Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila mtu ana udhaifu wa papuchi mzee.Ukiwa bachela ni zaidi ya familia..... Matumizi hayana mpangilio..
Pesa nyingi watakula mademu
OkSasa hv afya nimeanza kurudi tofauti nilivyokuwa nakula kwa mama ntilie
Sasa hv afya nimeanza kurudi tofauti nilivyokuwa nakula kwa mama ntilie
Nicheki ebu...Uwe unapika kidogo
Mkuu ni ya kweli haya nisije nikajaribu ndo wakaanza kupata afya tele kwa kunywa juisi ya matangonende dawa yake unablend matango kisha unachangany na maji unayodekia wanakula kona na hawarudi siku za usoni
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kwel utapiamloMkiumwa mnakuja kutupa tabu sababu ya utapiamlo
Tupe hii elimu kidogo kamanda utakuwa umesaidia sananende dawa yake unablend matango kisha unachangany na maji unayodekia wanakula kona na hawarudi siku za usoni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkiumwa mnakuja kutupa tabu sababu ya utapiamlo
Waambieni wachumba zenu wale vzr [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
haya bwanWaambieni wachumba zenu wale vzr [emoji23] [emoji23]
Sio mnawaacha wanashindia maporo tuhaya bwan
Hapo ndo shidaaa vyombo vnakaa hata mwezi ni mwendo wa kubadilsha maji tu baada y kuvilowekaTatizo sio kupika, tatizo ni Kuosha vyombo na kufua