Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Hapo kwenye idadi ya watu kazingua,wako takribani mil.220 na zaidiMchambuzi Mzuri hawezi kuandika hivi:
Nigeria ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya watu Afrika kama sio duniani kwa ujumla. Sensa inaonyesha kuna Wanigeria 112 milioni wanaoishi nchini kwao.
Duniani kwa Ujumla???? WTF ameshindwa hata Ku Google.
Nani kawazuia kujenga refinery zao?Mleta mada tambua kuwa mafuta ya Nigeria yanakua refined na makampuni ya kigeni, Shell ikiwemo. Hawa ndiyo wanufaikaji wa mafuta ya Nigeria.
Ukisikia shit hole and failed state basi Nigeria ni miongoni mwayo.Kingine ni kuwa naijiria haijawahi kuwa na published data za census maana Sensa yao huathirika na suala la dini na ukabila! Hii inatokana na inji hii kuwa na rushwa isiyo na mfano! Pole sana Mzee Mrema kwa kufiwa na nke yako kipenzi
Kuongea hajui,sauti mbaya kama ya mzee mtiririko wa mantiki haupoIla Edo anajua sana kuchambua kwa kuandika kuliko kuchambua kwa kuongea
Aweke reference umesikia hio ni scientific writing usipende kuchukulia kila kitu serious yeye kupitia observation yake ameona aandike kile alichokiona usipende kuwa complicatedHata mimi nimeshangaa. Halafu hakuna reference aliyoweka.
Jiji la lagos Lina influence ya wayoruba kwa sababu traditional yale ni maeneo ya wayoruba kama ilivyo dar ilikua maeneo ya wazaramoMambo muhimu ya kujua kuhusu Nigeria kwa kuongeza kwa faida ya wanajukwaa:
1. Nigeria ndo taifa linaloongoza barani Afrika kwa uwingi wa watu kwa sasa inakadiriwa kuwa na watu milioni 201.(That's Africa's demographic giant)
2.Nigeria ndo taifa
linaloongozakuwa na watu weusi wengi duniani.
3.Katika Nigeria makabila makubwa ni matatu ambayo ni Yoruba,Igbo na Hausa-Fulani na ndo yamedominte almost kila kitu katika nchi hyo. Yoruba amedominate civil service,Igbo amedominate biashara(Hawa wawili ndo wasomi zaidi Nigeria na ndo wengi kuliko makabila yote na wote no kutoka kusini) na Hausa-Fulani yeye amedominate jeshi(Hawa ni wafugaji toka Kaskazini)
4. Jiji la Lagos na Abaekuta yaliyopo kusini yote yako kwenye influence ya Wayoruba na kidogo Waigbo wanaoendesha biashara kubwakubwa.
5.Jiji la Abuja lililopo Kaskazini lilianzishwa na majenerali wa Kaskazini (Hausa-Fulani) kuwa mji mkuu ili kipunguza influence ya Wayoruba na Lagos yao.
6.Rais wa Sasa Rtr.Gen.Muhamadi Bihari anatoka Kaskazini na aliwahi kuwa kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo.
7.Yoruba na Igbo wengi no wakristo wa madheebu ya Anglikani na Hausa-Fulani ni waislam.
8.Watu madhibuti nchini jump na wanaotajika ulimwenguni kote wengi wametokea kusini Kama Woke Soyinka,Oluseguni Obasanjo,Fela Kuti(Yoruba) na Chinua Achebe(Igbo).
Ahsante,Ila sio Yoruba ni Lagos na nimesema lipo kusini wanapotokea Wayoruba. Nashukuru kwa kusstiza.Jiji la Yoruba Lina influence ya wayoruba kwa sababu traditional yale ni maeneo ya wayoruba kama ilivyo dar ilikua maeneo ya wazaramo
kwa census ya 2020 Nigeria ni ya 7 duniani ina watu mil 200 +Hujaelewa. Ni 'moja' ya nchi zenye idadi kubwa ya watu Afrika kama sio duniani.
It means kwenye top populated countries in Africa ipo. Pia 'inawezekana' hata duniani kwa ujumla ni miongoni mwa nchi zenye watu wengi. Top 20 naamini Nigeria haikosekani duniani. Hajasema ni ya kwanza.
Soma uelewe Kiswahili sio unakurupuka mkuu.
Kuna power kubwa kutoka kwa mabeberu inayohakikisha hilo haliwezekani.Nani kawazuia kujenga refinery zao?
Mbona Biblia haina picha na mnasomaPicha za kuakisi kinachosemwa ziko wapi sijui
Wajinga tuu hakuna cha power wala nini,mbona Uganda wameanza ujenzi huku beberu Total akiwepo?Kuna power kubwa kutoka kwa mabeberu inayohakikisha hilo haliwezekani.
Unakua enzi mikataba gani waliingia na wawekezaji wakati wanaanza kuchimba mafuta?Wajinga tuu hakuna cha power wala nini,mbona Uganda wameanza ujenzi huku beberu Total akiwepo?
Sio kila mtu anasoma hivyo vitabu
Hajaleta kabisa habari za Yanga na mechi ya mpira yaani alienda na jambo lake kichwani.Ila Edo anajua sana kuchambua kwa kuandika kuliko kuchambua kwa kuongea
una uhakika hajaleta au ww ndio hujaona?Hajaleta kabisa habari za Yanga na mechi ya mpira yaani alienda na jambo lake kichwani.
Ndio kazi ya mwandishi wa habari safi. Ila namuambia tu hawezi kuijua na kuielezea Nigeria kwa three days 2nights.
Halafu inajustify sie wabongo tulivyo wavivu na watu wa kuridhika kuwaa nchi yetu imetulia hatuna shida. Hizo kelele na kutotulia ndio catalyst, eddo aende kibera na the likes Nairobi, Eddo aende hata huko wanakochenjua dhahabu kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini apambane na kelele za makarasha. Hata mgeni ukimfikishia hotel iliyo nyuma na Manzese atapata tabu sana.
Yanga walipigwa mind game
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app