Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap rujewa mbarali,nimepanda sana mpunga kwenye mashamba ya mkaburu pale estatesIsisi, rujewa Mbarali!?
Namba 2 hiyo [emoji28][emoji28]Niliingia Central ya Mkoa Ijumaa saa 12 jioni, J3 mahakamani na kupata dhamana na kutoka.
Siku 2 na nusu hizo tayar nshavurugwa na vilivyonivuruga ni
1. Kutokujua nje ni saa ngapi! Yani unaona mwanga unajua kumekucha kisha unaona giza unajua kumbe usiku tayari (hili ndio lililo nikonfuzi zaidi akili).
2. Kutokujua nn kinaendelea Duniani, yan ukitoka mle unaelezwa huku nje kulitokea hivi, yule vile hiki vile unatoa macho tu! Unakuwa formated kabisa [emoji3]
3. Kumuona askari kama ndio ndugu, mwokozi na Mungu wako, muda huo huo askari anakuchukulia kama limtu libaya sana kuwahi tokea duniani,
Na vinginevyo vingi
Yaan umepata kuwa na Rafiki ACP kabisa!?? Mkuu unabahati sanaNina rafiki yangu aliwahi kuwa Mkuu wa gereza Butimba Mwanza a.k.a huwa ananisimulia hayo uliyayasema.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaa tenaaa uwiiiihAsikuongopee mtu jela/mahabusu mpaka leo watu wanabanduliwa
ukiwa mnyonge fastaa wanakufanya demu wao. na akishaanza mmoja wanaambizana msururu watakugombania sana kila mmoja atataka kuchovya
jela/mahabusu unavuliwa ubingwa pale tu unapoingia ,vijana watakuvamia kukusachi kama una chochote kitu wakupore ,watakusachi kila kona wakikosa watakuvua hata boksa wavae wao wakikuona bado mnyonge mnyonge wanakupelekea moto.
jela usiwe na tamaa na vitu vya watu
chakula jela ni mara moja tu kwa siku na tonge moja tu ukipenda vyakula vya watu wanakukaribisha ila usiku jiandae kuliwa utaliwa utaliwa tena utaliwa tena na tena
kuna dogo alikuwa anajifanya muhuni sana mtaani kapelekwa jela wamemla sana mpaka kahamishwa selo maana nyuma papo wazi sana .
Epuka kupelekwa jela epuka makosa ya kijinga jinga kupeleka jela jela hakufai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu umefungwa lini na wapi!?? Ulichokisema umejaza snaa CHUMVI mkuu nani yaan hadi uvuliwe nguo Gerezaa wapi hadi wanakuvua boksa upo tu!?? Wanakusachi yaan upite wasikupekuwe askari sasa wanaenda kusachi nini hao mahabusu au wafungwa!??
Suala la kuliwa ni unatongozwa na sio eti kinguvu yaan jamaa anakuimbisha kama anavyoimbisha Demu ukilegea anakula
Ulichogusia tena ndio nawasisitiza humu Mwanaume usipende kula kula sana na vyabule utafi.rwa kule!!
Jamani mbna inaogopeshaa mnooo huko jelaa, duuhMkuu me nilihukumiwa kifungo cha miaka nane jela,nikakaa miaka miwili nikatoka...
Kwenye hiyo miwili nimefanyiwa escoter gereza 4...ninauzoefu na jela na nimeshatoa ushuhuda humu mara kadhaa...
Jela ukiwa mnyonge unafirwa,unapigwa,unanyang'anywa,unalizwa,unatumwa,unaolewa na hauna kwa kushtaki.
Labda kama mnafungwa gereza zenu za town ila huko mabush, wewe jela isikiage tu...
Nimekaa MAWENI(Muuweni),MPECHI,SONGWE,ISISI...Kama hapo mpechi kazi kubwa ni kuhamisa kinyesi(mavi) mnaenda kuyamwaga kwenye mashamba ya kabechi...asikwambie mtu kitu..
wakati nipo ISISI nimewahi kumwangushi mti wa miiba(mpogoro) jamaa yangu wa maskani alikua SHOGA....Mara leo atombwe na cleaner,kesho atombwe na kiongozi wa selo nikaona njia ya kumsaidia ni KUMUUA Tu,ila nilipigwa sana na mabwana zake...
jela ni "ROHO YAKO ILA MWILI WETU" Na wanautumia kweli....
Una bahati, lsanga Dodoma ni Moja ya gereza lenye ustaarabu Sana hapa Tanzania....Dah wakinitupa isanga miezi miwili kama miaka kumi
So sad! Ukiingia pale mwenye akili timamu na hasa kama kosa ni lakubambikiwa, akili lazma ichetuke!!Asante kwa andiko hili mkuu, mwenye sikio na asikie pale mahali ni hatare kuliko maelezo, nimeshuhudia juzi pale Karanga tulienda kumuona aliyekuwa mtumishi mwenzetu mmoja aisee hakuna ambaye hakulia alikuwa amedhoofu mnoo na kichwani nako kama hazimo anaongea mambo kibao hata hayaeleweki. Tukauliza wale Maafande wakasema akizoea hali atakaa sawa ni kama hakuwa vizuri kichwani. Mimi binafsi nilisikia uchungu mkubwa mnoo na hana hata miezi miwili na amehukumiwa kifungo cha miaka 20.
Kuna mtu alikua na hela km Rugemalira hapo na mcheza deal kubwa kubwa huko juu.Hawana pesa za kununua UHURU wao.Ukimuona tajiri jela kalichokoza kajiingiza 18 za wenyewe au anakomolewa.
hajakata rufaa?! akate rufaa atatokaAsante kwa andiko hili mkuu, mwenye sikio na asikie pale mahali ni hatare kuliko maelezo, nimeshuhudia juzi pale Karanga tulienda kumuona aliyekuwa mtumishi mwenzetu mmoja aisee hakuna ambaye hakulia alikuwa amedhoofu mnoo na kichwani nako kama hazimo anaongea mambo kibao hata hayaeleweki. Tukauliza wale Maafande wakasema akizoea hali atakaa sawa ni kama hakuwa vizuri kichwani. Mimi binafsi nilisikia uchungu mkubwa mnoo na hana hata miezi miwili na amehukumiwa kifungo cha miaka 20.
Badohajakata rufaa?! akate rufaa atatoka