Maisha ya shule vs kuhalisia wa maisha ya kujitegemea na kulea familia

Maisha ya shule vs kuhalisia wa maisha ya kujitegemea na kulea familia

Dasizo

Senior Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
173
Reaction score
413
Ukiwa Shule uliwacheka sana walimu juu ya mavazi yao. Uliona habadilishi viatu na nguo zinahesabika.

Haya tuambie baada ya life la kitaa umeonaje uhalisia wa maisha ya kujitegemea na kulea familia?


#ElimikaWikiendi
 
Ukiwa Shule uliwacheka sana walimu juu ya mavazi yao. Uliona habadilishi viatu na nguo zinahesabika.

Haya tuambie baada ya life la kitaa umeonaje uhalisia wa maisha ya kujitegemea na kulea familia?


#ElimikaWikiendi
Maisha hatufanani kabisa baada ya shule kila moja anao ya kwake, mimi binafsi tangu nimalize chuo zijawahi kukosa ajira au basic requirement ijawahi kua chagamoto kwangu,.......ndoa ndo imekua chagamoto yangu kuu mpaka sasa ndoa tatu tayari.
 
Maisha yanaenda murua kabisa,ninapata ninachokitaka,

Kwanini uliwacheka walimu wako? kwanini ulifuatilia mavazi yao badala ya mafundisho yao?
Hii thd ina ashiria kua umemaliza Shule na umepigika,umewakumbuka mpaka Walimu uliokua unawacheka,
Dogo endelea kupambana achana na mawazo ya majuto.
 
Maisha hatufanani kabisa baada ya shule kila moja anao ya kwake, mimi binafsi tangu nimalize chuo zijawahi kukosa ajira au basic requirement ijawahi kua chagamoto kwangu,.......ndoa ndo imekua chagamoto yangu kuu mpaka sasa ndoa tatu tayari.
Duuuh
 
Maisha hatufanani kabisa baada ya shule kila moja anao ya kwake, mimi binafsi tangu nimalize chuo zijawahi kukosa ajira au basic requirement ijawahi kua chagamoto kwangu,.......ndoa ndo imekua chagamoto yangu kuu mpaka sasa ndoa tatu tayari.
Ndoa tatu (and counting)? [emoji15][emoji15][emoji15]

Tatizo ni wewe au una bahati mbaya huwa unachagua wanawake wasioendana nawe?

Toa uzoefu wako kidogo vijana wajifunze mkuu
 
Ndoa tatu (and counting)? [emoji15][emoji15][emoji15]

Tatizo ni wewe au una bahati mbaya huwa unachagua wanawake wasioendana nawe?

Toa uzoefu wako kidogo vijana wajifunze mkuu
Mkuu mimi sina bahati na wanawake wa bongo, kwasbb mimi sikukulia uswazi nimekulia nje ya nchi. Hata ndoa ya sasa naogopa kusemwa tu ila hapo hamna ndoa tangu mwaka juzi.
 
Mkuu mimi sina bahati na wanawake wa bongo, kwasbb mimi sikukulia uswazi nimekulia nje ya nchi. Hata ndoa ya sasa naogopa kusemwa tu ila hapo hamna ndoa tangu mwaka juzi.
Aiseee....achana na ndoa fanya mambo mengine
 
Back
Top Bottom