Maisha ya Ukraine kwasasa ni bora kuliko maisha ya bongo!

Maake kwanza apa nichekee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sasa kuna haja gani kama huyo jamaa anatamani akafie vitani ilihali atatumia gharama kusafiri na kuiacha familia bila kipato huku akijua kujilazimisha kufa ni dhambi na ni kosa kisheria. Si bora afe kwa bei chee
Sio poa mkuu ubalozi utsnisaidia tyuu
 
Huu ushauri nitauchukua kabisaa... umenikuna
 
Wewe unafuatilia hayo mambo ya "umbea umbea" uliyomention,

Tunaishi katika ulimwengu wa Taarifa na teknolojia. Taarifa zipo nyingi,na utazipata nyingii .. ni juu yako kuchuja au kufuatilia ni taarifa ganinni za msingi kwako!

Ukifollow up ... wambea watakupa habari za umbea...

Bafo kunataarifa nyingi za kuelimisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…