Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Natamani kuishi Ukraine kwenye vita mana kule hakuna umbeya umbeya mitandaoni....
Huku bongo mara huyu katoka na huyu... Mara Steve sijui kafanyaje... Mara huyu katupia utupu wake.... usipotembelea gar utambia masikini, mara umefirisika....
Mara post kali zakina Mangekimambi na kigogo .... Mara Diamond na Harmonize ni full misuguano...
Gharama za maisha ndousiseme Bongo mambo ni mengi usipokaa sawa utapata Mastress, magonjwa ya moyo sababu tu ya wanadamu
Sasa kule kwetu Ukraine tunawaza jinsi ya kishinda vita na kulinda familia zetu! Misaada kama yote, mishahara mnalipwa... Jaman nauliza kamabongo kuna ubalozi wa Ukraine niende... nina uwezo wa kitumia Kombeyo kwenye vita kama Daudi!
Huku bongo mara huyu katoka na huyu... Mara Steve sijui kafanyaje... Mara huyu katupia utupu wake.... usipotembelea gar utambia masikini, mara umefirisika....
Mara post kali zakina Mangekimambi na kigogo .... Mara Diamond na Harmonize ni full misuguano...
Gharama za maisha ndousiseme Bongo mambo ni mengi usipokaa sawa utapata Mastress, magonjwa ya moyo sababu tu ya wanadamu
Sasa kule kwetu Ukraine tunawaza jinsi ya kishinda vita na kulinda familia zetu! Misaada kama yote, mishahara mnalipwa... Jaman nauliza kamabongo kuna ubalozi wa Ukraine niende... nina uwezo wa kitumia Kombeyo kwenye vita kama Daudi!