Maisha ya mkenya wa kawaida

Kick for what ??argue with facts, acha blah blah za English, u think English is a problem to me? U idiot! Lete facts to argue for or against otherwise bow down, summon ur white socks else kick away ur asses[HASHTAG]#mofo[/HASHTAG]

What you showing is called adolescent hormonal imbalance, sina muda na wewe. Go grow up and come then!!!!

Wakenya mwenzangu why do you fall to stupid Tanzanian tricks. Mleta mada ata hakutoka kibandani chake dar es salaam Wala hujawai safiri zaidi ya mzunguko wa Dar. Ni Kiki uatafuta apoeshe stress za Dar!!!!keep away

hujielewi wewe. Pole nilitumia kizungu kwa baadhi ya maneno, ni dhairi shairi hukielewi, pole!!!! I am warning my fellow kenyans to keep away from watu wa mabandani Dar kama wewe

unatafuta kiki za kufukuza gongo kichwani!!!
 
Republic of Turkana National Security (RTNS). KDF hawawezi kukanyaga huko









Turkana ni no fly zone kwa Uhuru na Baba Abby, hata Laikipia, God have mercy on Kenyans
 
Hakuna aliyedharirishwa sema ukweli huuma, hii topic ni tofauti na ile ya kushindwa kutawaza

you are sick not to know the pictures put here including this one have relatives!!!


let me say sometimes JF MOD is reckless wakati mwingine, and ata kama sipendelei serikali ya tanzania kubanda matumizi ya mitandao ligi ya kipuzi inaongozoa na akili mbovu sana sana na vidudu wachache wa kitanzania hapa JF ni ya kutisha na kiutoto!!! MOD inafaa aingilie kati na kukomesha wanaoleta mada na picha za kipuza kutafuta kiki za jioni vitandani!!!
Juzi aliachilia uzi wa kipuzi wakudharirisha wakenya husio na ukweli uendelee page kama kumi akishangilia halafu baadaye wakaufunga!!! This is reckless and nonsensical!! MOD style up!!! stop this thread pliz!
 
Define The Term 'Hormone'
 
Wakenya Wanalia Fouls, hahaaaaa ukweli ni huu Maisha ya mabandani ni Chaotic.... Umaskini and nothing else, lieni salAma
 
Hii haikubaliki sure 100% but our topic is safe.... Dont cry... Pls
 
kapewe vidole google ipo, kazi kwako!!
What you showing is called adolescent hormonal imbalance, sina muda na wewe. Go grow up and come then!!!!
What you are showing and not what u showing, go get refund from ur English grammar teacher
 

Unaweza ukawa sahihi kwa kiasi fulani ila Mkuu usisahau kuwa hata huku Kwetu Kibongo bongo kuna matukio ya maana sema tu labda hayatangazwi na Watu wanaogopa. Kwa mfano kuna Mtu ananiambia haya yanayotokea leo nchini Tanzania yalikuwepo hata huko nyuma ila tu uwazi ulikuwa hamna na hata Mitandao ya Kijamii nayo ilikuwa haipo na kwamba siku hizi tunayasikia kwasababu ya Citizen Journalism hii tuliyonayo.
 
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Wanajitahidi kwa Chao ya maziwa
Kama ni hivyo bhasi wako mbaali sana
Unajua sisi tulichoshindwa ni kukusanya kodi na ndio maana kila siku wafanyabiashara wanatunga mbinu mpya ya kukwepa kodi
Waliwezaje kifikia kiwango hicho cha juu sana cha uwajibikaji!!!!
Ht km ni kwa chai ya maziwa bado ni maendeleo makubwa mno ukilinganisha n ahapa bongo mtu inanunua vitu hata vya milioni unapewa rsiti ya soft drink ya sh 2000
Nimependa spirit yao sana ya kulipa kodi
 
Unahitajika kulipa deposit fulani which is slightly more than the monthly rent, so incase umeshindwa kulipa rent ya huu mwezi na utaamua kutoweka ama ile siku utaamua kuhama na igundulike ulifanya uharibifu fulani ndani ya hiyo nyumba, hiyo deposit itagaramia. Ama kama hukuwa ukilipa bill za stima na maji.....hiyo deposit will take care of all that.

Otherwise, ukitoka kwenye nyumba ya kupanga bila ya hayo mambo yote, basi utarejeshewa hiyo deposit; in my estate tunatakikana kuuwaarifu agents within a month in advance to be eligible for the refund.
 
What you are showing and not what u showing, go get refund from ur English grammar teacher

hormonal imbalance problems kaka seems like a doctor consultation may help!, utaumwa ukome, english is a national disaster in tanganyika!!!!!!!!
 
Let us assume that kweli nyinyi hamna haya matatizo yote........mbona hili basi?

 
Hii haikubaliki sure 100% but our topic is safe.... Dont cry... Pls


you should be crying yourself, its your fellow tanganyikans eating these kids meat bruh, malaika watoto hawana hatia!!!!!!!
topic ni utoto mtupu kutoka kichwa maji tanganyika! tz iz is dirt poor. tukilete machafu ya tanganyika tutakesha hapa! and as a grown up whats the point. sihitaji kiki za jioni toka maovu yenu!!
 
Mnaona mnavyodanganya? Uliishi wapi Nairobi, hebu rudia tena? South B?





South B na C hapoooo.

Hebu sasa tueleze kweli, ulikuwa ukiishi wapi Nairobi?
 
Wakenya mwenzangu why do you fall to stupid Tanzanian tricks. Mleta mada ata hakutoka kibandani chake dar es salaam Wala hujawai safiri zaidi ya mzunguko wa Dar. Ni Kiki uatafuta apoeshe stress za Dar!!!!keep away
Povu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji10] [emoji2]
 

kwa matukio ya hatari ya uhalifu ,jiji la nairobi ni namba nyingine,dar inakaa mbali sana.

yaani ukiwa nairobi,mda wote inabidi uwe mtu wa kujihami,hata mhudumu wa hotel uliyofikia,anaweza akakuchorea mchoro wa kukufanyia unyang'au .robbery incidents are at high rate.

matukio yanayotokea huku kwetu ukiachilia mbali uhalifu wa hapa na pale,mengi ni ya kupangwa na wanasiasa kwa agenda wanazozijua wao.

huwezi kuyatumia kama reflection ya maisha halisi ya wabongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…