mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,565
- 2,944
yy kaandika vya Nigeria, ww andika vya Namtumbo , mbona simple tu??Hapa kwetu hakuna vya kuandika. Kila kitu kiko sawa. Makala ndeefu kuhusu Naijeria sisi inatusaidia nini. Ungeandika haya kuhusu serikali yetu ya hovyo ingesaidia kidogo