Maisha ya Nigeria

Alimaanisha population density
 
Kingine ni kuwa naijiria haijawahi kuwa na published data za census maana Sensa yao huathirika na suala la dini na ukabila! Hii inatokana na inji hii kuwa na rushwa isiyo na mfano! Pole sana Mzee Mrema kwa kufiwa na nke yako kipenzi
 
Mleta mada tambua kuwa mafuta ya Nigeria yanakua refined na makampuni ya kigeni, Shell ikiwemo. Hawa ndiyo wanufaikaji wa mafuta ya Nigeria.
 
inaweza kuingia top 10 kweny the world's most populous countries
 
Ndio maana ile mechi tumepigwa, kumbe wengine walienda kuandika Makala badala ya kujikita tunashindaje ile game?

Shwaini kabisa.
Eddoh yupo kamati gani pale Utopolo,alienda kama mwandishi wala sio mwandishi wa Yanga😂😂😂😂
 
Hapa kwetu hakuna vya kuandika. Kila kitu kiko sawa. Makala ndeefu kuhusu Naijeria sisi inatusaidia nini. Ungeandika haya kuhusu serikali yetu ya hovyo ingesaidia kidogo
 
Wameshindwa kuichambua content wanakazania eti muandishi mzuri.
 
Edo ukisoma kalamu yake utapenda ila ukimsikiliza anavyoongea sasa utajuta kupoteza muda wako..

Hivi alisoma chuo gani
 
Hapa kwetu hakuna vya kuandika. Kila kitu kiko sawa. Makala ndeefu kuhusu Naijeria sisi inatusaidia nini. Ungeandika haya kuhusu serikali yetu ya hovyo ingesaidia kidogo
Kaamua kuandika yeye wewe unampangia cha kuandika.

Mke mdogo wa mudi una gubu sana mbona mudi humpangii?
 
Mbona kwenye filamu zao wanaonekana wako njema sana,hasa kule lagos?
 
Huwezi kutumia neno 'Kama sio Duniani' wakati Nigeria inashikiria nafasi ya 6. Ukitumia neno hilo unajaribu kutupa maana kwamba Nigeria Kama sio nchi ya Kwanza kwa kuwa na Idadi kubwa ya watu basi ni nchi ya Pili.
Hapo pana shida sema mashabiki wake watakupinga. Mi nimeshangaa kuweka kidadi ya wanigeria 112m
 
Hata mimi nimeshangaa. Halafu hakuna reference aliyoweka.
 
Mwandishi mzuri wa makala huwa anaweka reference.
 
Mambo muhimu ya kujua kuhusu Nigeria kwa kuongeza kwa faida ya wanajukwaa:
1. Nigeria ndo taifa linaloongoza barani Afrika kwa uwingi wa watu kwa sasa inakadiriwa kuwa na watu milioni 201.(That's Africa's demographic giant)
2.Nigeria ndo taifa
linaloongozakuwa na watu weusi wengi duniani.
3.Katika Nigeria makabila makubwa ni matatu ambayo ni Yoruba,Igbo na Hausa-Fulani na ndo yamedominte almost kila kitu katika nchi hyo. Yoruba amedominate civil service,Igbo amedominate biashara(Hawa wawili ndo wasomi zaidi Nigeria na ndo wengi kuliko makabila yote na wote no kutoka kusini) na Hausa-Fulani yeye amedominate jeshi(Hawa ni wafugaji toka Kaskazini)
4. Jiji la Lagos na Abaekuta yaliyopo kusini yote yako kwenye influence ya Wayoruba na kidogo Waigbo wanaoendesha biashara kubwakubwa.
5.Jiji la Abuja lililopo Kaskazini lilianzishwa na majenerali wa Kaskazini (Hausa-Fulani) kuwa mji mkuu ili kipunguza influence ya Wayoruba na Lagos yao.
6.Rais wa Sasa Rtr.Gen.Muhamadi Bihari anatoka Kaskazini na aliwahi kuwa kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo.
7.Yoruba na Igbo wengi no wakristo wa madheebu ya Anglikani na Hausa-Fulani ni waislam.
8.Watu madhibuti nchini jump na wanaotajika ulimwenguni kote wengi wametokea kusini Kama Woke Soyinka,Oluseguni Obasanjo,Fela Kuti(Yoruba) na Chinua Achebe(Igbo).
 
Hiyo ndio Afrika,watu wakiambiwa Tzn hii licha ya tabu zake ni nzuri mara mia kuliko nchi nyingi za Kiafrika .

Hiyo ndio sababu kuu ya wanigeria wengi kukimbia nchi yao , umaskini huko ni WA kutisha , serikali na watu hawaelewi washike wapi na waache wapi.
 
Kwaiyo Bora Hapa Bongo!?
Kama unaondoka Bongo ni uende nje ya Afrika au kama ni Afrika basi ni Kaskazini kwa Waarabu tofauti na hapo bora ubakie hapa hapa kuna fursa ya kutoka kuliko maeneo mengine ya Afrika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…