Maisha ya mwana JamiiForums nje na ndani ya JamiiForums

[emoji38] [emoji38] Sina Tv ya chogo mkuu[emoji13] [emoji13]

Hiyo ndio hoja yako niliyoweza kuijibu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Hivi kuna mtu anaweza akaona aibu kutaja ye ni mwalimu? Nahisi kati ya fani ninazo ziheshimu ni fani ya ualimu na afya.

Hata mimi najiuliza...kwani kuwa mwalimu kuna ubaya?

Mtu hata awe kuli, mbeba zege, mpiga debe wa daladala, na kadhalika, madhali anajipatia riziki yake halali, binafsi sioni tatizo kabisa.

Kazi ni kazi tu. Na kazi yoyote iliyo halali haimpunguzii mtu utu wake.

Mtu hawi bora zaidi ya mwenzake kisa tu ana kazi flani.
 
Sana tu usidharau mtu ...

Maisha hayana formula,wengine tumepitia hali zotee mpk sasa sioni jipya nachukulia km challenge!zitaisha tu!

Haina haja ya kujikweza wala kudharau mtu
 
Angalia jukwaa lenyewe mjombaa
 
Kazi kazi ilimradi hulali njaa wala kulala nje. Kuna kazi watu tunaziona za ajabu ila zina hela kuliko hizi zetu za kitumwa. Ila tushakariri kazi nzuri ni za kukaa nyuma ya computer. Walimu wana maslahi madogo kuliko wanachokitoa kwenye jamii ila bado ni kazi ya kujivunia sana tena sana.
 
Mleta mada napingana na wewe kidogo kwa sababu tumekuwa tukijieleza tulivyo japo indirect! Mf wengi wanaulizia bei ya magari tena ushauri wanapeana kuhusu magari ya kawaida kabisa na maswali mengine kuhusu magari, maswali kuhusu magari ni mengi kudhihirisha kwamba wengi hatuna magar!

Pia kuna maswali na matangazo mengi kuhusu tv hasa smart! Hii inaonyesha wengi tunatumia chogo au tv za kawaida kabisa, na mengine mengi
 
Hahahahaha lol! Mzima weye!? Vipi weekend unakaangiza nini!? Kama samaki wa kukaanga na ugali nije kudowea.

Ngoja niandae materials ya darasa la namna ya kuandika gazeti. Sawa mrembo!?
Mie sijambo kabisa namshukuru Allah. Usijali kikiiva ntakuita uje tujichane.

Hahahaa. Yaandae tu mie nasubiri. [emoji12] [emoji12]
 
Hivi kuna mtu anaweza akaona aibu kutaja ye ni mwalimu? Nahisi kati ya fani ninazo ziheshimu ni fani ya ualimu na afya.
Kuna watu hawajiamini ujue wana inferiority complex kitu ambacho ni ujinga haswaa!!

Na hivi makonda ametupa vitambulisho vya kupanda gari buree[emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji2] mpk raha silipi nauli miyee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…