Maisha ya mkenya wa kawaida

Maisha ya mkenya wa kawaida

Kick for what ??argue with facts, acha blah blah za English, u think English is a problem to me? U idiot! Lete facts to argue for or against otherwise bow down, summon ur white socks else kick away ur asses[HASHTAG]#mofo[/HASHTAG]

What you showing is called adolescent hormonal imbalance, sina muda na wewe. Go grow up and come then!!!!

Wakenya mwenzangu why do you fall to stupid Tanzanian tricks. Mleta mada ata hakutoka kibandani chake dar es salaam Wala hujawai safiri zaidi ya mzunguko wa Dar. Ni Kiki uatafuta apoeshe stress za Dar!!!!keep away

hujielewi wewe. Pole nilitumia kizungu kwa baadhi ya maneno, ni dhairi shairi hukielewi, pole!!!! I am warning my fellow kenyans to keep away from watu wa mabandani Dar kama wewe

unatafuta kiki za kufukuza gongo kichwani!!!
 
Republic of Turkana National Security (RTNS). KDF hawawezi kukanyaga huko
0fgjhs2r9hltcn7cn.cb82bda3.jpg


200907131018030396.jpg


Collections-of-guns-hande-031.jpg


article-0-18B47B9C000005DC-744_964x640.jpg


children-with-guns-during-the-civil-war-in-southern-sudan-picture-id2672952

Turkana ni no fly zone kwa Uhuru na Baba Abby, hata Laikipia, God have mercy on Kenyans
 
Hakuna aliyedharirishwa sema ukweli huuma, hii topic ni tofauti na ile ya kushindwa kutawaza

you are sick not to know the pictures put here including this one have relatives!!!
albino-murdered-for-body-parts-by-witch-doctor-1-jpg.500519


let me say sometimes JF MOD is reckless wakati mwingine, and ata kama sipendelei serikali ya tanzania kubanda matumizi ya mitandao ligi ya kipuzi inaongozoa na akili mbovu sana sana na vidudu wachache wa kitanzania hapa JF ni ya kutisha na kiutoto!!! MOD inafaa aingilie kati na kukomesha wanaoleta mada na picha za kipuza kutafuta kiki za jioni vitandani!!!
Juzi aliachilia uzi wa kipuzi wakudharirisha wakenya husio na ukweli uendelee page kama kumi akishangilia halafu baadaye wakaufunga!!! This is reckless and nonsensical!! MOD style up!!! stop this thread pliz!
 
What you showing is called adolescent hormonal imbalance, sina muda na wewe. Go grow up and come then!!!!

Wakenya mwenzangu why do you fall to stupid Tanzanian tricks. Mleta mada ata hakutoka kibandani chake dar es salaam Wala hujawai safiri zaidi ya mzunguko wa Dar. Ni Kiki uatafuta apoeshe stress za Dar!!!!keep away

hujielewi wewe. Pole nilitumia kizungu kwa baadhi ya maneno, ni dhairi shairi hukielewi, pole!!!! I am warning my fellow kenyans to keep away from watu wa mabandani Dar kama wewe

unatafuta kiki za kufukuza gongo kichwani!!!
Define The Term 'Hormone'
 
Wakenya Wanalia Fouls, hahaaaaa ukweli ni huu Maisha ya mabandani ni Chaotic.... Umaskini and nothing else, lieni salAma
 
you are sick not to know the pictures put here including this one have relatives!!!
albino-murdered-for-body-parts-by-witch-doctor-1-jpg.500519


let me say sometimes JF MOD is reckless wakati mwingine, and ata kama sipendelei serikali ya tanzania kubanda matumizi ya mitandao ligi ya kipuzi inaongozoa na akili mbovu sana sana na vidudu wachache wa kitanzania hapa JF ni ya kutisha na kiutoto!!! MOD inafaa aingilie kati na kukomesha wanaoleta mada na picha za kipuza kutafuta kiki za jioni vitandani!!!
Juzi aliachilia uzi wa kipuzi wakudharirisha wakenya husio na ukweli uendelee page kama kumi akishangilia halafu baadaye wakaufunga!!! This is reckless and nonsensical!! MOD style up!!! stop this thread pliz!
Hii haikubaliki sure 100% but our topic is safe.... Dont cry... Pls
 
kapewe vidole google ipo, kazi kwako!!
What you showing is called adolescent hormonal imbalance, sina muda na wewe. Go grow up and come then!!!!
What you are showing and not what u showing, go get refund from ur English grammar teacher
 
swahiba Mimi nimeishi nairobi kwa miaka kadhaa na bado huwa naenda mara kwa nara ktk matembezi yangu binafsi.

alichozungumza mleta mda kuhusu vitu hasi vya kenya,ni sahihi kwa 100% na
hatujawafikia hata kidogo.

kwa mfano ktk matukio ya ujambazi,ukabaji,uporaji na unyang'anyi wa kutumia siraha za moto,kenya hakuna mfanowe EA.

vijana wengi hawana ajira na wanapenda starehe mno,kiasi kwamba akikosa pesa ya kwenda kula bata,kuondoa uhai wa mtu ili akwapue kitecno chako ni kawaida sana.
f0a9a00a20ea868d244ab6de01faef57.jpg

Unaweza ukawa sahihi kwa kiasi fulani ila Mkuu usisahau kuwa hata huku Kwetu Kibongo bongo kuna matukio ya maana sema tu labda hayatangazwi na Watu wanaogopa. Kwa mfano kuna Mtu ananiambia haya yanayotokea leo nchini Tanzania yalikuwepo hata huko nyuma ila tu uwazi ulikuwa hamna na hata Mitandao ya Kijamii nayo ilikuwa haipo na kwamba siku hizi tunayasikia kwasababu ya Citizen Journalism hii tuliyonayo.
 
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Wanajitahidi kwa Chao ya maziwa
Kama ni hivyo bhasi wako mbaali sana
Unajua sisi tulichoshindwa ni kukusanya kodi na ndio maana kila siku wafanyabiashara wanatunga mbinu mpya ya kukwepa kodi
Waliwezaje kifikia kiwango hicho cha juu sana cha uwajibikaji!!!!
Ht km ni kwa chai ya maziwa bado ni maendeleo makubwa mno ukilinganisha n ahapa bongo mtu inanunua vitu hata vya milioni unapewa rsiti ya soft drink ya sh 2000
Nimependa spirit yao sana ya kulipa kodi
 
Advantage ya kulipa monthly ni in case nyumba ina tatizo mwezi ukiisha unasepa zako sio mpaka muanze negotiations na mwenye nyumba na in most cases hela hairudi.
Mimi Kenya napenda kutembelea miji mingine Kama Nakuru Naivasha Kisumu Kericho Mombasa no huko unaenjoy sana kuliko Nairobi roho juu juu muda wote
Unahitajika kulipa deposit fulani which is slightly more than the monthly rent, so incase umeshindwa kulipa rent ya huu mwezi na utaamua kutoweka ama ile siku utaamua kuhama na igundulike ulifanya uharibifu fulani ndani ya hiyo nyumba, hiyo deposit itagaramia. Ama kama hukuwa ukilipa bill za stima na maji.....hiyo deposit will take care of all that.

Otherwise, ukitoka kwenye nyumba ya kupanga bila ya hayo mambo yote, basi utarejeshewa hiyo deposit; in my estate tunatakikana kuuwaarifu agents within a month in advance to be eligible for the refund.
 
What you are showing and not what u showing, go get refund from ur English grammar teacher

hormonal imbalance problems kaka seems like a doctor consultation may help!, utaumwa ukome, english is a national disaster in tanganyika!!!!!!!!
 
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

4. Wachache sana wanao afford kula balanced diet, wengi hula mboga tu(sukuma, terere, kienyeji, etc kwa ugali, nyama ni adimu sana hula matajiri tu.....

5. Mb za Kenya huisha kama upepo na very expensive, Tsh 50/= (1110/= Tsh ) unapewa Mb-68 tu, ambazo ukilog in fb dk 10 zinaisha, wakati Tz Fb ni bure na Kwa Tsh 1500/= unapata 1GB and a lot of airtime for a week.

Hakuna vibando vya kupiga simu kama Tz, mfano Tz unaweza weka Salio ukanunua dk kadhaa za kupiga, Kenya Unaweka Salio na kupiga hivyo hivyo kavu kavu, kudadeki, Tz tuna unafuu mkubwa wa mawasiliano, huduma kama Halichachi Bando n.k zinasaidia wana nchi.

5. Uchafu na taka ni changamoto sana, wana nchi hutupa hivyo maana hakuna utaratibu maalumu kama magari, yapo machache but not affordable to wana nchi wa kawaida wa hali ya chini

6. NAULI kila city basi hujipangia haiko fixed na hakuna governing body yenye hupanga na kuamua nauli kama SUMTRA TZ... So naweza end a tao(town) kwa mbao(20bob=Tsh 440\=) lakini ujaridi kwa 70bob(=1500/= Tsh au soo(Tsh 2000/=) hii INA kufanya ushindwe kupredict

7. Wakenya hawasalimiani njiani, unapita kimya kimya unless uwe mnajuana ndo unaaema 'Sasa......" Tz ni waungwana ukipita kwa njia ni must utae hae juu waweza dondoka mbele akaja akakusevu uliyemuacha nyuma

8. Makelele MENGI sana, tao(town) juu magari yako MENGI sana hasa ya abiria, mahoni pipiiiii, it make the city look hooliganic... Tz uko poa juu mabasi yamepigwa stop kuingia city centre hata yakiingia yana location maalumu sio kuzagaa kama Nairobi

9. Matapeli yamejaaa, Ma conmen, ukiwa street kuibiwa simu ni kawaida, dk mbili unaoneshwa kisu, hasa Eastleigh kule, ni balaaa

1
Kwa Kifupi Maisha Ni magumu sana kwa RAIA wa daraja LA chini, but starehe kwa matajiri na wenye nacho

10. Mabangi yameharimu vijana, vijana waziwazi wanatafuna miraaa, na Rais Wao aliruhusu and promised to fund miraa projects, this is insane...

11. Makelele ya mziki ndani ya matatu yanaharibu sana maskio, na huwezi sikizana kwa phone ukiwa ndani ya matatu, regaae musics most preferred na matatu ziko equipped na music system nzito sound crazy for we non citizens who were not used to this before

Note:- This report is based in Society with low socioeconomic status which constitutes 75% of Kenyans in Nairobi

POSITIVE;-
1. Shule zao ziko smart huwezi differentiate Gava na private
.2. Watoto wanatema ung'eng'e balaa, mtoto wa std 4 ni sawa na form 6 wa Tz,, they are very fluent, compentent in English both written and spoken......nashauri kwenye pesa wapeleke watoto Wao kula japo kwa primary, very cheap.....na quality uko juu

3. Magari ni rahisi kumiliki

4. Starehe nyingi sanaaaaaaa, sanaaaaa kama una pesa zako

5. Hakuna MTU anajali mambo yako, no kulogana au wivu...

6. Entertainments clubs, pubs zimejaaaa

7. Mabasi yao yamepambwa sana this make the city jams look good

Ni HAYO KWA LEO, WAKIBISHANA NITALETA PICHA
Let us assume that kweli nyinyi hamna haya matatizo yote........mbona hili basi?

LDC_map_1500x936.jpg
 
Hii haikubaliki sure 100% but our topic is safe.... Dont cry... Pls
albino-murdered-for-body-parts-by-witch-doctor-1-jpg.500519


you should be crying yourself, its your fellow tanganyikans eating these kids meat bruh, malaika watoto hawana hatia!!!!!!!
topic ni utoto mtupu kutoka kichwa maji tanganyika! tz iz is dirt poor. tukilete machafu ya tanganyika tutakesha hapa! and as a grown up whats the point. sihitaji kiki za jioni toka maovu yenu!!
 
Ukweli mtupu,Kenya maisha ni magumu sana nimeishi mtaa mmoja inaitwa South b kuna nyumba za mabati tu mitaa hiyo kwa wapangaji wa kawaida!! upande wa chakula ndio hivyo ugali sukuma au mboga flani hivi ya majani nimeisahau jina,Nairobi chai pia ni chakula kikuu unaweza kualikwa na mtu usiku ukijua utakula ugali nyama,au Wali n.k kama tulivyozoea huku ukashangaa umendaliwa chai na mkate ndio life style ya Nairobi
Mnaona mnavyodanganya? Uliishi wapi Nairobi, hebu rudia tena? South B?

cropped-nairobi.jpg


852626256_ad76aea4c8_o.jpg


South B na C hapoooo.

Hebu sasa tueleze kweli, ulikuwa ukiishi wapi Nairobi?
 
Wakenya mwenzangu why do you fall to stupid Tanzanian tricks. Mleta mada ata hakutoka kibandani chake dar es salaam Wala hujawai safiri zaidi ya mzunguko wa Dar. Ni Kiki uatafuta apoeshe stress za Dar!!!!keep away
Povu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji10] [emoji2]
 
Unaweza ukawa sahihi kwa kiasi fulani ila Mkuu usisahau kuwa hata huku Kwetu Kibongo bongo kuna matukio ya maana sema tu labda hayatangazwi na Watu wanaogopa. Kwa mfano kuna Mtu ananiambia haya yanayotokea leo nchini Tanzania yalikuwepo hata huko nyuma ila tu uwazi ulikuwa hamna na hata Mitandao ya Kijamii nayo ilikuwa haipo na kwamba siku hizi tunayasikia kwasababu ya Citizen Journalism hii tuliyonayo.

kwa matukio ya hatari ya uhalifu ,jiji la nairobi ni namba nyingine,dar inakaa mbali sana.

yaani ukiwa nairobi,mda wote inabidi uwe mtu wa kujihami,hata mhudumu wa hotel uliyofikia,anaweza akakuchorea mchoro wa kukufanyia unyang'au .robbery incidents are at high rate.

matukio yanayotokea huku kwetu ukiachilia mbali uhalifu wa hapa na pale,mengi ni ya kupangwa na wanasiasa kwa agenda wanazozijua wao.

huwezi kuyatumia kama reflection ya maisha halisi ya wabongo.
c1cfb3bd5774c70beaff5e1fc0ed1b34.jpg
 
Back
Top Bottom