Maisha ya uswahili kama hujayazoea unaweza pata shida

Maisha ya uswahili kama hujayazoea unaweza pata shida

Habari za mchana,

Maisha ya uswahili sio poa poa kama hujayazoea unaweza pata shida sana.

Kuna kipindi nilienda kwa Azizi Ally kumsalimia mtu huko sasa kufika pale tunapiga story gafla kaingia mtu hila hodi anatoa taarifa nachukua mboga kule nini ugali kidogo nilishangaa ase akaona pembeni kuna matunda akabeba.

Ikabidi nimuulize mwenyeji wangu hivi huku ndio maisha gani haya mnaishi mtu anaingia kama kwake anachukua vitu kiholela holela why akawa anacheka.

Siulizi kwa ubaya hila nataka kujua hizo tabia za kienyeji zinatokaga wapi?
Kama wewe ni mwanaume basi wa mchongo ongea na mama apokee maharii ushakuwa mkubwa uolewe sasa.

Narudia kuwa mwanaume ni kuwa tayari kufa kwa ajili ya wengine.
Kuwa tayari kupambana na chatu simba mamba na kuibuka mshindi.
Kulia lia ni tabia za kike. Siwezi kabisa kuwa karibu na mtu kama wewe naweza kukuuwa pasipo sababu maalumu
 
Wengi mmeongopa sana kuhusu uswazi au neno uswazi halijaeleweka kwenu .

Eti uswazi ukute kimba chooni ? Nop wadanganye wa kwenu .

Eti uswazi wana style zao za kunyoa hasa vijana ? Acha uongo uswazi unyoaji wengi uwafuatisha wasanii

Eti uswazi sijui bla bla gani , punguzeni kukariri maisha wakati wengine mmetoka huko vijijini mnakunya kwenye misitu leo mnajifanya kuyashangaa maisha ya uswazi .

Sifa za uswazi ni hizi .

Mazoea yaliyopita mipaka kwa watu wake .

Matusi kwa rika zote si babu wala bibi .

Maisha ya bei za chini sana mfano kupata sukari ya mia .

Watu kuishi chini ya dollar ila maisha yanaenda .

Uchawi hasa kwenye viduka vyao yaani tunaita chuma ulete.

Watu wa huko kupenda masherehe yasiyokwisha tunaita shughuli .

Elimu kwa watoto wa kule sio kipaumbele kwa wazazi .

Ukabaji na wizi uliokithiri .

Kujiita majina ya wasanii wa mbele mara Fatuma kuitwa Fetty Rish .

Kupata vitu vya ndani kwa bei za chini kupita kawaida .

Uwepo wa watu ambao ni wababe wa mtaa yaani unaweza ibiwa usiku asubuhi ukaripoti kwa hawa wababe na ukapata mali yako safi .

Uswazi hakuna mtu atakuuliza unafanya kazi gani ? Zaidi usiwe mtu official sana kimavazi sababu watakuita wa kishua na pia watakuhisi ni usalama sababu hiyo kazi sio mtoto wala mkubwa wote wanaijua .

Uswazi kila ukipiga story na watu wa huko si ajabu kila mtu kukuambia ana nduguye ni afisa usalama

Uswazi sio polisi wala baka baka yaani wajeda hawaogopwi na pia wanakaa vijiweni kula story na wana mtaa ikabidi hata ganja wanavuta wote
Cc .keko magereza na askari wake hasa vijana .

Uswazi hawaogopi cheo chako ila wanaogopa hela yako kwa msemo wa dolari zako tu .

Uswazi kila familia ina ndugu alizamia nje hajarudi mpaka leo .

Uswazi kwa dar wengi ni waislamu isipokuwa wachache sana hasa watu kuja waliowahi mjini zama zile

Uswazi ishi na rika zote vizuri hutajutia ila ukijitia huna muda na wana mtaa huwezi kuendelea utaibiwa mpaka ukome

Uswazi si ajabu choo kimoja kutumika na nyumba tatu kwa mpigo na ratiba ya usafi inazihusu nyumba zote .

Ukifika uswazi usikubali kusema unatoka mkoa gani sema ni wa dar utaheshimika kiasi chake ila kujitabanaisha mkoa utokao wao uanza kukuhisi wewe ni mshamba .

Oya jamani dar asilimia 80% ni uswazi japo kila sehemu inatofautiana uswahili wake hivyo msijipe presha wengi wenu mnaishi uswahilini tu ila hamjajua tu.

Haya nayaeleza kupitia exprience yangu huko KEKO, TANDIKA , TEMEKE na kwingineko katika viunga vya jiji la dasalam

Wale wa Masaki tukutane hapa tukumbushane enzi.
Hash
 
Hata tunda sio ngumu kupata.

Na videm vingi vya huko ukiingia na gia ya kumwaga pesa vinakuona mshamba tu utakuja shangaa unapigiwa na wasanii uchwara wa singeli wa mitaa hio sababu vinawakubali sana, yaan hawaabudu hela, wameridhika kabisa na maisha ya ovyo. Ujilete na usomi eti unamtafutia kazi mara nn sijui kisa amekupa game zuri matobo almost yote unataka kumtoa uswahilini ndugu yangu utajuta.
Hahaha
 
Ishara zitakazokujulisha kwamba Sasa unaingia uswazi ni wingi wa vitoto halafu havijavaa shati juu,vinacheza michezo ya kupigana na kubebanabebana bila kusahau mademu kibao vibarazani macho yote yanakutizama kwa mshangao.....!
Dash kuishi uswazi yataka moyo wa ujasusi Sana Kama una pigo za kisomisomi
😄😄 Kazi ipo
 
Kama wewe ni mwanaume basi wa mchongo ongea na mama apokee maharii ushakuwa mkubwa uolewe sasa.

Narudia kuwa mwanaume ni kuwa tayari kufa kwa ajili ya wengine.
Kuwa tayari kupambana na chatu simba mamba na kuibuka mshindi.
Kulia lia ni tabia za kike. Siwezi kabisa kuwa karibu na mtu kama wewe naweza kukuuwa pasipo sababu maalumu
Naam
Gily Gru watu washaanza kumshtukia mtoa mada 🤣
 
Uswaz watu wana pesa acha kabisa. Na kila sherehe mabinti wanapga vijora vipya. Hawawazi kujenga sijui mijumba mikubwa, sijui wanunue magari. Life simple na wako happy tu... Eti laana 🤣🤣
Chai
 
Ukiridhika na maisha ya uswahilini..you're done..unaukaribisha umasikini

Uswahilini iwe kama stepping stone kipindi cha kujitafuta ili mambo yakikaa fresh unahamia sehemu zilizotulia lakini kamwe usiridhike na kuishi uswazi
Asanteee!
 
Mimi nilikuwa nikivaa suruali za vitambaa na mashati mikono mirefu. Siku moja moja napiga tai. Niliitwa majina mengi sana, baba mchungaji, mwinjilist nk. Nilikuwa naonekana tofauti kabisa katikati ya vijana wa uswazi. Nilichofaidi uswazi ni papuchi... nisingekuwa na aibu kuna familia ilikuwa nile mabinti na mama yao. Kwa mama nilijizuia sana... pia uswazi raha yake ni upatikanaji wa huduma ndogondogo. Msosi, vinywaji, vocha na mambo mengine madogo madogo hupatikana muda wowote.
Duuh
 
Hata tunda sio ngumu kupata.

Na videm vingi vya huko ukiingia na gia ya kumwaga pesa vinakuona mshamba tu utakuja shangaa unapigiwa na wasanii uchwara wa singeli wa mitaa hio sababu vinawakubali sana, yaan hawaabudu hela, wameridhika kabisa na maisha ya ovyo. Ujilete na usomi eti unamtafutia kazi mara nn sijui kisa amekupa game zuri matobo almost yote unataka kumtoa uswahilini ndugu yangu utajuta.
Hakuna mwanamke mgumu ndugu yangu, hata huko kwenu, uzunguni, sema tu wewe ndiyo hujui, ukienda telgram masaki wanajiuza kama manzese tu.
Na wa hili, shuda ni yule jamaa wa wanawake 400.
 
Back
Top Bottom