Basi hawa Kenya watakuwa wanatumia nguvu za giza, yani pamoja na hizo disadvantage zote wameizidi tanzania kiuchumi!!! Kazi ya ziada inahitajika na huu ukuaji ingependeza ufike hata 15% na sio 7% ili kuwazidi kiuchumi majirani. World Economic Outlook Database, April 2017- World Economic Outlook Database April 2017
wewe sema tu unawatamani wadada wa Kenya kama wenzako walivyosema katika uzi huu wanavyopenda kuwaskia wakiongea Uhuru Kenyatta makes me feel helpless — musician Ray C admits crush on Kenyan President | Uganda Today jipe moyo. your dreams are valid.madada wa kikenya wanapenda sana wanaume wa tz,hua wanasema tz ina wanaume ma handsome sana,kama yule rais wao jk.
hongereni.But the rains are back mate
ebu njoo nai uongee icho kiswahili chako cha tafazali uone kama utasongelewa na mrembo yoyote wa kenyamadada wa kikenya wanapenda sana wanaume wa tz,hua wanasema tz ina wanaume ma handsome sana,kama yule rais wao jk.
ebu njoo nai uongee icho kiswahili chako cha tafazali uone kama utasongelewa na mrembo yoyote wa kenya
Interestingly you went through the whole thread but never found your fellow Tanzanians uncivilized for the bullshit they're posting here. The thread title alone stems from an uncivilized mind.Mkuu unaweka picha za watu wenye familia zao kwa mambo mabaya waliofanyiwa kitambo.
Acha hizo, ni sawa sawa na mtu aanze kuweka pctr za victims na mauaji yenyu 2007.
We shindana kwa hoja, kuwa civilized.
Good questionAnd it still begs the question...........why Tanzania? Why dont these Kenyan racketeers bring in beggers from Uganda for example?
i jamaa hutumia toilet paper tuu, nadhani hutawadha pale wakienda kuoga tuu. hii hata wagandee wanayo, its only moslem ndio hutumia maji huko kutawadha baada ya kushitAcha izo kijana ushakua MTU mzima MTU atachaje kutawaza c atakua kama gari LA taka,..ushakua MTU mzima acha upoyoyo
Vijana wa Kenya wanalia wanatia huruma, wanalia foulo eti mods acute Uzi....hahaaaaa tumewakamara... Wao WANATAKA wasifiwe tu post kama Jiji la Nairobi zuri, uchumi umekua ndo wafurahi...kwa matukio ya hatari ya uhalifu ,jiji la nairobi ni namba nyingine,dar inakaa mbali sana.
yaani ukiwa nairobi,mda wote inabidi uwe mtu wa kujihami,hata mhudumu wa hotel uliyofikia,anaweza akakuchorea mchoro wa kukufanyia unyang'au .robbery incidents are at high rate.
matukio yanayotokea huku kwetu ukiachilia mbali uhalifu wa hapa na pale,mengi ni ya kupangwa na wanasiasa kwa agenda wanazozijua wao.
huwezi kuyatumia kama reflection ya maisha halisi ya wabongo.
and this shit from tanganyikaVijana wa Kenya wanalia wanatia huruma, wanalia foulo eti mods acute Uzi....hahaaaaa tumewakamara... Wao WANATAKA wasifiwe tu post kama Jiji la Nairobi zuri, uchumi umekua ndo wafurahi...
Wamesahau uhuni na ujambazi unaofanywa na vijana wadogo wa vikundi vya Gaza etc kule eistleigh.....
Wamesau Samburu na Laikipia jinsi Armed citizen wanavyobattle na Kdf, ng'ombe wanauawa kwa risasi, ranches owners wanapigwa na kuuliwa....
Nairobery nako ni noma,,,, city is full of conmen
Vijana wa Kenya wanalia wanatia huruma, wanalia foulo eti mods acute Uzi....hahaaaaa tumewakamara... Wao WANATAKA wasifiwe tu post kama Jiji la Nairobi zuri, uchumi umekua ndo wafurahi...
Wamesahau uhuni na ujambazi unaofanywa na vijana wadogo wa vikundi vya Gaza etc kule eistleigh.....
Wamesau Samburu na Laikipia jinsi Armed citizen wanavyobattle na Kdf, ng'ombe wanauawa kwa risasi, ranches owners wanapigwa na kuuliwa....
Nairobery nako ni noma,,,, city is full of conmen
Vipi muonekano wa wanawake wa huko?
Ukweli mtupu,Kenya maisha ni magumu sana nimeishi mtaa mmoja inaitwa South b kuna nyumba za mabati tu mitaa hiyo kwa wapangaji wa kawaida!! upande wa chakula ndio hivyo ugali sukuma au mboga flani hivi ya majani nimeisahau jina,Nairobi chai pia ni chakula kikuu unaweza kualikwa na mtu usiku ukijua utakula ugali nyama,au Wali n.k kama tulivyozoea huku ukashangaa umendaliwa chai na mkate ndio life style ya Nairobi