Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

Mkuu beco Hakuna logic yoyote hapo kwa mtu anaependa kuifanyisha kazi akili yake lkn kuna watu humu wanapokea habari nzima halafu wanatuletea kama walivyo pokea na juu ya hivyo wakaitetea kuwa ni ya kweli!

Hebu tumuulize Mkuu wa chuo kama kuna LOGIC hapa!! manake nadhani alisha kaa kidogo pakistani! wakati ule ameenda kuchukua mafunzo ya kuwa Mkuu wa chuo
tatizo lako bwana kahtaan we unadhani wewe mwenyewe ndio unafikirisha ubongo ngojea nikutoe hofu hata hao wengine unaowasema wanafikirisha ubongo pia...

halafu vitu unataka viende kama unavyofikiria hapana bwana kahtaan sio hivyo, vitu huwa vinaenda kutokana na facts wala sio kwa logic zako wala za mtu mwingine facts ndio zina creat logic...
 
Last edited by a moderator:
tatizo lako bwana kahtaan we unadhani wewe mwenyewe ndio unafikirisha ubongo ngojea nikutoe hofu hata hao wengine unaowasema wanafikirisha ubongo pia...

halafu vitu unataka viende kama unavyofikiria hapana bwana kahtaan sio hivyo, vitu huwa vinaenda kutokana na facts wala sio kwa logic zako wala za mtu mwingine facts ndio zina creat logic...

Hapo umenichanganya kabisa!
Lugha umeiparanganya miguu juu kichwa chini!
Kwenye FACTS hauhitaji LOGIC!!
sasa kama wewe una ushahidi 100% ambao ndio facts!) Hio Logic ya nini sasa!

Hizi habari HAZINA FACT HATA MOJA!

Ndio sababu watu wanajaribu kutumia (LOGIC) kuzipima hizo habari zao!
Na lau zingelikuwa na FACT (ukweli wenye ushahidi) basi mimi na wewe tusingelikuwa hapa tunalumbana!

Na sidhani kama (unavyo jiita) "ulamaa" au "mwana zuoni aliye fuzu" anaweza kuchanganya maneno namna hii!

Wewe cheo hicho bado hujapata bado!

Ngoja wakusifu wana jukwaa! Kama unastahili hizo sifa!,
kujisifu mwenyewe mara kadhaa kunaweza kukuponza!
Na kusema kuwa unawapenda wamarekani kwa sababu mambo yao yako wazi!! Hapo unajidanganya mwenyewe!
Hawa wauwaji hivi juzi tu wameahidi kumfunga jela na kumpa vitishi kedekede yule kijana wa kimarekani anaeitwa edward snowden kwa kusema kuwa wamarekani wana sikiliza maongezi na siri za mabalozi wa nchi nyingine pasina hiari yao!
Kwanza walikataa na kusema huo ni uongo lkn jamaa katoa ushahidi. Aibu imewaangukia!!
 
Last edited by a moderator:
Hapo umenichanganya kabisa!
Lugha umeiparanganya miguu juu kichwa chini!
Kwenye FACTS hauhitaji LOGIC!!
sasa kama wewe una ushahidi 100% ambao ndio facts!) Hio Logic ya nini sasa!
ngojea nikueleweshe kwa uzuri na kwa utulivu zaidi ili ya kwamba uweze kuelewa bwana kahtaan yaani hapo namaanisha ya kwamba ukweli ndio unaumba mantiki na wala mantiki haiumbi ukweli nadhani hapo tunaweza kwenda sawa....

Hizi habari HAZINA FACT HATA MOJA!
wewe unataka fact zipi sasa?, na una uhakika gani kwamba habari haina fact hata moja? unakataa kwamba Osama hakuuawa na operation ya wamarekani? je una mantiki gani hapo?

Ndio sababu watu wanajaribu kutumia (LOGIC) kuzipima hizo habari zao!
Na lau zingelikuwa na FACT (ukweli wenye ushahidi) basi mimi na wewe tusingelikuwa hapa tunalumbana!
watu wanajaribu kupima mantiki wakilinganisha na ukweli na sio wanapima kwa mtindo wa falak yaani wanalinganisha na uhalisia kwa mfano kama A+B=A+C hapo B=C nafikiri hapo umenisoma....

Na sidhani kama (unavyo jiita) "ulamaa" au "mwana zuoni aliye fuzu" anaweza kuchanganya maneno namna hii!
sijachanganya, sema maamuma ndio hajaelewa na mimi ndio jukumu langu kumuelekeza ni kama ndio ninavyofanya hapa...

Wewe cheo hicho bado hujapata bado!

Ngoja wakusifu wana jukwaa! Kama unastahili hizo sifa!,
kujisifu mwenyewe mara kadhaa kunaweza kukuponza!
okay, ni sawa bwana kahtaan lakini pia mimi ni Rector, hicho ni cheo tu sawa na Manager au Mkurugenzi sasa nisijiite kwa cheo changu sawa na Rais umwambie hasijiite rais mpaka wananchi wamuite... hapo umenifurahisha sana! 😛oa:
Na kusema kuwa unawapenda wamarekani kwa sababu mambo yao yako wazi!! Hapo unajidanganya mwenyewe!
Hawa wauwaji hivi juzi tu wameahidi kumfunga jela na kumpa vitishi kedekede yule kijana wa kimarekani anaeitwa edward snowden kwa kusema kuwa wamarekani wana sikiliza maongezi na siri za mabalozi wa nchi nyingine pasina hiari yao!
Kwanza walikataa na kusema huo ni uongo lkn jamaa katoa ushahidi. Aibu imewaangukia!!
Muuaji ni muuaji tu haijalishi, lakini Wa Marekani wenyewe huwa wanajali maslahi yao... sasa hao Al Qaeda ni kwa maslahi yapi kama walivyolipuwa Ubalozi pale Dar es salaam 1998 pamoja na Nairobi...

kuhusiana na swala ya Edward Snowden alikuwa ni mfanyakazi wa CIA kwa hiyo kutoa siri za CIA wewe ulitaka wa Marekani wampigie makofi na kumpa tuzo wakati ame snitch...
 
Last edited by a moderator:
comrade FUHRER kuna mahali umeteleza.. zubayder alikamatwa pakistan na sio marekani akasafirishwa hadi afganistan na huko afganstan ndiko alipewa ''truth serum'' kisha maafisa wawili wenye asili ya kiarabu waliokuwa na sare za jeshi la saudi (kimsingi walikuwa ni maagent wa marekan) ndipo walimwambia zubayder kuwa yupo katika gereza la saudi ili kumtia hofu maana alijua mateso ya wasaudi (kama ulivyoeleza huko juu wewe)...so ile ndege iliyomsafirisha ilipofika afganstan ilizunguka weeee....na waliposhusha wakamwambia upo saudi maana mda wote alikuwa kafunwa kitambaa... lakini kilichofanya akatema kila kitu ni ''truth serum''


NB: truth serum is a psychoactive medication used to obtain information from the subject who are unable or unwilling to provide it otherwise.

Pamoja sana comrade!!
 
ha haa haaaa, hizo sio stori zangu ila mimi nilileta report ya jopo la mahakama ya Pakistani zikiwemo habari za kusisimua kama hizo, nafikiri nili i quote somewhere ipo ukurasa wa tisa katika huu uzi hebu rudi usome kama ni maneno yangu...

basi bwana Ritz umekomalia na kuona ndio sehemu ya kuchomokea na kuamua kuchekesha wana jamvi...
Mkuu wa chuo,

Mbona tena unaanza kukuna mabandiko uliyoyaleta humu ukumbini kwa mbwembe nyingi na majivuno.
ha haa haaaa, hizo sio stori zangu ila mimi nilileta report ya jopo la mahakama ya Pakistani zikiwemo habari za kusisimua
Hapa chini wewe ndiyo umeleta hii habari ngoja niweke kipande tena ulikiweka kwa mkwara, teh teh teh.
wakati tukisubiri kupata vilivyo pita kwenye chujio lako hebu chukua hicho...
JF kuna vituko...
ISLAMABAD, Pakistan


MAKOSA na uzembe wa Pakistan ziliruhusu kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda, Osama bin Laden, kuishi nchini humo bila kutambulika kwa zaidi ya miaka tisa, ripoti mpya inaonyesha.



Ripoti hiyo ya jopo la mahakama ya Pakistan pia inatoa maelezo mapya kuhusu uvamizi wa Amerika uliomwua bin Laden.


Pia yadondoa mambo mengine ya kusisimua kuhusu maisha ya gaidi huyo ikiwemo kwambaalivalia kofia aina ya cowboy ili kukwepa upelelezi wa setilaiti za Amerika.


Wapelelezi wa shirika la kijasusi la CIA walimfuatilia bin Laden hadi mji wa kaskazini magharibi wa Abbottabad.


Ni hapa alikopigwa risasi na kuuawa na wanajeshi wa Amerika wanamaji wa kitengo spesheli (SEALs) Mei 2, 2011.


Ulikuwa uvamizi wa kuvutia uliotokea karibu na chuo cha kijeshi cha Pakistan.
Teh teh teh....
 
kama ungeniwekea habari yote niweze kuipitia ningeshukuru sana, kwa nini mpaka wakauwa watu wote hao yaani walikuwa wanatafuta nini?

au kwamba waliona harusi wakaamua kuua tu? inabidi tucheck in detail? hapo tunaweza kupima...
Mkuu wa chuo,

Ngoja nikuwekee bayana za hawa Wamarekani ambayo wewe unawatetea na kuwasifia kwa kila kitu.
ni kweli Marekani huwa wanafanya uchunguzi kabla ya kuvamia basi watu wengine wanadhani Marekani huwa wanakurupuka tu kama serikali ya Tanzania
Angalia hapa chini walivyovamia baada ya kufanya uchunguzi wao.
[SIZE=+4]Bride And Groom Killed In
US Afghan Wedding Bombing[/SIZE]
[SIZE=+1]
7-3-2[/SIZE]

[SIZE=+1]KABUL[/SIZE][SIZE=+1] (Reuters) - Both the bride and groom were killed when U.S. forces bombed a wedding party in Afghanistan, a local aid agency said on Wednesday.[/SIZE] [SIZE=+1]The Afghan government has said 40 people were killed, many of them women and children, and around 100 wounded when U.S. planes attacked a remote village in central Afghanistan in the early hours of Monday morning.[/SIZE] [SIZE=+1]The government said wedding guests near the village of Deh Rawud were firing into the air -- a tradition in Pashtun weddings -- when they were mistakenly bombed.[/SIZE] [SIZE=+1]The U.S. military says it responded to sustained, hostile fire from the ground and has launched a joint investigation with the Afghan government.[/SIZE] [SIZE=+1]"The bride and groom were both killed," said Razique Samadi, managing director of the Afghan Development Association which has more than 40 staff in Uruzgan province where the attack took place.[/SIZE] [SIZE=+1]"Our people on the ground said it was a mistake on both sides," he told Reuters. "The wedding guests knew there was a coalition operation going on in the area, still they fired their guns into the air, to celebrate the wedding."[/SIZE] [SIZE=+1]Afghan Foreign Minister Abdullah Abdullah said on Tuesday an entire family of 25 people was killed.[/SIZE] [SIZE=+1]"No single person was left alive," he said[/SIZE]
Soma na hapa chini Wamarekani walivyokurupuka ingawa wewe hautaki kuamini kama hawa jamaa huwa wanakurupuka na kuua raia wasiokuwa na hatia.
  • Civilian casualties up 20 per cent to 6,215 since 2009
The commander of U.S. and Nato forces in Afghanistan made a rare apology yesterday for an air strike that killed nine civilians.
The move comes after Afghan politicians warned a rise in such raids was hampering efforts to end the war against the Taliban.

U.S. Army General David Petraeus ordered all military commanders and attack helicopter crews to be re-briefed on the rules for carrying out air raids after a spate of recent civilian casualty incidents in the east of the country.

Members of parliament angrily denounced two recent Nato strikes in eastern Kunar province in which they said more than 73 civilians were killed, about half of them children, and called on Petraeus to explain.

Read more: David Petraeus makes rare apology after Nato air strike kills 9 civilians in Afghanistan | Mail Online
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
Soma na hii
QALAT, AFGHANISTAN -- A U.S. airstrike targeting a convoy of buses traveling in southern Afghanistan killed at least 27 civilians and wounded a dozen more in a bombing that could fuel a political backlash against the ongoing military offensive in Afghanistan.
Malizia na hii.
[h=2]‘At least 400 civilians’ killed by US drone strikes: Pakistani Gov’t[/h] Posted on 03/20/2013 by Juan Cole
Alice K. Ross writes at the Bureau of Investigative Journalism:
The Pakistani government estimates at least 400 civilians have been killed in drone strikes – a figure close to the Bureau’s own findings.
In evidence to Ben Emmerson QC, UN special rapporteur on counter-terrorism, the Pakistan Ministry of Foreign Affairs has said that CIA drones have killed at least 2,200 people in the country including at least 400 civilians. This is close to the Bureau’s low range estimate of 411.
The figures were disclosed to Emerson as he made a three-day visit to the country. The Ministry of Foreign Affairs, which compiled the figures, said a further 200 of the total dead were likely to be civilians too.
The US drone campaign in Pakistan… involves the use of force on the territory of another state without its consent and is therefore a violation of Pakistan’s sovereignty.’

Ben Emmerson QC
The US has consistently denied this level of non-combatant death, most recently claiming civilian casualties were ‘typically in single digits’ for each year of the nine-year campaign in Pakistan.
The Bureau estimates that 411-884 civilians are among 2,536-3,577 people reportedly killed in CIA drone strikes in Pakistan, based on its two-year analysis of news reports, court documents, field investigations and other sources.
 
Mkuu wa chuo,

Mbona tena unaanza kukuna mabandiko uliyoyaleta humu ukumbini kwa mbwembe nyingi na majivuno.

Hapa chini wewe ndiyo umeleta hii habari ngoja niweke kipande tena ulikiweka kwa mkwara, teh teh teh.

JF kuna vituko...

Teh teh teh....
bwana Ritz hiyo ni report ndio imesema hivyo sasa wa kuchekwa ni waliounda hiyo report ambapo imeleza kwa uzuri kabisa ukiisoma, kuna habari ya kusisimua kama hiyo... hiyo ni ripoti ya jopo la mahakama Pakistan...

kwani bwana Ritz hapo cha ajabu ni nini? kwani Osama hawezi kuvaa kofia ya cowboy? hayo ni ya ripoti sijayayoa kichwani mwangu...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

Ngoja nikuwekee bayana za hawa Wamarekani ambayo wewe unawatetea na kuwasifia kwa kila kitu.

Angalia hapa chini walivyovamia baada ya kufanya uchunguzi wao.

Soma na hapa chini Wamarekani walivyokurupuka ingawa wewe hautaki kuamini kama hawa jamaa huwa wanakurupuka na kuua raia wasiokuwa na hatia.

Soma na hii

Malizia na hii.
nimekusoma...
 
bwana Ritz hiyo ni report ndio imesema hivyo sasa wa kuchekwa ni waliounda hiyo report ambapo imeleza kwa uzuri kabisa ukiisoma, kuna habari ya kusisimua kama hiyo... hiyo ni ripoti ya jopo la mahakama Pakistan...

kwani bwana Ritz hapo cha ajabu ni nini? kwani Osama hawezi kuvaa kofia ya cowboy? hayo ni ya ripoti sijayayoa kichwani mwangu...
Mkuu wa chuo,

Wala siyo ajabu Osama kuvaa kofia ya cowboy mbona hapa chini kavaaa teh teh teh...
HUMOposter1.jpg


Ajabu ni haya maneno alivalia kofia aina ya cowboy ili kukwepa upelelezi wa setilaiti za Amerika.
 
bwana Ritz hilo suala la kofia ya cow boy a.k.a kofia ya mchunga ng'ombe unaweza soma pia kwenye bandiko la mada yaani bandiko la hii thread la bwana Shine hapo juu kabisa yaani bandiko liloanzisha hii thread...

Naona hiyo report imeelezewa na hapo kwa uzuri kwa hiyo unaweza ipitia usidhani labda hizo ni stori zangu nimezitoa vijiweni au kwenye movie hicho kitu kipo...
 
Last edited by a moderator:
bwana Ritz hilo suala la kofia ya cow boy a.k.a kofia ya mchunga ng'ombe unaweza soma pia kwenye bandiko la mada yaani bandiko la hii thread la bwana Shine hapo juu kabisa yaani bandiko liloanzisha hii thread...

Naona hiyo report imeelezewa na hapo kwa uzuri kwa hiyo unaweza ipitia usidhani labda hizo ni stori zangu nimezitoa vijiweni au kwenye movie hicho kitu kipo...
Mkuu wa chuo,

Mie sina tatizo na hiyo kofia ya cowboy, tatizo langu labda nikuulize wewe na wenzako hivi kweli ukivaa kofia ya cowboy Satellite za Marekani hawakuoni? hebu tutumia akili alizotupa Mungu kwenye ili au kuna ushahidi wa kisayansi ambao unaonesha kuna uhusiano wowote kati ya Satellite na kofia ya cowboy?

Cc, kahtaan,
 
Mkuu wa chuo,

Wala siyo ajabu Osama kuvaa kofia ya cowboy mbona hapa chini kavaaa teh teh teh...
HUMOposter1.jpg


Ajabu ni haya maneno alivalia kofia aina ya cowboy ili kukwepa upelelezi wa setilaiti za Amerika.
bwana Ritz naona umeamua kuchekesha kijiwe na kuchangamsha jamvi kwa ujumla...

hiyo report ipo na inatambuliwa na serikali ya Pakistani unaweza kuisoma hapo juu kwa uzuri zaidi kwenye mada ya hii thread, inamaana walihojiwa watu wengi...

hebu pitia na hilo bandiko bwana Ritz ili ujiridhishe zaidi...
 
Last edited by a moderator:
bwana Ritz naona umeamua kuchekesha kijiwe na kuchangamsha jamvi kwa ujumla...

hiyo report ipo na inatambuliwa na serikali ya Pakistani unaweza kuisoma hapo juu kwa uzuri zaidi kwenye mada ya hii thread, inamaana walihojiwa watu wengi...

hebu pitia na hilo bandiko bwana Ritz ili ujiridhishe zaidi...
Tatazo siyo ripoti tunachambua mambo kwa upeo aliyotupa Mungu ripoti haina tatizo, kuna vijaswali nimekuuliza ukipata wasaa naomba majibu Mkuu wa chuo,

Ripoti lazima ijadiliwe kwa mapana siyo kuisoma kwa mwembwe na mapambio wakati imejaa utata mwingi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

Mie sina tatizo na hiyo kofia ya cowboy, tatizo langu labda nikuulize wewe na wenzako hivi kweli ukivaa kofia ya cowboy Satellite za Marekani hawakuoni? hebu tutumia akili alizotupa Mungu kwenye ili au kuna ushahidi wa kisayansi ambao unaonesha kuna uhusiano wowote kati ya Satellite na kofia ya cowboy?

Cc, kahtaan,
bwana Ritz ukivaa kofia ya cow boy satellite za wa Marekani zinakuona ndio maana waliweza ku m trace na kumuona...

hapo mantiki labda wasiweze kugundua huyu ni Osama kwa sababu wamekwisha zoea Osama huwa havai cow boy...

yote kwa yote hiyo ni report na wala sio mawazo yangu na sio report ya Wa Marekani, ila ni report ya wa pakistan...

yamkini walipo wahoji watu ndio wakasema hivyo lakini hicho kitu hakipo eti ukivaa cow boy basi hauonekani kwenye satellite sifikiri kuna kitu kama hicho...
 
Last edited by a moderator:
Tatazo siyo ripoti tunachambua mambo kwa upeo aliyotupa Mungu ripoti haina tatizo, kuna vijaswali nimekuuliza ukipata wasaa naomba majibu Mkuu wa chuo,

Ripoti lazima ijadiliwe kwa mapana siyo kuisoma kwa mwembwe na mapambio wakati imejaa utata mwingi.
bwana Ritz hiyo ni habari ya kusisimua, haya tuachane na habari ya cow boy, hakuna uhusiano kati ya kofia ya cow boy na satellite...

unapofanya kitu au hypothesis testing unakuwa na level of significance sasa level of significance mara nyingi inakuwa ndogo...

sasa significance level ikiwa ni kubwa unaachana na hicho haina haja tena

kwa namna nyingine namaanisha kwamba pumba zikizidi mchele basi huo mchele haufai tena ni kutupa gunia lote tu...

sasa vitu kama hivyo nafifananisha na level of significance katika ku test hypothesis...

si unajua tena bwana Ritz hauwezi kuwa perfect kwa 100%

kwa hiyo kama makosa ni madogo hauwezi kutupa report nzima vinginevyo makosa yakiwa mengi basi hiyo report haifai...
 
Last edited by a moderator:
Huku kupimapima kwako ndio kunako kusababishia uingie mkenge mpaka Jamaa_Mbishi alipo kwambia OSAMA ALIISHI MBAGALA! wewe ukamwambia alete uthibitisho wa hilo!! Yaani kama jamaa mbishi angekutolea picha tu ya osama yuko sokoni pale mbagala anamenya machungwa ! tayari ingekuwa stori imegeukia mbagala!!

Vitu vingine viko waaaazi kabisa wala wewe huna haja ya kurefusha story! eti unataka kupima!!!
kupima nini sasa?? kama hio story ya americans kuuwa watu 40 kwenye msafara unaenda harusi! unataka kupima nini
hapo??]

Hii habari hata magazeti ya majira na dar leo yaliandika!! uki google kidogo tu! habari mwaaaaaa!

basi alimuradi uandike tu !?

mi naona hiki cheo cha Mkuu wa chuo kitakushinda!
inabidi wakurudishe kwenye chuo cha mafunzo morogoro kwanza ndipo utazamwe kama unafaa!

au we mkuu Ritz unasemaje!

Mkuu msamahe, inatosha.
 
Mkuu wa chuo,

Mie sina tatizo na hiyo kofia ya cowboy, tatizo langu labda nikuulize wewe na wenzako hivi kweli ukivaa kofia ya cowboy Satellite za Marekani hawakuoni? hebu tutumia akili alizotupa Mungu kwenye ili au kuna ushahidi wa kisayansi ambao unaonesha kuna uhusiano wowote kati ya Satellite na kofia ya cowboy?

Cc, kahtaan,


teh teh teh ! amma kweli Ritz kuna binaadamu wamekataa kabisa kufikiri!!

halafu mtu kama huyo awe kiongozi wa nchi!! si ndio tumekwisha tena!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo,

Mbona tena unaanza kukuna mabandiko uliyoyaleta humu ukumbini kwa mbwembe nyingi na majivuno.

Hapa chini wewe ndiyo umeleta hii habari ngoja niweke kipande tena ulikiweka kwa mkwara, teh teh teh.

JF kuna vituko...

Teh teh teh....




teh teh teh teh! haki ya nani u,menichekesha vibaya hapo! kidogo niharibu udhu!!
 
teh teh teh ! amma kweli Ritz kuna binaadamu wamekataa kabisa kufikiri!!

halafu mtu kama huyo awe kiongozi wa nchi!! si ndio tumekwisha tena!
na kuna binadamu wanadhani kwamba wanafikiri kumbe hata hawafikiri

Yaani Kikwete amefanya kila mtu kuamini urais ni kazi rais sana, kila mtu anafikiri urais tu kama bwana kahtaan
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom