Maisha ya Watanzania yanachezewa na CCM, wananachi wanahangaika huku wanasiasa wa CCM wakiwaona wananchi ni wajinga

Maisha ya Watanzania yanachezewa na CCM, wananachi wanahangaika huku wanasiasa wa CCM wakiwaona wananchi ni wajinga

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Kuna msemo unasema kwamba usimuamushe aliyelala ukimuasha utalala wewe.

Na hawa watanzania waliolala leo hii hawajui haki zao ipo siku wataamka. Hawatataka upuuzi. Hawatataka ujinga unaoendele sasa hivi. Maana wanasisa wanaotafuna kodi zao wanaona wao ni wajinga.

Maisha yamekuwa magumu. Bidhaa muhimu zimepanda bei. Chakula kimepanda bei. Wanasiasa wa CCM wapo Bungeni Dodoma wanajadili masuala yasiyo na tija. Wanajadili juu ya mambo yao tu huku wananchi wakiwa hoi taabani kimaisha.

Husikii juu ya anayejali kuwa sasa hata mlo mmoja ni tabu kuupata. Maana Unga ni sh 2000, sukari sh 3000, mafuta ya kupikia hayanunuliki. Watu wanakula kwa manati kujaza matumbo. Biashara zimekuwa ngumu.

Bungeni ni ngonjera za ajabu ajabu tu. Sababu wananchi ni wajinga na hata iweje bunge litakuwa la CCM tu kupitia Wakurugenzi wanaotangaza matokeo.
 
Kuna msemo unasema kwamba usimuamushe aliyelala ukimuasha utalala wewe.

Na hawa watanzania waliolala leo hii hawajui haki zao ipo siku wataamka. Hawatataka upuuzi. Hawatataka ujinga unaoendele sasa hivi. Maana wanasisa wanaotafuna kodi zao wanaona wao ni wajinga...
 
Kuna msemo unasema kwamba usimuamushe aliyelala ukimuasha utalala wewe.

Na hawa watanzania waliolala leo hii hawajui haki zao ipo siku wataamka. Hawatataka upuuzi. Hawatataka ujinga unaoendele sasa hivi. Maana wanasisa wanaotafuna kodi zao wanaona wao ni wajinga....
Kipindi cha dikteta ulikuwa mpiga mapambio wa CCM sahivi naona umebadili gia angani
 
Kipindi cha dikteta ulikuwa mpiga mapambio wa CCM sahivi naona umebadili gia angani
Uko sahihi kabisa! Enzi hizo walikuwa wanasifia kila ujinga uliofanywa na yule Dikteta wao Uchwara! Leo hii wamechwa kwenye mfumo, wanajifanya eti na wenyewe wanaguswa na matatizo ya wananchi walio wengi!

Hapa dawa ni kutafuta tu njia ya kuundoa huu mfumo wa sasa wa kifisadi, na unao litafuna Taifa kupitia hiki kikundi cha watu wachache. Hakuna namna nyingine.
 
Uko sahihi kabisa! Enzi hizo walikuwa wanasifia kila ujinga uliofanywa na yule Dikteta wao Uchwara! Leo hii wamechwa kwenye mfumo, wanajifanya eti na wenyewe wanaguswa na matatizo ya wananchi walio wengi!..
Pamoja na nia ya kuundoa mfumo huo wa kishetani tusisahau kuwapa psychological tortures hawa wehu sampuli ya mleta uzi kwa kuwapa majibu yanayokera hapa JF,kwa kuanzia.😂😂😂😂
 
Kuna msemo unasema kwamba usimuamushe aliyelala ukimuasha utalala wewe.

Na hawa watanzania waliolala leo hii hawajui haki zao ipo siku wataamka. Hawatataka upuuzi. Hawatataka ujinga unaoendele sasa hivi. Maana wanasisa wanaotafuna kodi zao wanaona wao ni wajinga...
Yes ni kweli " WANANCHI NI WAJINGA" . Unataja kujua why?

Sisi wenyewe tumewapa mamlaka makubwa, sisi wenyewe tumekuwa waoga inafikia mahali hata ukidhubutu kunyoosha kidole kwa kiongoz unaonekana huna adabu, mkaidi msailiti, ni wananchi wamejenga uwoga na kufunika kombe mwanaharamu apite vizazi kwa vizazi. Uwoga huu ulianza kama utii baadae ukaja geuka hofu ..hofu ikazaa unafki

In short hatuna jamii yenye udhubutu ndio maana wanasiasa wanawaona mapoyoyo.

Aina ya wabunge tulionao wana reflect aina ya jamii tulionayo
 
Kuna msemo unasema kwamba usimuamushe aliyelala ukimuasha utalala wewe.

Na hawa watanzania waliolala leo hii hawajui haki zao ipo siku wataamka. Hawatataka upuuzi. Hawatataka ujinga unaoendele sasa hivi. Maana wanasisa wanaotafuna kodi zao wanaona wao ni wajinga.

Maisha yamekuwa magumu. Bidhaa muhimu zimepanda bei. Chakula kimepanda bei. Wanasiasa wa CCM wapo Bungeni Dodoma wanajadili masuala yasiyo na tija. Wanajadili juu ya mambo yao tu huku wananchi wakiwa hoi taabani kimaisha.

Husikii juu ya anayejali kuwa sasa hata mlo mmoja ni tabu kuupata. Maana Unga ni sh 2000, sukari sh 3000, mafuta ya kupikia hayanunuliki. Watu wanakula kwa manati kujaza matumbo. Biashara zimekuwa ngumu.

Bungeni ni ngonjera za ajabu ajabu tu. Sababu wananchi ni wajinga na hata iweje bunge litakuwa la CCM tu kupitia Wakurugenzi wanaotangaza matokeo
Alie Shiba hamjui mwenye.....
 
Kuna msemo unasema kwamba usimuamushe aliyelala ukimuasha utalala wewe.

Na hawa watanzania waliolala leo hii hawajui haki zao ipo siku wataamka. Hawatataka upuuzi. Hawatataka ujinga unaoendele sasa hivi. Maana wanasisa wanaotafuna kodi zao wanaona wao ni wajinga.

Maisha yamekuwa magumu. Bidhaa muhimu zimepanda bei. Chakula kimepanda bei. Wanasiasa wa CCM wapo Bungeni Dodoma wanajadili masuala yasiyo na tija. Wanajadili juu ya mambo yao tu huku wananchi wakiwa hoi taabani kimaisha.

Husikii juu ya anayejali kuwa sasa hata mlo mmoja ni tabu kuupata. Maana Unga ni sh 2000, sukari sh 3000, mafuta ya kupikia hayanunuliki. Watu wanakula kwa manati kujaza matumbo. Biashara zimekuwa ngumu.

Bungeni ni ngonjera za ajabu ajabu tu. Sababu wananchi ni wajinga na hata iweje bunge litakuwa la CCM tu kupitia Wakurugenzi wanaotangaza matokeo.

Dhalimu alipokuwa ananajisi uchaguzi, na kupanda mbegu mbaya ya kutoheshimu maamuzi ya wananchi kupitia njia ya kura ulikuwa unamsifia, sasa umeanza kukutana na dhahama ya bunge kibogoyo unalialia.
 
Dhalimu alipokuwa ananajisi uchaguzi, na kupanda mbegu mbaya ya kutoheshimu maamuzi ya wananchi kupitia njia ya kura ulikuwa unamsifia, sasa umeanza kukutana na dhahama ya bunge kibogoyo unalialia.
Nani analia ? Naeleza hali halisi iliyopo.

Habari ya uchguzi wa 2020 inahusika?
 
Uko sahihi kabisa! Enzi hizo walikuwa wanasifia kila ujinga uliofanywa na yule Dikteta wao Uchwara! Leo hii wamechwa kwenye mfumo, wanajifanya eti na wenyewe wanaguswa na matatizo ya wananchi walio wengi!

Hapa dawa ni kutafuta tu njia ya kuundoa huu mfumo wa sasa wa kifisadi, na unao litafuna Taifa kupitia hiki kikundi cha watu wachache. Hakuna namna nyingine.
Usichangie mada kwa mihemuko. Mihemuko mibaya sana.
 
Usichangie mada kwa mihemuko. Mihemuko mibaya sana.
Huu ndiyo ukweli mchungu jamaa yangu Idugunde. Makada wa ccm mkiwa nje ya mfumo mnakuwa na mawazo mazuri na chanya.

Mkiwa ndani ya mfumo wa ulaji, huwa mnageuka na kuwa watu wa hovyo sana. Hamjawahi kuwa na uchungu na maisha ya wananchi walio wengi! Isipokuwa tu nyinyi wenyewe, familia zenu na marafiki zenu.
 
Kaka idugude haya yanayoendelea sasa ni matokeo ya Hayati magufuli kukiweka chama na taasisi zote za Serikali mfukoni.
Utaratibu wa wananchi kuchagua na kuwawajibisha viongozi wa kisiasa kupitia sanduku la kura uliuawa baada ya uchaguzi mkuu wa 2015. Uchaguzi wa Serikali za mitaa marahemu aliamua kwa ushindi wa mfukoni.

Uchaguzi mkuu wa 2020 marahemu alikuja na ushindi wa mfukoni. Wanasiasa/Wabunge kutoka chama cha mapinduzi hawawajibiki kwa wananchi Bali kwa mwenyekiti wa chama. Kama mwenyekiti wa chama ndiye kwenye hatma yao ya kisiasa there is no way they will give a https://jamii.app/JFUserGuide about us the normal folks.

Katiba mpya ndiyo itakua suluhisho kwa sababu itarejesha mamlaka kwa wananchi. Hii itafaya wafanye kazi kwa ajili ya wananchi wanapotumikia nafasi walizopewa kisiasa. Sadly uozo ulianza after 2015 kaka.
 
Maisha ya Watanzania yanachezewa na CCM, wananachi wanahangaika huku wanasiasa wa CCM wakiwaona wananchi ni wajinga
😂😂
Mtoa mada Idugunde, umeokoka lini na kuachana na u CHAWA ?!!!
Kodi zinazotozwa kwa wananchi ni kufuru, ni kama kukomoa flani🙄
 
Kuna hali ya kukata tamaa na kutojali kwa watanzania wote kwa ujumla. Hali ya maisha kuwa duni na magumu ni matokeo ya kuowajibika kwa kila mmoja wetu lwa wananchi na baadhi ya wanasiasa. Siasa inatakiwa kuwa wito wala si utashi. Hilo limekosekana. Matokeo yake mambo mengi ya kitaifa kwa ajili ya maendeleo na ustawi hayapewi umuhimu wake. Hata katiba mpya ikija mambo hayawezi kubadilika bila ya wenye ridhaa ya kuongoza kubadilika kwa kuheshimu viapo walivyokula. Hapo ndipo penye shida. Hata wananchi tuwajibike kwa kuwahimiza wanasiasa kuwajibika.
 
Wewe pimbi , we si ndio ulikuwa mpiga mapambio enzi za mwendazake wewe ?
 
Back
Top Bottom