Maisha ya mkenya wa kawaida

Maisha ya mkenya wa kawaida

Republic of Turkana National Security (RTNS). KDF hawawezi kukanyaga huko
0fgjhs2r9hltcn7cn.cb82bda3.jpg


200907131018030396.jpg


Collections-of-guns-hande-031.jpg


article-0-18B47B9C000005DC-744_964x640.jpg


children-with-guns-during-the-civil-war-in-southern-sudan-picture-id2672952
Google Reverse Search shows me that some of these photos u are posting here are not even from Kenya.....

article-0-18B47B9C000005DC-744_964x640.jpg



18394_50up_JieGirl_AK47_50M_xlarge.jpg


Africa-kids-guns%20Dmitri%20Markine.jpg


Lost Omo tribe in Ethiopia - Beauty will save
 
kwa matukio ya hatari ya uhalifu ,jiji la nairobi ni namba nyingine,dar inakaa mbali sana.

yaani ukiwa nairobi,mda wote inabidi uwe mtu wa kujihami,hata mhudumu wa hotel uliyofikia,anaweza akakuchorea mchoro wa kukufanyia unyang'au .robbery incidents are at high rate.

matukio yanayotokea huku kwetu ukiachilia mbali uhalifu wa hapa na pale,mengi ni ya kupangwa na wanasiasa kwa agenda wanazozijua wao.

huwezi kuyatumia kama reflection ya maisha halisi ya wabongo.
c1cfb3bd5774c70beaff5e1fc0ed1b34.jpg

Kwahiyo Mkuu unataka kusema siku nikija Kenya inabidi nimwombe aliyemchomolea Bastola Nape Nnauye anisindikize ili akawachomolee pia Bastola Wababe wenzie wale Machokoraa wa Nairobeeeee?
 
Umeshindwa kwa hoja na uhalisia umeamua ukimbie.
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

4. Wachache sana wanao afford kula balanced diet, wengi hula mboga tu(sukuma, terere, kienyeji, etc kwa ugali, nyama ni adimu sana hula matajiri tu.....

5. Mb za Kenya huisha kama upepo na very expensive, Tsh 50/= (1110/= Tsh ) unapewa Mb-68 tu, ambazo ukilog in fb dk 10 zinaisha, wakati Tz Fb ni bure na Kwa Tsh 1500/= unapata 1GB and a lot of airtime for a week.

Hakuna vibando vya kupiga simu kama Tz, mfano Tz unaweza weka Salio ukanunua dk kadhaa za kupiga, Kenya Unaweka Salio na kupiga hivyo hivyo kavu kavu, kudadeki, Tz tuna unafuu mkubwa wa mawasiliano, huduma kama Halichachi Bando n.k zinasaidia wana nchi.

5. Uchafu na taka ni changamoto sana, wana nchi hutupa hivyo maana hakuna utaratibu maalumu kama magari, yapo machache but not affordable to wana nchi wa kawaida wa hali ya chini

6. NAULI kila city basi hujipangia haiko fixed na hakuna governing body yenye hupanga na kuamua nauli kama SUMTRA TZ... So naweza end a tao(town) kwa mbao(20bob=Tsh 440\=) lakini ujaridi kwa 70bob(=1500/= Tsh au soo(Tsh 2000/=) hii INA kufanya ushindwe kupredict

7. Wakenya hawasalimiani njiani, unapita kimya kimya unless uwe mnajuana ndo unaaema 'Sasa......" Tz ni waungwana ukipita kwa njia ni must utae hae juu waweza dondoka mbele akaja akakusevu uliyemuacha nyuma

8. Makelele MENGI sana, tao(town) juu magari yako MENGI sana hasa ya abiria, mahoni pipiiiii, it make the city look hooliganic... Tz uko poa juu mabasi yamepigwa stop kuingia city centre hata yakiingia yana location maalumu sio kuzagaa kama Nairobi

9. Matapeli yamejaaa, Ma conmen, ukiwa street kuibiwa simu ni kawaida, dk mbili unaoneshwa kisu, hasa Eastleigh kule, ni balaaa

1
Kwa Kifupi Maisha Ni magumu sana kwa RAIA wa daraja LA chini, but starehe kwa matajiri na wenye nacho

10. Mabangi yameharimu vijana, vijana waziwazi wanatafuna miraaa, na Rais Wao aliruhusu and promised to fund miraa projects, this is insane...

11. Makelele ya mziki ndani ya matatu yanaharibu sana maskio, na huwezi sikizana kwa phone ukiwa ndani ya matatu, regaae musics most preferred na matatu ziko equipped na music system nzito sound crazy for we non citizens who were not used to this before

Note:- This report is based in Society with low socioeconomic status which constitutes 75% of Kenyans in Nairobi

POSITIVE;-
1. Shule zao ziko smart huwezi differentiate Gava na private
.2. Watoto wanatema ung'eng'e balaa, mtoto wa std 4 ni sawa na form 6 wa Tz,, they are very fluent, compentent in English both written and spoken......nashauri kwenye pesa wapeleke watoto Wao kula japo kwa primary, very cheap.....na quality uko juu

3. Magari ni rahisi kumiliki

4. Starehe nyingi sanaaaaaaa, sanaaaaa kama una pesa zako

5. Hakuna MTU anajali mambo yako, no kulogana au wivu...

6. Entertainments clubs, pubs zimejaaaa

7. Mabasi yao yamepambwa sana this make the city jams look good

Ni HAYO KWA LEO, WAKIBISHANA NITALETA PICHA


Soooo, wewe umekuwa ukiishi slums Nairobi, sio?
 
Kwahiyo Mkuu unataka kusema siku nikija Kenya inabidi nimwombe aliyemchomolea Bastola Nape Nnauye anisindikize ili akawachomolee pia Bastola Wababe wenzie wale Machokoraa wa Nairobeeeee?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

4. Wachache sana wanao afford kula balanced diet, wengi hula mboga tu(sukuma, terere, kienyeji, etc kwa ugali, nyama ni adimu sana hula matajiri tu.....

5. Mb za Kenya huisha kama upepo na very expensive, Tsh 50/= (1110/= Tsh ) unapewa Mb-68 tu, ambazo ukilog in fb dk 10 zinaisha, wakati Tz Fb ni bure na Kwa Tsh 1500/= unapata 1GB and a lot of airtime for a week.

Hakuna vibando vya kupiga simu kama Tz, mfano Tz unaweza weka Salio ukanunua dk kadhaa za kupiga, Kenya Unaweka Salio na kupiga hivyo hivyo kavu kavu, kudadeki, Tz tuna unafuu mkubwa wa mawasiliano, huduma kama Halichachi Bando n.k zinasaidia wana nchi.

5. Uchafu na taka ni changamoto sana, wana nchi hutupa hivyo maana hakuna utaratibu maalumu kama magari, yapo machache but not affordable to wana nchi wa kawaida wa hali ya chini

6. NAULI kila city basi hujipangia haiko fixed na hakuna governing body yenye hupanga na kuamua nauli kama SUMTRA TZ... So naweza end a tao(town) kwa mbao(20bob=Tsh 440\=) lakini ujaridi kwa 70bob(=1500/= Tsh au soo(Tsh 2000/=) hii INA kufanya ushindwe kupredict

7. Wakenya hawasalimiani njiani, unapita kimya kimya unless uwe mnajuana ndo unaaema 'Sasa......" Tz ni waungwana ukipita kwa njia ni must utae hae juu waweza dondoka mbele akaja akakusevu uliyemuacha nyuma

8. Makelele MENGI sana, tao(town) juu magari yako MENGI sana hasa ya abiria, mahoni pipiiiii, it make the city look hooliganic... Tz uko poa juu mabasi yamepigwa stop kuingia city centre hata yakiingia yana location maalumu sio kuzagaa kama Nairobi

9. Matapeli yamejaaa, Ma conmen, ukiwa street kuibiwa simu ni kawaida, dk mbili unaoneshwa kisu, hasa Eastleigh kule, ni balaaa

1
Kwa Kifupi Maisha Ni magumu sana kwa RAIA wa daraja LA chini, but starehe kwa matajiri na wenye nacho

10. Mabangi yameharimu vijana, vijana waziwazi wanatafuna miraaa, na Rais Wao aliruhusu and promised to fund miraa projects, this is insane...

11. Makelele ya mziki ndani ya matatu yanaharibu sana maskio, na huwezi sikizana kwa phone ukiwa ndani ya matatu, regaae musics most preferred na matatu ziko equipped na music system nzito sound crazy for we non citizens who were not used to this before

Note:- This report is based in Society with low socioeconomic status which constitutes 75% of Kenyans in Nairobi

POSITIVE;-
1. Shule zao ziko smart huwezi differentiate Gava na private
.2. Watoto wanatema ung'eng'e balaa, mtoto wa std 4 ni sawa na form 6 wa Tz,, they are very fluent, compentent in English both written and spoken......nashauri kwenye pesa wapeleke watoto Wao kula japo kwa primary, very cheap.....na quality uko juu

3. Magari ni rahisi kumiliki

4. Starehe nyingi sanaaaaaaa, sanaaaaa kama una pesa zako

5. Hakuna MTU anajali mambo yako, no kulogana au wivu...

6. Entertainments clubs, pubs zimejaaaa

7. Mabasi yao yamepambwa sana this make the city jams look good

Ni HAYO KWA LEO, WAKIBISHANA NITALETA PICHA
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

a. 15 Dirtiest Cities in the World

b.
map%20with%20san%20013014%20500_edited-1.jpg


2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

But u were also living in those places

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

That is a lie. Most homes in Nairobi depend on the tap water from the NWSC

WA-3-redo.png
 
What you are showing and not what u showing, go get refund from ur English grammar teacher

Both are correct MissM4C. I think you are the one with a problem here. You should not correct someone on his English because I've seen you make more worse mistakes in this thread.
 
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

a. 15 Dirtiest Cities in the World

b.
map%20with%20san%20013014%20500_edited-1.jpg


2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

But u were also living in those places

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

That is a lie. Most homes in Nairobi depend on the tap water from the NWSC

WA-3-redo.png
Rafiki yangu hebu acha kutuchekesha hapa. Water access
Are you kidding!?
turkana-friends-mission-overview-may-2015-47-638.jpg


ixoj7zuh9tejqrc587fbe4728ee6.jpg


turkana-woman-drinks-from-a-bucket-of-water-she-scooped-in-a-dry-bed-picture-id478436399


Turkana.jpg
 
Mnaona mnavyodanganya? Uliishi wapi Nairobi, hebu rudia tena? South B?

cropped-nairobi.jpg


852626256_ad76aea4c8_o.jpg


South B na C hapoooo.

Hebu sasa tueleze kweli, ulikuwa ukiishi wapi Nairobi?
Mnaona mnavyodanganya? Uliishi wapi Nairobi, hebu rudia tena? South B?

cropped-nairobi.jpg


852626256_ad76aea4c8_o.jpg


South B na C hapoooo.

Hebu sasa tueleze kweli, ulikuwa ukiishi wapi Nairobi?
Mnaona mnavyodanganya? Uliishi wapi Nairobi, hebu rudia tena? South B?

Huyu na mwenye mada ni masikini wa tz, mabanda kando ya south B ni ya wajakazi na unskilled labourers industrial area kutoka kenya, tz, ug
 
Truth is indivisible, ukweli siku zote huumiza upande mmoja na kufavour upande mwingine.
I love truth.
Nasubiri Team wanjala walete utitiri wa Mapichapicha ya thika Huge Multi Mega Highway na Nyumba za Kufanana hapo Nai. Ili kujifariji
 
MissM4C

4. Wachache sana wanao afford kula balanced diet, wengi hula mboga tu(sukuma, terere, kienyeji, etc kwa ugali, nyama ni adimu sana hula matajiri tu.....

a.
world_hunger_map.gif


b.
CGA_MlTVIAEUHAV.png



5. Mb za Kenya huisha kama upepo na very expensive, Tsh 50/= (1110/= Tsh ) unapewa Mb-68 tu, ambazo ukilog in fb dk 10 zinaisha, wakati Tz Fb ni bure na Kwa Tsh 1500/= unapata 1GB and a lot of airtime for a week.

Kwa hili nalo si kweli. 50kshs=150mbs

Hakuna vibando vya kupiga simu kama Tz, mfano Tz unaweza weka Salio ukanunua dk kadhaa za kupiga, Kenya Unaweka Salio na kupiga hivyo hivyo kavu kavu, kudadeki, Tz tuna unafuu mkubwa wa mawasiliano, huduma kama Halichachi Bando n.k zinasaidia wana nchi.

Who still uses phone booths? They died of in circa 2003 in Kenya, with the advent of the cellphones, they now remain in the museums as nothing more than the the relics of history.

5. Uchafu na taka ni changamoto sana, wana nchi hutupa hivyo maana hakuna utaratibu maalumu kama magari, yapo machache but not affordable to wana nchi wa kawaida wa hali ya chini

Again...
15 Dirtiest Cities in the World

6. NAULI kila city basi hujipangia haiko fixed na hakuna governing body yenye hupanga na kuamua nauli kama SUMTRA TZ... So naweza end a tao(town) kwa mbao(20bob=Tsh 440\=) lakini ujaridi kwa 70bob(=1500/= Tsh au soo(Tsh 2000/=) hii INA kufanya ushindwe kupredict

Forces of market demand and supply operates in every aspect of our economy. No need for such regulations by the state. It's capitalism stupid.

7. Wakenya hawasalimiani njiani, unapita kimya kimya unless uwe mnajuana ndo unaaema 'Sasa......" Tz ni waungwana ukipita kwa njia ni must utae hae juu waweza dondoka mbele akaja akakusevu uliyemuacha nyuma

But I dont know who u forkin are!
 
Mnaona mnavyodanganya? Uliishi wapi Nairobi, hebu rudia tena? South B?

cropped-nairobi.jpg


852626256_ad76aea4c8_o.jpg


South B na C hapoooo.

Hebu sasa tueleze kweli, ulikuwa ukiishi wapi Nairobi?
Mnaona mnavyodanganya? Uliishi wapi Nairobi, hebu rudia tena? South B?

cropped-nairobi.jpg


852626256_ad76aea4c8_o.jpg


South B na C hapoooo.

Hebu sasa tueleze kweli, ulikuwa ukiishi wapi Nairobi?
Mnaona mnavyodanganya? Huyu na mwenye mada ni masikini wa tz, mabanda kando ya south B ni ya wajakazi na unskilled labourers industrial area kutoka sehemu za kenya, tz, ug n congo pia, wanaojitafutia maisha kenya.,
 
Back
Top Bottom