Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio shida yako/yenu mkuu, mnapopewa facts za kutoka field mnang'ang'ania makaratasi ya Wazungu, mnaona wazungu ndio wenye fact
World bank wametoa fact zao kuwa uchumi wa Tanzania umekua kwa kiwango kikubwa kuliko nchi yoyote ya Africa Mashariki, lakini hayo ni makaratasi tu, fact ni kuwa tulioko field tunajua taabu tunayoipata ambayo haiendani kabisa na data hizo za UN
Kubali ukweli ukiweke huru
Hivi unaelewa maana ya neno 'facts', jifunze kudadavua taarifa kisayansi, sio ukishukia Nairobi na kulala kwenye guest za mitaani halafu unaona ndio umepata facts.
Wewe Hujakaa Nairobi. Unatudanganya.
Still waiting for ur reply dearWakenya ni ndg zangu wadamu ola ukweli ni huyu tunaousema.... Mabanda ya kibera na mwingine mliyatunza ya nini? Utalii?
Kuna mda mlijidai kujenga nyumbani kule kuwapa RAIA, lakini zilipokamilka wakawa wanapewa wakikuyu tu, ukabila ni hatari
Lakini pia statistics haziongei kila kitu, angalia uhalisia...... Hata manzese ya Dar sio h hivi,
Yaani nyumbani ya tofali ni anasa kwa RAIA wa kawaida, mabanda yakichemka una kuwa kama unakaangwa, hasa kama umeoa au kuolewa ....
Namba 1 na 2 naweza kukubaliana nawe,maana nina marafiki wakenya ambao wakija bongo uwa lazima niwapeleke home,lkn inakuwa tofauti pindi mimi niendapo kenya,uwa tunaishia kukutana mjini kwenye mishe zetu
Kubali ukweli uwe huru, Dar es Salaam hamna uchafu huo wa mabanda ya mabati chakavu kama Nairobi.
Ngoja niweke mb ntarudi..
Ukisikia paaaa imempata, I'm not a Kenya, but I live in Kenya, maisha ni ngumu Kenya for people of low socioeconomic status, whether you agree or not
Weka vizuri kuna mtanange utakuja muda wowote
[emoji23] [emoji23]Hahaha Wakupeleke kwenye vibanda vya Mabati!!
Hawawezi wakaja hukuUkishawavua nguo kama hivi huwa wanakimbia, wanachungulia halafu wanasepa.
hapo kwenye simu unazojaza vocha mjini na kupiga simu kidogo mtindo huo ulipitwa na wakati..ilikuepo miaka ya 2002
Ndio maanake nikasema hawataki kujadili na facts kitaalam, ni mambo ya kukaririshwa na kuaminishwa tu. Mleta mada hata hapepesi macho akidanganya eti kwa Kshs 50 unapata 68MB. Wakati kihalisia na ukweli na fact ni kwamba kwa Kshs 50 unapata 150MB.
Mada kama hizi huwa nazipita kimya siku hizi bila hata kufungua, sijui leo nimefungua kwa makosa maana hamna mtu yupo tayari kujadili kwa kutumia ubongo na elimu, ni zile soga za Dar.