Maisha ya Nape CCM Ni sawa na maisha ya digidigi porini

Maisha ya Nape CCM Ni sawa na maisha ya digidigi porini

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Nape inabidi aishi kwa kujipeneekeza tu ndani ya CCM.
Akina Nape na vijana wengine hawawezi maisha nje ya CCM.
Ni watu dhaifu sana.kwa kifupi sana,maisha ya Nape yako hivi.
Hajiamini,hajui anatakaga kufanya Nini CCM.
Alijaribu kumbugudhi fisadi Lowassa,Katibu Mkuu wa CCM wakati huo Makamba akamzuia uongozi wa UVCCM,akamwambia,
"umefungiwa duniani hata mbinguni"
Kikwete akamwokoa na kumpa ukuu wa Wilaya.

Akajifanya kuungana na kundi la akina Sita kuanzisha chama kipya ndani ya chama wakakiita CCJ,Nape na wenzake wakashughulikiwa. Na karipio Kali wakapewa.

Nape akajidai kupambana na jambazi Bashite,baada ya Bashite kuvamia Clouds Redio,Nape akaTumbuliwa uwaziri.

Siku chache baadae Nape akaelekezewa Mdomo wa Bastola alipokua akitaka kwenda kufanya mazungumzo na Vyombo vya habari juu ya kutumbuliwa kwake.

Nape nae Kama Lissu akaanza kulalamika kuwa anafuatiliwa na wasiojulikana.

Nape Bado hakuwa salama,Nape alidukuliwa akimsema vibaya Raisi wetu mpendwa,mtetezi wa sisi wanyonge na kiboko ya Korona na Mabeberu.

Nape maisha ya mtaani wanayoishi akina Mbowe,lissu,Lema,Sugu hayawezi,akaona aende kuungama,kutubu na kujuta dhambi zake kwa kipenzi Cha Watanzania JPM.

Mimi mwenyewe nilishudia video ya Nape akitembea umbali mrefu huku jasho likimtoka naye akawa anajifuta kwa kitambaa akielekea ndani ya nyumba ya Taifa.

Leo hi nape anaomba apewe ruhusa ya kupiga mabuti wenzie.

Maisha ya Nape Ni kama ya digidigi polini,anaishi kwa kuogopa kuliwa.

Nape Ni bingwa wa kuandika tweet za mafumbo ambayo anayaelewaga yeye mwenyewe tu.Na juzikati hapa kaandika fumbo Kama hivi,
"wewe piga kelele tu ukiona unempigia kelele hajibu jiulize Mara mbili"
Sijui hapa alimlenga Nani.
Nape haeleweki Kama anapenda Haki au haramu.
 
Nape lacks the sense of belonging...kitaa wanamwita mwana wa kukataliwa.
 
Alimlenga yule alieweka picha yake hadi huko insta msigwa akampost chini akaandika"kaka amekanyaga wire"sasa msingwa nae sijui alimaanisha nini naona kimya hadi leo
 
Alimlenga yule alieweka picha yake hadi huko insta msigwa akampost chini akaandika"kaka amekanyaga wire"sasa msingwa nae sijui alimaanisha nini naona kimya hadi leo
Hayo ndio madhara ya kuongea ama kuandika mafumbo.
Alitakiwa anyooshe kiswahili tu.
Hapa ndipo tunapomuona Lisu Kama shujaa.anaongea Hali halisi na anataja mtu halisi aliyekusudia kumtaja.
 
Nape inabidi aishi kwa kujipeneekeza tu ndani ya CCM.
Akina Nape na vijana wengine hawawezi maisha nje ya CCM.
Ni watu dhaifu sana.kwa kifupi sana,maisha ya Nape yako hivi.
Hajiamini,hajui anatakaga kufanya Nini CCM.
Alijaribu kumbugudhi fisadi Lowassa,Katibu Mkuu wa CCM wakati huo Makamba akamzuia uongozi wa UVCCM,akamwambia,
"umefungiwa duniani hata mbinguni"
Kikwete akamwokoa na kumpa ukuu wa Wilaya.

Akajifanya kuungana na kundi la akina Sita kuanzisha chama kipya ndani ya chama wakakiita CCJ,Nape na wenzake wakashughulikiwa. Na karipio Kali wakapewa.

Nape akajidai kupambana na jambazi Bashite,baada ya Bashite kuvamia Clouds Redio,Nape akaTumbuliwa uwaziri.

Siku chache baadae Nape akaelekezewa Mdomo wa Bastola alipokua akitaka kwenda kufanya mazungumzo na Vyombo vya habari juu ya kutumbuliwa kwake.

Nape nae Kama Lissu akaanza kulalamika kuwa anafuatiliwa na wasiojulikana.

Nape Bado hakuwa salama,Nape alidukuliwa akimsema vibaya Raisi wetu mpendwa,mtetezi wa sisi wanyonge na kiboko ya Korona na Mabeberu.

Nape maisha ya mtaani wanayoishi akina Mbowe,lissu,Lema,Sugu hayawezi,akaona aende kuungama,kutubu na kujuta dhambi zake kwa kipenzi Cha Watanzania JPM.

Mimi mwenyewe nilishudia video ya Nape akitembea umbali mrefu huku jasho likimtoka naye akawa anajifuta kwa kitambaa akielekea ndani ya nyumba ya Taifa.

Leo hi nape anaomba apewe ruhusa ya kupiga mabuti wenzie.

Maisha ya Nape Ni kama ya digidigi polini,anaishi kwa kuogopa kuliwa.

Nape Ni bingwa wa kuandika tweet za mafumbo ambayo anayaelewaga yeye mwenyewe tu.Na juzikati hapa kaandika fumbo Kama hivi,
"wewe piga kelele tu ukiona unempigia kelele hajibu jiulize Mara mbili"
Sijui hapa alimlenga Nani.
Nape haeleweki Kama anapenda Haki au haramu.
Mpeni pole jina halikurudi kipindi hiki
 
NAPE ni msaliti namba moja , kweli wakimpitisha kwenye kugombea Ubunge nitawaona hawana akili, sababu kosa alilolifanya ni kubwa sana ya kumkashifu mwenyekiti,pamoja na kuomba msamaha ilibidi akae miaka kumi kabla ya kugombea uongozi katika chama, Nape huyu huyu alitaka kuanzisha chama wakati akiwa CCM.
Kwanini asiwe mwanachama wa kawaida kwanza kabla ya kugombea nafasi ya uongozi / ubunge , Je kwenye chama hakuwa watu wengine kugombea ubunge
 
Nape inabidi aishi kwa kujipeneekeza tu ndani ya CCM.
Akina Nape na vijana wengine hawawezi maisha nje ya CCM.
Ni watu dhaifu sana.kwa kifupi sana,maisha ya Nape yako hivi.
Hajiamini,hajui anatakaga kufanya Nini CCM.
Alijaribu kumbugudhi fisadi Lowassa,Katibu Mkuu wa CCM wakati huo Makamba akamzuia uongozi wa UVCCM,akamwambia,
"umefungiwa duniani hata mbinguni"
Kikwete akamwokoa na kumpa ukuu wa Wilaya.

Akajifanya kuungana na kundi la akina Sita kuanzisha chama kipya ndani ya chama wakakiita CCJ,Nape na wenzake wakashughulikiwa. Na karipio Kali wakapewa.

Nape akajidai kupambana na jambazi Bashite,baada ya Bashite kuvamia Clouds Redio,Nape akaTumbuliwa uwaziri.

Siku chache baadae Nape akaelekezewa Mdomo wa Bastola alipokua akitaka kwenda kufanya mazungumzo na Vyombo vya habari juu ya kutumbuliwa kwake.

Nape nae Kama Lissu akaanza kulalamika kuwa anafuatiliwa na wasiojulikana.

Nape Bado hakuwa salama,Nape alidukuliwa akimsema vibaya Raisi wetu mpendwa,mtetezi wa sisi wanyonge na kiboko ya Korona na Mabeberu.

Nape maisha ya mtaani wanayoishi akina Mbowe,lissu,Lema,Sugu hayawezi,akaona aende kuungama,kutubu na kujuta dhambi zake kwa kipenzi Cha Watanzania JPM.

Mimi mwenyewe nilishudia video ya Nape akitembea umbali mrefu huku jasho likimtoka naye akawa anajifuta kwa kitambaa akielekea ndani ya nyumba ya Taifa.

Leo hi nape anaomba apewe ruhusa ya kupiga mabuti wenzie.

Maisha ya Nape Ni kama ya digidigi polini,anaishi kwa kuogopa kuliwa.

Nape Ni bingwa wa kuandika tweet za mafumbo ambayo anayaelewaga yeye mwenyewe tu.Na juzikati hapa kaandika fumbo Kama hivi,
"wewe piga kelele tu ukiona unempigia kelele hajibu jiulize Mara mbili"
Sijui hapa alimlenga Nani.
Nape haeleweki Kama anapenda Haki au haramu.
Huyu nape kamponza kipilimba, kamsaliti membe, huyu dogo hafai kabisa
 
Hapiti huyu safari hii, anakatwa maxima Nimeona majuzi akiwa Mtama na Waziri Mkuu akijikombakomba, ety"Naamin nitachaguliwa"
Nyoooooooh kazi unayo mwaka huu, jiandae tu kumfuata mjomba wako Membe
 
Nape inabidi aishi kwa kujipeneekeza tu ndani ya CCM.
Akina Nape na vijana wengine hawawezi maisha nje ya CCM.
Ni watu dhaifu sana.kwa kifupi sana,maisha ya Nape yako hivi.
Hajiamini,hajui anatakaga kufanya Nini CCM.
Alijaribu kumbugudhi fisadi Lowassa,Katibu Mkuu wa CCM wakati huo Makamba akamzuia uongozi wa UVCCM,akamwambia,
"umefungiwa duniani hata mbinguni"
Kikwete akamwokoa na kumpa ukuu wa Wilaya.

Akajifanya kuungana na kundi la akina Sita kuanzisha chama kipya ndani ya chama wakakiita CCJ,Nape na wenzake wakashughulikiwa. Na karipio Kali wakapewa.

Nape akajidai kupambana na jambazi Bashite,baada ya Bashite kuvamia Clouds Redio,Nape akaTumbuliwa uwaziri.

Siku chache baadae Nape akaelekezewa Mdomo wa Bastola alipokua akitaka kwenda kufanya mazungumzo na Vyombo vya habari juu ya kutumbuliwa kwake.

Nape nae Kama Lissu akaanza kulalamika kuwa anafuatiliwa na wasiojulikana.

Nape Bado hakuwa salama,Nape alidukuliwa akimsema vibaya Raisi wetu mpendwa,mtetezi wa sisi wanyonge na kiboko ya Korona na Mabeberu.

Nape maisha ya mtaani wanayoishi akina Mbowe,lissu,Lema,Sugu hayawezi,akaona aende kuungama,kutubu na kujuta dhambi zake kwa kipenzi Cha Watanzania JPM.

Mimi mwenyewe nilishudia video ya Nape akitembea umbali mrefu huku jasho likimtoka naye akawa anajifuta kwa kitambaa akielekea ndani ya nyumba ya Taifa.

Leo hi nape anaomba apewe ruhusa ya kupiga mabuti wenzie.

Maisha ya Nape Ni kama ya digidigi polini,anaishi kwa kuogopa kuliwa.

Nape Ni bingwa wa kuandika tweet za mafumbo ambayo anayaelewaga yeye mwenyewe tu.Na juzikati hapa kaandika fumbo Kama hivi,
"wewe piga kelele tu ukiona unempigia kelele hajibu jiulize Mara mbili"
Sijui hapa alimlenga Nani.
Nape haeleweki Kama anapenda Haki au haramu.

He is an opportunist!! Zaidi ya yote ni mnafiki!!! He is more loyal to Membe than to ccm!!!!
 
Alimlenga yule alieweka picha yake hadi huko insta msigwa akampost chini akaandika"kaka amekanyaga wire"sasa msingwa nae sijui alimaanisha nini naona kimya hadi leo
wanajuana hao tuwaachage tu...lowasa yukowapi alitulaza usiku kuccha leo hii anasema anamuunga mkono mkuu unafanyaje hapo sasa...haya mambo tuyaachage tu wanaelewana hao
 
Back
Top Bottom