Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

Mkuu wa chuo hilo swali umeuliza mara nyingi mno!
Mimi wala Ritz hatuwezi kutoa conclusive report kuwa osama aliuwawa na hii inatokana na utata wa ile mission na pia maswali mengi mno yasio na majibu!
Kwa upande wako wewe umeamini 100% kuwa aliuwawa na uko tayari hata kwenda mahakamani kuapa! Au sio?
Tumekuonyesha hata hao wamarekani wenyewe wanapinga na kukana lkn wewe uko upande wa obama and co ltd?
Umekazania hapohapo!
Ungeamua kufikiri kidogo basi naamini hata wewe ungekuwa na mashaka!
Lkn umeamua kufuata 100% tv na magazeti yalivyo sema!

Unakumbuka yule jamaa aliye tabiri kiyama (siku ya mwisho duniani itakuwa 21/12/2012 ??)

Je! Nikuulize Mkuu wa chuo !

Manake huyo jamaa pia alipata wafuasi mamilioni!

I just wonder kama na wewe ulikuwa miongoni mwao!
utata wa ile mission ulitokana na kwamba hakuna aliyekuwa anajua hicho kitu hata ISI ili kuwa haijui yaani CIA waliendesha uchunguzi baada ya kubaini ikaanza kupigwa tizi kukamilisha hiyo mission

hata wale jamaa wa seal team six walikuwa wanapiga tizi bila ya kujua wanaenda kupiga operation ipi mwishoni wanaambiwa ni kwa ajili ya Osama

yaani ile mission ilikuwa ni ya kushtukiza sio kwamba eti naamini 100% kiasi kwamba naweza simama mbele ya mahakama kushudia kama mmoja wa mashaidi...

Lakini ukicheck fact zinajipa na kujipanga zenyewe ubongoni, sasa unategemea hata hao waamerica unaowasema watakuwa vipi hawana mashaka kama hawakujua mwanzo walikuja kushtukia operation imekwisha fanyika

lakini tunaona wa Marekani wengi siku hiyo walishangilia sana kwa sababu zipo video hata youtube zikionyesha hilo pia hata picha zinapatikana...

kuhusiana na yule jamaa aliyesema na kutabiri siku ya kiyama mimi ninamuita mpuuzi na wafuasi wake ni wajinga na si unajua tena wajinga ndio waliwao kwa hiyo mi siwezi kuwa mfuasi wa upuuzi hiyo inanikumbusha akina William Miller walivyotabiri Yesu atarudi mwaka 1844 na atashukia Texas lakini waliwapata wajinga si unajua tena wajinga ndio waliwao alivyoacha kutokea wafuasi wakahasi kwasababu wengine waliuza vitu vyao kwa ajili ya kumpokea masihi sasa akutokea eti akaja Hellen G White akawaambia nyie hamukumuelewa William Miller mwaka huo Yesu alikuwa anaingia patakatifu pa patakatifu huko mbinguni dah! ndio kama hivyo, sasa watu kama hao lazima wapo katika jamii lakini mimi la hasha siwezi kuwa mfuasi wa hivyo vitu... hata ukirudi kwa akina Kibwetere hakukosa wafuasi pia...

labda nikuulize swali bwana kahtaan, je wewe ulikuwa ni mfuasi wa Osama?
 
Last edited by a moderator:
Hii habari ya Osama kuvaa kofia kuogopa satellite za Marekani umezileta wewe.
ha haa haaaa, hizo sio stori zangu ila mimi nilileta report ya jopo la mahakama ya Pakistani zikiwemo habari za kusisimua kama hizo, nafikiri nili i quote somewhere ipo ukurasa wa tisa katika huu uzi hebu rudi usome kama ni maneno yangu...

basi bwana Ritz umekomalia na kuona ndio sehemu ya kuchomokea na kuamua kuchekesha wana jamvi...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

Marekani kuna watu more than 315 milion, wewe unafanya reference kwenye youtube kama wamerekani walikuwa wanashangilia kufa kwa Osoma.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

Hivi huwa unafuatilia habari za kidunia kweli?

Jitahidi kuwa unafuatilia habari, unasema Marekani huwa hawakurupuki kwenye kuvamia, nikuwekee orodha ya matukio yao waliokurupuka na kuuawa watu wasiokuwa na hatia kisha wanaomba misamaha.

1 Jul 2002 ndege za Marekani zimewaua watu 40 huko Afghanistan kuchunguza kumbe watu walikuwa harusini, serikali ya Marekani wakaomba msamaha huku siyo kukurupuka?
kama ungeniwekea habari yote niweze kuipitia ningeshukuru sana, kwa nini mpaka wakauwa watu wote hao yaani walikuwa wanatafuta nini?

au kwamba waliona harusi wakaamua kuua tu? inabidi tucheck in detail? hapo tunaweza kupima...
 
Last edited by a moderator:
ha haa haaaa, hizo sio stori zangu ila mimi nilileta report ya jopo la mahakama ya Pakistani zikiwemo habari za kusisimua kama hizo, nafikiri nili i quote somewhere ipo ukurasa wa tisa katika huu uzi hebu rudi usome kama ni maneno yangu...

basi bwana Ritz umekomalia na kuona ndio sehemu ya kuchomokea na kuamua kuchekesha wana jamvi...

Wala sijakomalia hapa tunajadili mapandiko, mie nichomoke tena niende wapi wapi wakati natoa darsa.
 
Last edited by a moderator:
Osama bin laden death announcement date 1 May 2011
Adolf hitler death announcement date 1 May 1945

unganisha Dots....

Adolf hitler mwili wake haukupata kuonekana wala kupigwa picha.
Adolf hitler yasemekana alikua ni tool(alitumika)kuanzisha vita kuu ya pili ya dunia kwa malengo maalumu ya wanaotaka kuanzisha new world order.
Osama bin laden mwili wake wala kaburi lake vilevile halipo.
Maneno ni kuwa kuna element katika serikali ya marekani ndo walipanga shambulio la september eleven ili kutimiza malengo yaleyale ya kuingia middle east,kuzipindua secular governments zote za kiarabu na kuweka zile zitakazoongozwa na al gaida ili kujenga mazingira yatayopelekea vita vya tatu vya dunia.
Leo hii al gaida ni jeshi lenye nguvu kushinda wakati wa bin laden.
Ripoti ya debka.com leo ni kuwa al gaida hivi sasa wameizingira israel kutoka sehemu tatu,kutoka sinai,mpaka wa syria na israel na kutokea gaza.
 
kama ungeniwekea habari yote niweze kuipitia ningeshukuru sana, kwa nini mpaka wakauwa watu wote hao yaani walikuwa wanatafuta nini?

au kwamba waliona harusi wakaamua kuua tu? inabidi tucheck in detail? hapo tunaweza kupima...

Wala usihofu takuwekea hiyo habari.

Walikuwa wanadhani eti ni mgambo wa Taliban.
 
Mkuu wa chuo,

Marekani kuna watu more than 315 milion, wewe unafanya reference kwenye youtube kama wamerekani walikuwa wanashangilia kufa kwa Osoma.

okay, bwana Ritz unaweza ukaongezea reference nyingine hapo ili tupate reference nyingi zaidi...
 
Last edited by a moderator:
Hv kweli kuna logic kwa jinsi jina la usama lilivyosumbua mwishowe wamuue na sio kumkamata? Kama ni kweli walimzingira wangemkamata kwa ajili ya taarifa zaidi za ugaidi na hata kama wangemuua wasingempa heshima waliodai kumpa eti wamemzika kwa misingi ya dini yake kweli? Hizo mnazoandika hamna tofaut na hadihi za shigongo?usama asingezikwa haraka na kwa kuwa marekani ni wapenda sifa maiti ingeonyeshwa hapa no logic at all
 
utata wa ile mission ulitokana na kwamba hakuna aliyekuwa anajua hicho kitu hata ISI ili kuwa haijui yaani CIA waliendesha uchunguzi baada ya kubaini ikaanza kupigwa tizi kukamilisha hiyo mission

hata wale jamaa wa seal team six walikuwa wanapiga tizi bila ya kujua wanaenda kupiga operation ipi mwishoni wanaambiwa ni kwa ajili ya Osama

yaani ile mission ilikuwa ni ya kushtukiza sio kwamba eti naamini 100% kiasi kwamba naweza simama mbele ya mahakama kushudia kama mmoja wa mashaidi...

Lakini ukicheck fact zinajipa na kujipanga zenyewe ubongoni, sasa unategemea hata hao waamerica unaowasema watakuwa vipi hawana mashaka kama hawakujua mwanzo walikuja kushtukia operation imekwisha fanyika

lakini tunaona wa Marekani wengi siku hiyo walishangilia sana kwa sababu zipo video hata youtube zikionyesha hilo pia hata picha zinapatikana...

kuhusiana na yule jamaa aliyesema na kutabiri siku ya kiyama mimi ninamuita mpuuzi na wafuasi wake ni wajinga na si unajua tena wajinga ndio waliwao kwa hiyo mi siwezi kuwa mfuasi wa upuuzi hiyo inanikumbusha akina William Miller walivyotabiri Yesu atarudi mwaka 1844 na atashukia Texas lakini waliwapata wajinga si unajua tena wajinga ndio waliwao alivyoacha kutokea wafuasi wakahasi kwasababu wengine waliuza vitu vyao kwa ajili ya kumpokea masihi sasa akutokea eti akaja Hellen G White akawaambia nyie hamukumuelewa William Miller mwaka huo Yesu alikuwa anaingia patakatifu pa patakatifu huko mbinguni dah! ndio kama hivyo, sasa watu kama hao lazima wapo katika jamii lakini mimi la hasha siwezi kuwa mfuasi wa hivyo vitu... hata ukirudi kwa akina Kibwetere hakukosa wafuasi pia...

labda nikuulize swali bwana kahtaan, je wewe ulikuwa ni mfuasi wa Osama?

hapo naomba ruhusa kucheka kwanza!
teh teh teh teh tehe he he!
Mkuu wa chuo wewe nimesha gundua tatizo lako!

unaangalia sana action movies! Yaani maneno yako na ya kwenye movie! daaaaah! utafikiri umetoa photocopy !

We unasema nina kunukuu "ukicheck fact zinajipa na kujipanga zenyewe ubongoni," !!

kwani Mkuu wa chuo hizo movies za kina RAMBO na VAN DAME huwa hazipangiliki na zikaingia kwenye ubongo??
we chukulia lile tukio liko kwenye movie! wewe utasema "" aahh hapo wame ekti vibaya hapo! usama hapendezi na hio kofia!""

we utakuwa wa kwanza kusema " duuuuh aisee hilo bonge la movie! yaani wazee wameingia wakafanya vitu vyao dakika 3 tu! osama pindu!!

unajua hawa wakoloni wametudanganya miaka mingi sana! na sisi waafrica tulio kwenda shule tumechoka kudanganywa au kufanyiwa mambo kwa kifichoficho!
wee kama umeamua kuridhika na story zao basi hio ni juu yako! mimi mkuu wanahitaji a lot more than that ku ni convince kuwa wayafanyayo ni kweli!!

we usipo angalia utajikuta sasa hivi unaanza kuweka stock ya maharage ya kopo na unga wa sembe kwa kuamini kuwa ALIENS WANAKUJA KUTAWALA ULIMWENGU! na kutakuwa na uhaba wa chakula kwa miaka 3 mpaka 5!!

Na je una habari NASA wanaimani kuwa kuna ALIENS?? Na wakiamua kukupata mtu kama wewe wanakutengenezea ka action kadogo tu! wamekumaliza!

Na swali lako la mwisho kuhusu mimi kuwa ni mfuasi wa osama au la!

jibu langu ni hili!

kama wewe unaniuliza hili swali kunitisha kwa kunifanya niogope kujibu, ni kuwa mimi siogopi paka yoyote na mimi AMERICANS NA MATAIFA RAFIKI NI MAADUI WA HAKI NA NI ADUI ZANGU PIA! KWA SABABU MIMI NI MPENDA HAKI.

bahati mbaya OSAMA NI ZAO LA FBI NA CIA otherwise ASINGELIKUWA KAMA ALIVYOKUWA NA MIMI SIKO NA WATU WAOVU!

Wewe kama ni rafiki ya hao wauwaji wa halaiki ya watu kila leo wakiwemo ma alfu ya watoto wasiokuwa na hatia yoyote!
Basi kaa mbali na mimi kabisa! manake mwenye kupenda muuwaji na yeye ni ........!
utamalizia mwenyewe hapo
.
 
kama ungeniwekea habari yote niweze kuipitia ningeshukuru sana, kwa nini mpaka wakauwa watu wote hao yaani walikuwa wanatafuta nini?

au kwamba waliona harusi wakaamua kuua tu? inabidi tucheck in detail? hapo tunaweza kupima...

Huku kupimapima kwako ndio kunako kusababishia uingie mkenge mpaka Jamaa_Mbishi alipo kwambia OSAMA ALIISHI MBAGALA! wewe ukamwambia alete uthibitisho wa hilo!! Yaani kama jamaa mbishi angekutolea picha tu ya osama yuko sokoni pale mbagala anamenya machungwa ! tayari ingekuwa stori imegeukia mbagala!!

Vitu vingine viko waaaazi kabisa wala wewe huna haja ya kurefusha story! eti unataka kupima!!!
kupima nini sasa?? kama hio story ya americans kuuwa watu 40 kwenye msafara unaenda harusi! unataka kupima nini
hapo??]

Hii habari hata magazeti ya majira na dar leo yaliandika!! uki google kidogo tu! habari mwaaaaaa!

basi alimuradi uandike tu !?

mi naona hiki cheo cha Mkuu wa chuo kitakushinda!
inabidi wakurudishe kwenye chuo cha mafunzo morogoro kwanza ndipo utazamwe kama unafaa!

au we mkuu Ritz unasemaje!
 
Last edited by a moderator:
duh! Osama kuvaa kofia ya cowboy hiyo mimi sijazungumzia, ila na hata mtu aliyezungumzia ina maana ana sababu hebu zifatilieni sababu...

yamkini inawezekana alivaa hiyo kofia kwani cha ajabu ni kipi bwana kahtaan

Hii habari ya OSAMA ALIVAA KOFIA YA COWBOY ILI ASIONEKANE NA SATELITE! UMETULETEA WEWE bwana Mkuu wa chuo ! TENA BILA KUICHUJA!! UMEIPOKEA UKATUMWAGIA KAMA ILIVYO!!

Hayo ndio matatizo yako! UNALETA NZIMA NZIMA!

Hebu siku nyingine ukipasiwa habari ! weka kwanza kifuani! halafu teremsha mguuni! angalia kushoto na kulia ! halafu ukiwa na hakika ndio unatoa pasi!!

SASA WE UKIPIGIWA TU! NA WEWE UNAPIGA OVYO?? USIPOANGALIA UATJIFUNGA BURE!! HALAFU MENEJA WA TIMU YAKO {OBAMA} ATAKUFUKUZA KAZI!
we haya tu!
 
Last edited by a moderator:
Hv kweli kuna logic kwa jinsi jina la usama lilivyosumbua mwishowe wamuue na sio kumkamata? Kama ni kweli walimzingira wangemkamata kwa ajili ya taarifa zaidi za ugaidi na hata kama wangemuua wasingempa heshima waliodai kumpa eti wamemzika kwa misingi ya dini yake kweli? Hizo mnazoandika hamna tofaut na hadihi za shigongo?usama asingezikwa haraka na kwa kuwa marekani ni wapenda sifa maiti ingeonyeshwa hapa no logic at all


Mkuu beco Hakuna logic yoyote hapo kwa mtu anaependa kuifanyisha kazi akili yake lkn kuna watu humu wanapokea habari nzima halafu wanatuletea kama walivyo pokea na juu ya hivyo wakaitetea kuwa ni ya kweli!

Hebu tumuulize Mkuu wa chuo kama kuna LOGIC hapa!! manake nadhani alisha kaa kidogo pakistani! wakati ule ameenda kuchukua mafunzo ya kuwa Mkuu wa chuo
 
Last edited by a moderator:
Kuna comments humu zinasema ati Osama alikuwa hatumii simu wala internet Lakini hapo kwenye ramani kunaonekana dish au sio???
kwani hilo dish ni kwa ajili ya Internet au simu? yeah hizo comments zimo lakini haujaona comments kwamba halikua haangalii tv!
 
Hv kweli kuna logic kwa jinsi jina la usama lilivyosumbua mwishowe wamuue na sio kumkamata? Kama ni kweli walimzingira wangemkamata kwa ajili ya taarifa zaidi za ugaidi na hata kama wangemuua wasingempa heshima waliodai kumpa eti wamemzika kwa misingi ya dini yake kweli? Hizo mnazoandika hamna tofaut na hadihi za shigongo?usama asingezikwa haraka na kwa kuwa marekani ni wapenda sifa maiti ingeonyeshwa hapa no logic at all
kwa hiyo hapa unamaanisha kwamba hawakumuua wala hawakumkamata ila waliamua kuandika na kutunga hadithi kama za kina Shigongo tu?

kwa hiyo una imani kwamba Osama yupo au una imani alikufa kwa ugonjwa wa figo siku nyingi kama wengine wanavyoamini?

hata wale mashuhuda wa Abbottabad Pakistan pamoja na serikali ya Pakistan walikuwa wanaanda pamoja na team ile ya kina Obama waliokuwa wanashuhudia lile tukio la kuuawa moja kwa moja walikuwa wanaandaa stori kama za kina Shigongo?

sio mbaya hata ukizichukulia hivyo ni poa kwa sababu pia zinaburudisha ubongo wako, kwa hiyo sio mbaya kwa kukuburudisha pia...
 
hapo naomba ruhusa kucheka kwanza!
teh teh teh teh tehe he he!
Mkuu wa chuo wewe nimesha gundua tatizo lako!

unaangalia sana action movies! Yaani maneno yako na ya kwenye movie! daaaaah! utafikiri umetoa photocopy !

We unasema nina kunukuu "ukicheck fact zinajipa na kujipanga zenyewe ubongoni," !!

kwani Mkuu wa chuo hizo movies za kina RAMBO na VAN DAME huwa hazipangiliki na zikaingia kwenye ubongo??
we chukulia lile tukio liko kwenye movie! wewe utasema "" aahh hapo wame ekti vibaya hapo! usama hapendezi na hio kofia!""

we utakuwa wa kwanza kusema " duuuuh aisee hilo bonge la movie! yaani wazee wameingia wakafanya vitu vyao dakika 3 tu! osama pindu!!

unajua hawa wakoloni wametudanganya miaka mingi sana! na sisi waafrica tulio kwenda shule tumechoka kudanganywa au kufanyiwa mambo kwa kifichoficho!
wee kama umeamua kuridhika na story zao basi hio ni juu yako! mimi mkuu wanahitaji a lot more than that ku ni convince kuwa wayafanyayo ni kweli!!

we usipo angalia utajikuta sasa hivi unaanza kuweka stock ya maharage ya kopo na unga wa sembe kwa kuamini kuwa ALIENS WANAKUJA KUTAWALA ULIMWENGU! na kutakuwa na uhaba wa chakula kwa miaka 3 mpaka 5!!

Na je una habari NASA wanaimani kuwa kuna ALIENS?? Na wakiamua kukupata mtu kama wewe wanakutengenezea ka action kadogo tu! wamekumaliza!

Na swali lako la mwisho kuhusu mimi kuwa ni mfuasi wa osama au la!

jibu langu ni hili!

kama wewe unaniuliza hili swali kunitisha kwa kunifanya niogope kujibu, ni kuwa mimi siogopi paka yoyote na mimi AMERICANS NA MATAIFA RAFIKI NI MAADUI WA HAKI NA NI ADUI ZANGU PIA! KWA SABABU MIMI NI MPENDA HAKI.

bahati mbaya OSAMA NI ZAO LA FBI NA CIA otherwise ASINGELIKUWA KAMA ALIVYOKUWA NA MIMI SIKO NA WATU WAOVU!

Wewe kama ni rafiki ya hao wauwaji wa halaiki ya watu kila leo wakiwemo ma alfu ya watoto wasiokuwa na hatia yoyote!
Basi kaa mbali na mimi kabisa! manake mwenye kupenda muuwaji na yeye ni ........!
utamalizia mwenyewe hapo
.
bwana kahtaan ni kweli kwamba wakoloni waliwadanganya sana lakini wakoloni tunaangalia wote wawe waarab au wazungu wote kwa pamoja tunasema ni wakoloni tu...

haya twende kazi kuhusiana na Alliens pamoja na maharage ya kopo na stori za NASA nadhani nimekwisha kupa msimamo rejea stori za jamaa wa kiyama nilivyokujibu

sio kwamba kila stori basi mi huwa naikubali tu, mimi kama ulamaa mwanazuoni niliyekomaa huwa na pima na ku reasoning kwa logic na nimeshakwambia wajinga ndio waliwao, nadhani hapo umenipata...

bwana kahtaan mpenda haki, muuaji ni muuaji tu hakuna muuaji mdogo au muuaji mkubwa Wa Marekani pamoja na jamaa zake kama unavyosema ikiwa pamoja na vyombo vya usalama wa Tanzania nao ni wauwaji pia, kwa hiyo hapo unaweza ukapima mwenyewe...

Mimi ninachowakubali wamarekani sio wababaishaji, halafu swala la kofia umeling'ang'ania sana
huku yapo maswala mengi...
 
Last edited by a moderator:
Huku kupimapima kwako ndio kunako kusababishia uingie mkenge mpaka Jamaa_Mbishi alipo kwambia OSAMA ALIISHI MBAGALA! wewe ukamwambia alete uthibitisho wa hilo!! Yaani kama jamaa mbishi angekutolea picha tu ya osama yuko sokoni pale mbagala anamenya machungwa ! tayari ingekuwa stori imegeukia mbagala!!

Vitu vingine viko waaaazi kabisa wala wewe huna haja ya kurefusha story! eti unataka kupima!!!
kupima nini sasa?? kama hio story ya americans kuuwa watu 40 kwenye msafara unaenda harusi! unataka kupima nini
hapo??]

Hii habari hata magazeti ya majira na dar leo yaliandika!! uki google kidogo tu! habari mwaaaaaa!

basi alimuradi uandike tu !?

mi naona hiki cheo cha Mkuu wa chuo kitakushinda!
inabidi wakurudishe kwenye chuo cha mafunzo morogoro kwanza ndipo utazamwe kama unafaa!

au we mkuu Ritz unasemaje!
kuhusiana na Osama kuishi Mbagala kwani haiwezekani? mtu akija jukwaani inawezekana amejipanga ukitegemea hii ni jamii intelligence wala sio jukwaa la jokes na utani...

ndio maana nikamwambia alete facts nilijua hatoleta tu moja kwa moja hapo hoja ikafa automatically...

halafu mbona Ahmed Ghailan aliweza ishi Zanzibar kwani maajabu yapo wapi hapo!? je kama alikuja kwa wenzake huko Mbagala?

Kama aliweza kuishi Pakistan kwa muda wote huo bila kushtukiwa na Intelligence kubwa na yenye nguvu kama ya Pakistan itakuwa vipi kwa Intelligence hii ya kichovu ya kina Rama wa Tanzania yaani TISS... Tafakari hapo!

kuhusiana na Mkuu wa chuo yaani hapo ondoa shaka mimi ni mwanazuoni niliyekomaa...
 
Last edited by a moderator:
Hii habari ya OSAMA ALIVAA KOFIA YA COWBOY ILI ASIONEKANE NA SATELITE! UMETULETEA WEWE bwana Mkuu wa chuo ! TENA BILA KUICHUJA!! UMEIPOKEA UKATUMWAGIA KAMA ILIVYO!!

Hayo ndio matatizo yako! UNALETA NZIMA NZIMA!

Hebu siku nyingine ukipasiwa habari ! weka kwanza kifuani! halafu teremsha mguuni! angalia kushoto na kulia ! halafu ukiwa na hakika ndio unatoa pasi!!

SASA WE UKIPIGIWA TU! NA WEWE UNAPIGA OVYO?? USIPOANGALIA UATJIFUNGA BURE!! HALAFU MENEJA WA TIMU YAKO {OBAMA} ATAKUFUKUZA KAZI!
we haya tu!
ha ha haaa, bwana kahtaan hiyo ni report ilitolewa sasa wewe unataka mimi nichakachue report tena...

hiyo ni moja kati ya habari ya kusisimua iliyomo kwenye hiyo report hebu rudi ukurasa wa 9 kwenye hii thread uweze kuisoma kwa uzuri zaidi...

hiyo ilitoka Islamabad, Pakistan utaangalia ilipotoka unataka mimi ni hii hariri tena, ili ziwepo stori za kukupendeza wewe...

chukua hiyo uburudishe Ubongo bila ya kuongeza chumvi...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom