Maisha ya Nigeria

Maisha ya Nigeria

Mchambuzi Mzuri hawezi kuandika hivi:

Nigeria ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya watu Afrika kama sio duniani kwa ujumla. Sensa inaonyesha kuna Wanigeria 112 milioni wanaoishi nchini kwao.

Duniani kwa Ujumla???? WTF ameshindwa hata Ku Google.
Hapo kwenye idadi ya watu kazingua,wako takribani mil.220 na zaidi
 
Kingine ni kuwa naijiria haijawahi kuwa na published data za census maana Sensa yao huathirika na suala la dini na ukabila! Hii inatokana na inji hii kuwa na rushwa isiyo na mfano! Pole sana Mzee Mrema kwa kufiwa na nke yako kipenzi
Ukisikia shit hole and failed state basi Nigeria ni miongoni mwayo.
 
Mambo muhimu ya kujua kuhusu Nigeria kwa kuongeza kwa faida ya wanajukwaa:
1. Nigeria ndo taifa linaloongoza barani Afrika kwa uwingi wa watu kwa sasa inakadiriwa kuwa na watu milioni 201.(That's Africa's demographic giant)
2.Nigeria ndo taifa
linaloongozakuwa na watu weusi wengi duniani.
3.Katika Nigeria makabila makubwa ni matatu ambayo ni Yoruba,Igbo na Hausa-Fulani na ndo yamedominte almost kila kitu katika nchi hyo. Yoruba amedominate civil service,Igbo amedominate biashara(Hawa wawili ndo wasomi zaidi Nigeria na ndo wengi kuliko makabila yote na wote no kutoka kusini) na Hausa-Fulani yeye amedominate jeshi(Hawa ni wafugaji toka Kaskazini)
4. Jiji la Lagos na Abaekuta yaliyopo kusini yote yako kwenye influence ya Wayoruba na kidogo Waigbo wanaoendesha biashara kubwakubwa.
5.Jiji la Abuja lililopo Kaskazini lilianzishwa na majenerali wa Kaskazini (Hausa-Fulani) kuwa mji mkuu ili kipunguza influence ya Wayoruba na Lagos yao.
6.Rais wa Sasa Rtr.Gen.Muhamadi Bihari anatoka Kaskazini na aliwahi kuwa kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo.
7.Yoruba na Igbo wengi no wakristo wa madheebu ya Anglikani na Hausa-Fulani ni waislam.
8.Watu madhibuti nchini jump na wanaotajika ulimwenguni kote wengi wametokea kusini Kama Woke Soyinka,Oluseguni Obasanjo,Fela Kuti(Yoruba) na Chinua Achebe(Igbo).
Jiji la lagos Lina influence ya wayoruba kwa sababu traditional yale ni maeneo ya wayoruba kama ilivyo dar ilikua maeneo ya wazaramo
 
Jiji la Yoruba Lina influence ya wayoruba kwa sababu traditional yale ni maeneo ya wayoruba kama ilivyo dar ilikua maeneo ya wazaramo
Ahsante,Ila sio Yoruba ni Lagos na nimesema lipo kusini wanapotokea Wayoruba. Nashukuru kwa kusstiza.
 
Hujaelewa. Ni 'moja' ya nchi zenye idadi kubwa ya watu Afrika kama sio duniani.

It means kwenye top populated countries in Africa ipo. Pia 'inawezekana' hata duniani kwa ujumla ni miongoni mwa nchi zenye watu wengi. Top 20 naamini Nigeria haikosekani duniani. Hajasema ni ya kwanza.

Soma uelewe Kiswahili sio unakurupuka mkuu.
kwa census ya 2020 Nigeria ni ya 7 duniani ina watu mil 200 +
Ethiopia Ina watu mil 174+
Nadhani hata hama hama za watu inachangizwa na population yao ,maana hata Ethiopians kila siku wanakamatwa wakihama
 
Hivi Naijeria si inamuundo wa state so ukiona Mji fulani umechoka ni viongozi state hiyo na si ya federal government kama wanavyotanabaisha wao!!!
 
Huku Port Harcourt si ndipo alipouwawa yule jamaa Ken Saro Wiwa?,sikumbuki ulikuwa utawala wa rais yupi.
 
ASANTE SANA Edo kumwembe, umetutendea stahili zuri kwa makala hii, endelea kutupa mrejesho popote pale unspoenda...sio akina pascal mayalla kutwa nzima kujikomba ssiem
 
Ila Edo anajua sana kuchambua kwa kuandika kuliko kuchambua kwa kuongea
Hajaleta kabisa habari za Yanga na mechi ya mpira yaani alienda na jambo lake kichwani.
Ndio kazi ya mwandishi wa habari safi. Ila namuambia tu hawezi kuijua na kuielezea Nigeria kwa three days 2nights.

Halafu inajustify sie wabongo tulivyo wavivu na watu wa kuridhika kuwaa nchi yetu imetulia hatuna shida. Hizo kelele na kutotulia ndio catalyst, eddo aende kibera na the likes Nairobi, Eddo aende hata huko wanakochenjua dhahabu kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini apambane na kelele za makarasha. Hata mgeni ukimfikishia hotel iliyo nyuma na Manzese atapata tabu sana.
Yanga walipigwa mind game

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hajaleta kabisa habari za Yanga na mechi ya mpira yaani alienda na jambo lake kichwani.
Ndio kazi ya mwandishi wa habari safi. Ila namuambia tu hawezi kuijua na kuielezea Nigeria kwa three days 2nights.

Halafu inajustify sie wabongo tulivyo wavivu na watu wa kuridhika kuwaa nchi yetu imetulia hatuna shida. Hizo kelele na kutotulia ndio catalyst, eddo aende kibera na the likes Nairobi, Eddo aende hata huko wanakochenjua dhahabu kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini apambane na kelele za makarasha. Hata mgeni ukimfikishia hotel iliyo nyuma na Manzese atapata tabu sana.
Yanga walipigwa mind game

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
una uhakika hajaleta au ww ndio hujaona?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom