Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuywaa soda kabisa maana watagombana wewe utapana nafuuuila motivational speakers mnazinguaga kichizi
Utaskia "Maisha ni kama feni, wakati inazinguka pia jua lina Waka"[emoji23]
Msitutishe bana[emoji23]
#OA WAKE WAWILI WAGOMBANE WAO
36 mkuu...watoto wa 3 tu,ada zao zinanipeleka mbio....hyo hela ya posa,mahali,harusi ntaitoa wapi?Kama mimi mkuu,aga ngp now? Me nipo 37 sina mpango
Ungeyafahamu haya usingeachikaMaisha ya ndoa ni mazuri Sana Kama mtaelewana,japo mapungufu yatakuwepo lakini ni kawaida. Yanafanana na pedeli ya baskeli.Siku mke akiwa juu,mume kubali kuwa chini na mume akiwa juu mke kubali kuwa chini.(ndivyo baskeli inavyoenda).
Kiburi,ujeuri,kisirani,dharau,ubabe haujengi ndoa Bali hubomoa. Tena Kuna wale wanaoshauriana na wake zao,akimaliza hapo anaenda kwa marafiki zake a.k.a washauri zake kuomba ushauri.Sasa uliomba ushauri kwa mkeo ili iweje!!!Sasa Bora washauri wakushauri vizuri,lakini hakuna.Ndoa nyingi zimekufa kwa sababu hii.
Maisha yanahitaji HESHIMA,UVUMILIVU,UPENDO,MTHAMINI MWENZA WAKO,MJALI,USIMFICHE.
KITU,MSHIRIKISHE,MUAMINI.
Nawatakia Ramadhan njema!!!!
Acha ukorofiiiiiiii🤣🤣🤣Pedeli tena?!😳
🤣🤣🤣🤣🤸Acha ukorofiiiiiiii🤣🤣🤣
Umeniacha ww!Umeachwa nini???Maana umeropoka tuu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣