utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,849
- 2,508
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kuna haja gani kama huyo jamaa anatamani akafie vitani ilihali atatumia gharama kusafiri na kuiacha familia bila kipato huku akijua kujilazimisha kufa ni dhambi na ni kosa kisheria. Si bora afe kwa bei cheeKujinyongq ni dhambi pia kisheria ni kosa
Maake kwanza apa nichekee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Natamani kuishi Ukraine kwenye vita mana kule hakuna umbeya umbeya mitandaoni....
Huku bongo mara huyu katoka na huyu... Mara Steve sijui kafanyaje... Mara huyu katupia utupu wake.... usipotembelea gar utambia masikini, mara umefirisika....
Mara post kali zakina Mangekimambi na kigogo .... Mara Diamond na Harmonize ni full misuguano...
Gharama za maisha ndousiseme Bongo mambo ni mengi usipokaa sawa utapata Mastress, magonjwa ya moyo sababu tu ya wanadamu
Sasa kule kwetu Ukraine tunawaza jinsi ya kishinda vita na kulinda familia zetu! Misaada kama yote, mishahara mnalipwa... Jaman nauliza kamabongo kuna ubalozi wa Ukraine niende... nina uwezo wa kitumia Kombeyo kwenye vita kama Daudi!
View attachment 2164565
Sio poa mkuu ubalozi utsnisaidia tyuuSasa kuna haja gani kama huyo jamaa anatamani akafie vitani ilihali atatumia gharama kusafiri na kuiacha familia bila kipato huku akijua kujilazimisha kufa ni dhambi na ni kosa kisheria. Si bora afe kwa bei chee
Aisee 😀😀![]()
![]()
![]()
![]()
[/QUOTE
Huu ushauri nitauchukua kabisaa... umenikunaJe wajua, Hapa hapa 'bongo' wapo wadau wasiojua kabisa habari za hawa ulio wataja.
Je siri ni nini hasa?, Siri iko kwenye Their Daily Routeen, Badili Your daily route-en na acha kufuatili vitu/watu/matukio , ambavyo havina Tija kwako na kwa vizazi vijavyo.
Nakupa mifano miwili itakayosaidia kuelewa nini hasa unakosea.
Mfano.
- Badala kwenda kwenye kurasa za IG au Facebook, Tumia huo muda kusoma kitabu na kujiongezea maarifa.
- Badala ya kuangalia video TikTok za hao unao wafuatili, Ingia Youtube/Udemy tafuta video itakayokupa elimu ya kujiongezea kipato,
mfano: "How To Start A Business With No Capital " , Ukitumia muda wako kutafi vitu kama hivi hakika kuna manufaa utapa.
View attachment 2164658
- Hivyo tatizo ni wewe, ndiye mwenye kuamua Tanzania yako iweje, waweza kwenda mahala pendine popote duniani, ila wewe binafsi usipo badili mwenendo wako katika matumizi ya muda wako, utakuwa hujafanya kitu.
- Chukua hatua sasa.