wengi wa kenya wanauawa bila hata sababu ya msingi
Dah inasikitisha saana kazi ya marekani hiyo kaona yeye hawezi chini akamsifia mkenya kidogo, mkenya huyo somalia matokeo yake ndo hayo kila siku wanajeshi wao wanakufa. Inasikitisha sana. Sijui wakenya wanapigana nini somalia.
 
Shida ni kula binadamu mwenzako... Mnajifanyaa watu wazuri kumbe ni Kishetanishetani tu kimewajaa.... Nani anafanya hivi isipokuwa nyie wenyewe..
View attachment 500763
Nimekuona kuanzia thread ilipoanzia hadi tupo ukurasa 23 umengangania hapo hapo tu,hauna jipya kakojoe ukalale au tulia dawa ingie vizuri.
 
Nimekuona kuanzia thread ilipoanzia hadi tupo ukurasa 23 umengangania hapo hapo tu,hauna jipya kakojoe ukalale au tulia dawa ingie vizuri.

TIHAHAHHAAAAA... POLE... YOU CAN DUNGA ENOUGH DAWA AS YOU LIKE BUT THE THING THAT CAN KILL HUMANS FOR FOOD IS THE DEVIL ITSELF. AS LONG AS YOU HAVE KILLED ALBINOS LIKE THAT YOU REMAIN DEMONIC... HIYO INGINE YA POVERTY AND WHAT NOT IS COMMON IN ANY THIRD WORLD COMMUNITY YOURS IS EVEN WORSE. YOU CAN POST PICTURES AND TALK FROM HERE TO THE MOON AND BACK BUT THIS.... CONFIRMS HOW SATANIC YOUR COUNTRY IS NO MATTER WHAT YOU SAY OR DO
alk.jpg

albino_kitandani.jpg
 
KWEKWEKWE... DAIMA HAUNA CHOCHOTE WEWE. TYPICAL TROLL AND HATER. I AM NOT SURPRISED. A BITCH WHO HAS EATEN HUMAN FLESH BEHAVES EXACTLY LIKE YOU. GET A LIFE ANNAEL.
najua unasumbuliwa na nyege wewe,ni siku nyingi hujachezea mche wangu.

anyway next week i'm coming to nairobi just for you my kenyan girlfriend.will send you name of the hotel i will be staying during my 5 days romantic visit.
 
najua unasumbuliwa na nyege wewe,ni siku nyingi hujachezea mche wangu.

anyway next week i'm coming to nairobi just for you my kenyan girlfriend.will send you name of the hotel i will be staying during my 5 days romantic visit.
Achana naye ajufurahishe. Yaani anachekesha sana na kusikitisha.
 
Ila kuna tofauti kubwa Sana ya wakenya wa pwani yaani Mombasa , lamu etc na wale wakenya wa Bara yaani Nakuru, Nairobi etc.
 
Kule sometimes and almost always chai na mkate ni supper mkuu
Nimeishi Nairobi miaka ya 90 ulichoandika ni kweli, kulikuwa na matatuu za route no. 9 ni Kelele tupu. Kama ulivyosema wanayo mazuri ila, Nairobi kunywa chai ya rangi na mkate wa siagi, hii ni tofauti na bongo. Uhuru Park pia ni pazuri.
 
najua unasumbuliwa na nyege wewe,ni siku nyingi hujachezea mche wangu.

anyway next week i'm coming to nairobi just for you my kenyan girlfriend.will send you name of the hotel i will be staying during my 5 days romantic visit.

Sema my sweet girl.. usipatiane vitu... Bure nitakuroga kama vile mnaroga kwa kutumia body parts ya Albino
 
Achana naye ajufurahishe. Yaani anachekesha sana na kusikitisha.

Hata Shetani anaongea kama binadamu?? ? Nyie ndo mnasikitisha cha ajabu. Hujajibu swali hadi wa leo... NYAMA YA BINADAMU INAONJA AJE???
 
Hiyo english yenu sisi hatuna haja nayo tunajivunia Kiswahili, na hicho ndicho kinachowapoteza wa Kenya kupenda majigambo na ligha za wenzenu

myopic thinking, si uvue nguo utembee uchi au matawi kwani nguo ni za kwenu. kiswahili chenyewe kime anzia pwani ya kenya huko mjini wa kale lamu!!!
 
Nilienda Mombasa wakati wa Pasaka. Eneo la Bamburi Bia Za KBL ni Ksh 180 hadi 200 Sawa na Tsh 3960 - 4400: Mbuzi Choma au kukaanga kilo Ksh 700 same na kuku broiler Sawa na Tshs 15400. Matatu trip 50 Bob sawa na aTsh 1100/=. Wenzetu wana hali mbaya.
sasa ulikuwa wataka upewe bia bure ama nini? average beer bottle price yake ni $2 equivalent of Ksh 200. na nini mbaya price ya matatu ikiwa Ksh 50 depending on the distance? plus you get free Wi-fi, Led tv screens on every seat? Btw, i hope you saw Bamburi, one of Mombasa's suburbs and an area you get all the 5Star hotels that can't be unmatched by your pathetic hotels. plus yeah, the biggest public beach too. huko ndio raha yote hupatikana lakini kwa vile ulikuwa hauna pesa, ulihangaika sana na kuteseka. bora ungeenda sabasaba ukaombe pesa kama watanzania wenzako hufanya Mombasa
 
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

4. Wachache sana wanao afford kula balanced diet, wengi hula mboga tu(sukuma, terere, kienyeji, etc kwa ugali, nyama ni adimu sana hula matajiri tu.....

5. Mb za Kenya huisha kama upepo na very expensive, Tsh 50/= (1110/= Tsh ) unapewa Mb-68 tu, ambazo ukilog in fb dk 10 zinaisha, wakati Tz Fb ni bure na Kwa Tsh 1500/= unapata 1GB and a lot of airtime for a week.

Hakuna vibando vya kupiga simu kama Tz, mfano Tz unaweza weka Salio ukanunua dk kadhaa za kupiga, Kenya Unaweka Salio na kupiga hivyo hivyo kavu kavu, kudadeki, Tz tuna unafuu mkubwa wa mawasiliano, huduma kama Halichachi Bando n.k zinasaidia wana nchi.

5. Uchafu na taka ni changamoto sana, wana nchi hutupa hivyo maana hakuna utaratibu maalumu kama magari, yapo machache but not affordable to wana nchi wa kawaida wa hali ya chini

6. NAULI kila city basi hujipangia haiko fixed na hakuna governing body yenye hupanga na kuamua nauli kama SUMTRA TZ... So naweza end a tao(town) kwa mbao(20bob=Tsh 440\=) lakini ujaridi kwa 70bob(=1500/= Tsh au soo(Tsh 2000/=) hii INA kufanya ushindwe kupredict

7. Wakenya hawasalimiani njiani, unapita kimya kimya unless uwe mnajuana ndo unaaema 'Sasa......" Tz ni waungwana ukipita kwa njia ni must utae hae juu waweza dondoka mbele akaja akakusevu uliyemuacha nyuma

8. Makelele MENGI sana, tao(town) juu magari yako MENGI sana hasa ya abiria, mahoni pipiiiii, it make the city look hooliganic... Tz uko poa juu mabasi yamepigwa stop kuingia city centre hata yakiingia yana location maalumu sio kuzagaa kama Nairobi

9. Matapeli yamejaaa, Ma conmen, ukiwa street kuibiwa simu ni kawaida, dk mbili unaoneshwa kisu, hasa Eastleigh kule, ni balaaa

1
Kwa Kifupi Maisha Ni magumu sana kwa RAIA wa daraja LA chini, but starehe kwa matajiri na wenye nacho

10. Mabangi yameharimu vijana, vijana waziwazi wanatafuna miraaa, na Rais Wao aliruhusu and promised to fund miraa projects, this is insane...

11. Makelele ya mziki ndani ya matatu yanaharibu sana maskio, na huwezi sikizana kwa phone ukiwa ndani ya matatu, regaae musics most preferred na matatu ziko equipped na music system nzito sound crazy for we non citizens who were not used to this before

Note:- This report is based in Society with low socioeconomic status which constitutes 75% of Kenyans in Nairobi

POSITIVE;-
1. Shule zao ziko smart huwezi differentiate Gava na private
.2. Watoto wanatema ung'eng'e balaa, mtoto wa std 4 ni sawa na form 6 wa Tz,, they are very fluent, compentent in English both written and spoken......nashauri kwenye pesa wapeleke watoto Wao kula japo kwa primary, very cheap.....na quality uko juu

3. Magari ni rahisi kumiliki

4. Starehe nyingi sanaaaaaaa, sanaaaaa kama una pesa zako

5. Hakuna MTU anajali mambo yako, no kulogana au wivu...

6. Entertainments clubs, pubs zimejaaaa

7. Mabasi yao yamepambwa sana this make the city jams look good

Ni HAYO KWA LEO, WAKIBISHANA NITALETA PICHA
Would you like to get in touch with Tanzanians living in Kenya? Discover the Tanzanian expat community in Kenya, the best way to make friends and to contact Tanzanians! You can also get in touch with all the members of the Kenya network.

Search by
Tanzanian
Status
Age
Gender


Bahatijo



Comes from Tanzania

newinnai



Comes from Tanzania

Gkuntai




Planning to live in Kenya, comes from Tanzania

belhaumwigama



Living in Nairobi and Nanyuki, comes from Tanzania
I am a Kenyan, and an expat in teaching Swahili as a foreign language to clients all over the world. I hold a bachelor's degree in education arts, Geography and Swahili. My areas...
travelling, dancing, swimming, watching tevision
English, Swahili AND Chinese


ZahraDewji1




Planning to live in Kenya, comes from Tanzania

dlaxman



Comes from Tanzania


Paul Kulwa


Comes from Tanzania

kitomai




Planning to live in Kenya, comes from Tanzania
Please allow me to introduce myself. I am Emanuel Kayinga, a Real Estate
working 24/7, around the clock
English


atupakisyemusa



Planning to live in Kenya, comes from Tanzania
my name is atupakisye musa, i come from tanzania africa, am simple, honest and
Job seeker
Single
job employment for accounting, finanxe and banking
english and kiswahili


eliudprom



Living in Nairobi, comes from Tanzania
I am technology guru
technology
English


Isaiah2016



Planning to live in Kenya, comes from Tanzania

hypeshopping



Comes from Tanzania

Patrick Thirimu



Planning to live in Kenya, comes from Tanzania
I'm from Tanzania, Dodoma. Knowledgeable in Renewable Energy and
Renewable energy


toyotasurf


Comes from Tanzania

GraceyK



Comes from Tanzania
Looking to connect and build a network
hiking, music, Photography, African and Arabic Literature, Contemporary art..


Eddie11


Living in Nairobi, comes from Tanzania
Am just likable
reading, soccer, travelling, music
Swahili, English, Kikuyu


ctn.akamai


Living in Nairobi, comes from Tanzania

maryam kusaka



Planning to live in Kenya, comes from Tanzania

vonlouiz


Living in Nairobi, comes from Tanzania

giggz100


Planning to live in Kenya, comes from Tanzania

Gaddafi


Living in Nairobi, comes from Tanzania
I come from tanzania at dar es salaam I'm good man and I have one son and

Editha Oby



Planning to live in Kenya, comes from Tanzania
I am a Tanzanian young entrepreneur
community development
English and Swahili


keneth mulungu




Planning to live in Kenya, comes from Tanzania
i come from Tanzania am graduate in agriculture economics and agribusiness
reading books
english and swahili


Chacha E.Mwita




Planning to live in Kenya, comes from Tanzania

julian lukinga




Planning to live in Kenya, comes from Tanzania
i come from Tanzania,my name is julian lukinga persuing bachelor of science in


mjombamjomba




Planning to live in Kenya, comes from Tanzania
I am from Tanzania my city is Arusha

morris101



Living in Mombasa, comes from Tanzania

Pantaleolima



Living in Nairobi, comes from Tanzania
I am an enthusiastic tours and travel consultant
English, Swahili and German


hamza mkindi



Living in Nairobi, comes from Tanzania
Am African man who came from Tanzania.
traveling, read books, exchange ideas with diferent people, prayer.ect
English, kiswahili and Italy

View less
 
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

4. Wachache sana wanao afford kula balanced diet, wengi hula mboga tu(sukuma, terere, kienyeji, etc kwa ugali, nyama ni adimu sana hula matajiri tu.....

5. Mb za Kenya huisha kama upepo na very expensive, Tsh 50/= (1110/= Tsh ) unapewa Mb-68 tu, ambazo ukilog in fb dk 10 zinaisha, wakati Tz Fb ni bure na Kwa Tsh 1500/= unapata 1GB and a lot of airtime for a week.

Hakuna vibando vya kupiga simu kama Tz, mfano Tz unaweza weka Salio ukanunua dk kadhaa za kupiga, Kenya Unaweka Salio na kupiga hivyo hivyo kavu kavu, kudadeki, Tz tuna unafuu mkubwa wa mawasiliano, huduma kama Halichachi Bando n.k zinasaidia wana nchi.

5. Uchafu na taka ni changamoto sana, wana nchi hutupa hivyo maana hakuna utaratibu maalumu kama magari, yapo machache but not affordable to wana nchi wa kawaida wa hali ya chini

6. NAULI kila city basi hujipangia haiko fixed na hakuna governing body yenye hupanga na kuamua nauli kama SUMTRA TZ... So naweza end a tao(town) kwa mbao(20bob=Tsh 440\=) lakini ujaridi kwa 70bob(=1500/= Tsh au soo(Tsh 2000/=) hii INA kufanya ushindwe kupredict

7. Wakenya hawasalimiani njiani, unapita kimya kimya unless uwe mnajuana ndo unaaema 'Sasa......" Tz ni waungwana ukipita kwa njia ni must utae hae juu waweza dondoka mbele akaja akakusevu uliyemuacha nyuma

8. Makelele MENGI sana, tao(town) juu magari yako MENGI sana hasa ya abiria, mahoni pipiiiii, it make the city look hooliganic... Tz uko poa juu mabasi yamepigwa stop kuingia city centre hata yakiingia yana location maalumu sio kuzagaa kama Nairobi

9. Matapeli yamejaaa, Ma conmen, ukiwa street kuibiwa simu ni kawaida, dk mbili unaoneshwa kisu, hasa Eastleigh kule, ni balaaa

1
Kwa Kifupi Maisha Ni magumu sana kwa RAIA wa daraja LA chini, but starehe kwa matajiri na wenye nacho

10. Mabangi yameharimu vijana, vijana waziwazi wanatafuna miraaa, na Rais Wao aliruhusu and promised to fund miraa projects, this is insane...

11. Makelele ya mziki ndani ya matatu yanaharibu sana maskio, na huwezi sikizana kwa phone ukiwa ndani ya matatu, regaae musics most preferred na matatu ziko equipped na music system nzito sound crazy for we non citizens who were not used to this before

Note:- This report is based in Society with low socioeconomic status which constitutes 75% of Kenyans in Nairobi

POSITIVE;-
1. Shule zao ziko smart huwezi differentiate Gava na private
.2. Watoto wanatema ung'eng'e balaa, mtoto wa std 4 ni sawa na form 6 wa Tz,, they are very fluent, compentent in English both written and spoken......nashauri kwenye pesa wapeleke watoto Wao kula japo kwa primary, very cheap.....na quality uko juu

3. Magari ni rahisi kumiliki

4. Starehe nyingi sanaaaaaaa, sanaaaaa kama una pesa zako

5. Hakuna MTU anajali mambo yako, no kulogana au wivu...

6. Entertainments clubs, pubs zimejaaaa

7. Mabasi yao yamepambwa sana this make the city jams look good

Ni HAYO KWA LEO, WAKIBISHANA NITALETA PICHA

kenya maisha ni magumu sana mpaka tanzania inaexport omba omba kenya. pongezi !!
1242002.jpg



Tanzanian couple, 'beggars' arrested over ploy for money in Embu town- mji uli kilomita 120 kutoka nairobi- pongezi jirani ila tunaomba experts sio omba omba

A Tanzanian man and his wife have been arrested for allegedly placing physically challenged people on the streets of Embu town to beg for money.

Six people living with disabilities, aged between 20 and 25, and two who allegedly pushed the wheelchairs of the severely handicapped were also apprehended on Wednesday night.

Embu West OCPD Francis Sang' said the nine admitted hailing from Tanzania but added that the organiser of the ploy had their identification documents.




 
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

4. Wachache sana wanao afford kula balanced diet, wengi hula mboga tu(sukuma, terere, kienyeji, etc kwa ugali, nyama ni adimu sana hula matajiri tu.....

5. Mb za Kenya huisha kama upepo na very expensive, Tsh 50/= (1110/= Tsh ) unapewa Mb-68 tu, ambazo ukilog in fb dk 10 zinaisha, wakati Tz Fb ni bure na Kwa Tsh 1500/= unapata 1GB and a lot of airtime for a week.

Hakuna vibando vya kupiga simu kama Tz, mfano Tz unaweza weka Salio ukanunua dk kadhaa za kupiga, Kenya Unaweka Salio na kupiga hivyo hivyo kavu kavu, kudadeki, Tz tuna unafuu mkubwa wa mawasiliano, huduma kama Halichachi Bando n.k zinasaidia wana nchi.

5. Uchafu na taka ni changamoto sana, wana nchi hutupa hivyo maana hakuna utaratibu maalumu kama magari, yapo machache but not affordable to wana nchi wa kawaida wa hali ya chini

6. NAULI kila city basi hujipangia haiko fixed na hakuna governing body yenye hupanga na kuamua nauli kama SUMTRA TZ... So naweza end a tao(town) kwa mbao(20bob=Tsh 440\=) lakini ujaridi kwa 70bob(=1500/= Tsh au soo(Tsh 2000/=) hii INA kufanya ushindwe kupredict

7. Wakenya hawasalimiani njiani, unapita kimya kimya unless uwe mnajuana ndo unaaema 'Sasa......" Tz ni waungwana ukipita kwa njia ni must utae hae juu waweza dondoka mbele akaja akakusevu uliyemuacha nyuma

8. Makelele MENGI sana, tao(town) juu magari yako MENGI sana hasa ya abiria, mahoni pipiiiii, it make the city look hooliganic... Tz uko poa juu mabasi yamepigwa stop kuingia city centre hata yakiingia yana location maalumu sio kuzagaa kama Nairobi

9. Matapeli yamejaaa, Ma conmen, ukiwa street kuibiwa simu ni kawaida, dk mbili unaoneshwa kisu, hasa Eastleigh kule, ni balaaa

1
Kwa Kifupi Maisha Ni magumu sana kwa RAIA wa daraja LA chini, but starehe kwa matajiri na wenye nacho

10. Mabangi yameharimu vijana, vijana waziwazi wanatafuna miraaa, na Rais Wao aliruhusu and promised to fund miraa projects, this is insane...

11. Makelele ya mziki ndani ya matatu yanaharibu sana maskio, na huwezi sikizana kwa phone ukiwa ndani ya matatu, regaae musics most preferred na matatu ziko equipped na music system nzito sound crazy for we non citizens who were not used to this before

Note:- This report is based in Society with low socioeconomic status which constitutes 75% of Kenyans in Nairobi

POSITIVE;-
1. Shule zao ziko smart huwezi differentiate Gava na private
.2. Watoto wanatema ung'eng'e balaa, mtoto wa std 4 ni sawa na form 6 wa Tz,, they are very fluent, compentent in English both written and spoken......nashauri kwenye pesa wapeleke watoto Wao kula japo kwa primary, very cheap.....na quality uko juu

3. Magari ni rahisi kumiliki

4. Starehe nyingi sanaaaaaaa, sanaaaaa kama una pesa zako

5. Hakuna MTU anajali mambo yako, no kulogana au wivu...

6. Entertainments clubs, pubs zimejaaaa

7. Mabasi yao yamepambwa sana this make the city jams look good

Ni HAYO KWA LEO, WAKIBISHANA NITALETA PICHA

Kweli kenya maisha balaa mpaka jirani anapapenda kwa biashara yake ya omba omba. all the from tz kwenye utajiri na maisha ya raha!!!
Immigration officials arrest 11 beggars from Tanzania
FRIDAY MARCH 3 2017

beg-pic.jpg


emailMore by this Author
Immigration officials in Nakuru have unearthed a syndicate involved in the influx of beggars from Tanzania and other East African countries to the town.

The beggars are used by the syndicate to collect money from the public.

Acting on a tip-off, police and the immigration officials on Wednesday evening rounded up 11 beggars.

The 11 included disabled men and women aged between 25 and 35 years

According to an immigration official who led the crackdown, the Tanzanian beggars were picked up from the town’s main street - Kenyatta Avenue.

“There must be someone organising the entry of these beggars into the town centre.

“It appears that they are being dropped at specific [points] very early in the morning and picked up late in the evening,” said the official.

FROM MUSOMA

Those arrested are said to be from Musoma in Tanzania.

Police have launched investigations with the aim of arresting those behind the human trafficking syndicate, Nakuru police chief Joshua Omukata said.

“The beggars have been staying in the country illegally,” said Mr Omukata.

Those arrested were taken to court where Senior Resident Magistrate Joe Mkutu Omido ordered their deportation.

Residents and members of the civil society have in the past complained about the increasing number of street children and beggars in Nakuru Town.

They argued that their presence was an eyesore and compromised the security of visitors coming to the town.







 
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

4. Wachache sana wanao afford kula balanced diet, wengi hula mboga tu(sukuma, terere, kienyeji, etc kwa ugali, nyama ni adimu sana hula matajiri tu.....

5. Mb za Kenya huisha kama upepo na very expensive, Tsh 50/= (1110/= Tsh ) unapewa Mb-68 tu, ambazo ukilog in fb dk 10 zinaisha, wakati Tz Fb ni bure na Kwa Tsh 1500/= unapata 1GB and a lot of airtime for a week.

Hakuna vibando vya kupiga simu kama Tz, mfano Tz unaweza weka Salio ukanunua dk kadhaa za kupiga, Kenya Unaweka Salio na kupiga hivyo hivyo kavu kavu, kudadeki, Tz tuna unafuu mkubwa wa mawasiliano, huduma kama Halichachi Bando n.k zinasaidia wana nchi.

5. Uchafu na taka ni changamoto sana, wana nchi hutupa hivyo maana hakuna utaratibu maalumu kama magari, yapo machache but not affordable to wana nchi wa kawaida wa hali ya chini

6. NAULI kila city basi hujipangia haiko fixed na hakuna governing body yenye hupanga na kuamua nauli kama SUMTRA TZ... So naweza end a tao(town) kwa mbao(20bob=Tsh 440\=) lakini ujaridi kwa 70bob(=1500/= Tsh au soo(Tsh 2000/=) hii INA kufanya ushindwe kupredict

7. Wakenya hawasalimiani njiani, unapita kimya kimya unless uwe mnajuana ndo unaaema 'Sasa......" Tz ni waungwana ukipita kwa njia ni must utae hae juu waweza dondoka mbele akaja akakusevu uliyemuacha nyuma

8. Makelele MENGI sana, tao(town) juu magari yako MENGI sana hasa ya abiria, mahoni pipiiiii, it make the city look hooliganic... Tz uko poa juu mabasi yamepigwa stop kuingia city centre hata yakiingia yana location maalumu sio kuzagaa kama Nairobi

9. Matapeli yamejaaa, Ma conmen, ukiwa street kuibiwa simu ni kawaida, dk mbili unaoneshwa kisu, hasa Eastleigh kule, ni balaaa

1
Kwa Kifupi Maisha Ni magumu sana kwa RAIA wa daraja LA chini, but starehe kwa matajiri na wenye nacho

10. Mabangi yameharimu vijana, vijana waziwazi wanatafuna miraaa, na Rais Wao aliruhusu and promised to fund miraa projects, this is insane...

11. Makelele ya mziki ndani ya matatu yanaharibu sana maskio, na huwezi sikizana kwa phone ukiwa ndani ya matatu, regaae musics most preferred na matatu ziko equipped na music system nzito sound crazy for we non citizens who were not used to this before

Note:- This report is based in Society with low socioeconomic status which constitutes 75% of Kenyans in Nairobi

POSITIVE;-
1. Shule zao ziko smart huwezi differentiate Gava na private
.2. Watoto wanatema ung'eng'e balaa, mtoto wa std 4 ni sawa na form 6 wa Tz,, they are very fluent, compentent in English both written and spoken......nashauri kwenye pesa wapeleke watoto Wao kula japo kwa primary, very cheap.....na quality uko juu

3. Magari ni rahisi kumiliki

4. Starehe nyingi sanaaaaaaa, sanaaaaa kama una pesa zako

5. Hakuna MTU anajali mambo yako, no kulogana au wivu...

6. Entertainments clubs, pubs zimejaaaa

7. Mabasi yao yamepambwa sana this make the city jams look good

Ni HAYO KWA LEO, WAKIBISHANA NITALETA PICHA
Safaricom attendant who touched customers' hearts meets Bob Collymore
Oct. 29, 2016, 6:00 pm
By RITA DAMARY
pauline8.jpg

A picture of Safaricom attendant Pauline Shalimo assisting William Kisumo at the Nakuru shop has been doing rounds on social media. /COURTESY

Mhudumu wa Safaricom atuzwa kwa utu wake !

Ms Pauline Muganda Shamola had trained as an air hostess, a field she worked in for a while before joining Safaricom as a customer service officer.

She says she felt humbled by the congratulatory messages she received after the video of her helping a crippled beggar went viral on social media.

Mr William Kisumo, a beggar from Tanzania too was grateful of her gesture.

He had gone to the Safaricom in Nakuru shop to buy and register a line to enable him send money back home.


He said he was a trained shoemaker and had an ailing child back in Tanzania forcing him to travel to Kenya to seek alms.

ATA KAMA MUMEWATUMA HUKO KAMA OMBA OMBA. MAISHA MAGUMU HUKU KENYA SANA HAWATAKI KUONDOKA KURUDI KULE TANGANYIKA IN THE LAND OF HONEY AND FLOWING MILK!!! KAZI IPO KWELI!!
 
Tangazo maalum: Kama hauna vyeti vya masomo, ujuzi, uzoefu wa kujieleza kiingereza, pesa, basi katu usithubutu kuja Kenya. sisi waKenya ni walipaji ushuru ndio maana nchi yetu imeendelea kuwashinda nyinyi walala hoi. hatutaki mutuletee uzembe wenu katika nchi yetu. bora mubaki huko huko bongolala.

nasema hivyo kwa maana najua watanzania wengi ninaokutana nao kila siku. ni kweli watanzania ni watu wa hali ya chini wakija Kenya kutokana na hizo sababu nilizopeana hapo juu ndiposa mukawa watu wa kudharauliwa na kuchekelewa.

narudia tena, usije Kenya kama hauna degree. hatutaki ulofa.

Racket issuing fake university papers unearthed

MONDAY MARCH 20 2017

A racket that involves production of fake and backdated degree certificates has been unearthed.

The degrees are from Inoorero University which was shut by higher education regulator in 2015 and granted a two years to enable its continuing students to finish their programmes after it was declared bankrupt.

FAKE

Behind the scheme is a top administrator with the university who is now under investigation by the Directorate of Criminal Investigation (DCI).

The investigation is as a result of concerns raised by an airline in Africa operating in Nairobi which discovered that one of its top employee’s in accounts had a ‘suspicious’ degree certificate.

And to compound the situation, another graduate from the university was found with a fake degree certificate.
Fake degree racket busted



 
Back
Top Bottom