Msichoelewa na mzabzab hapa ni kimoja, sizungumzii ndoto za kuota ukiwa umelala nazungumzia ile namna, kuna mdada mmoja uliona kabisa huyu ndiyo ana fit kwa vigezo vyako kuwa life partner ila haikuwa,Mambo ya ndoto ayaache ndotoni sio Kwa wazungu. Ingekuwa kila unachoota ndio uhalisia, basi tungeongea mengine.
Katiba ya ndoa inasema asiachwe mwanamke ila endapo atazini nje ama kuvunja uaminifu na kiapo cha ndoa.Ila nyie wanaume dah, kwamba uwe na gari mbili yard. Wakati huo mwanamke akiweka zake mbili itakua sawa?
Nahisi wengi hawajaolewa wala kuoawa watu waliokua na features walilizozitaka. Binafsi nkikumbuka huwa naishia tu kumshukuru Mungu. Picha nlizokua nazo kichwani mwangu na nlichokuja pewa ni tofauti. Sasa yule unaetamani ndo akuoe wala hakuoi, yule unaeona hafai ndo anakujali mpaka unaogopa. Mi ilifika kipindi mpaka nikisali namwambia Mungu huyu mtu kama sio wangu naomba umuondoe kwa namna yoyote ile, lakini wapi ndo kwanza ananogesha penzi mpaka huoni sababu ya kumwacha. Mwisho wa siku unakubali yaishe ukimaliza kujifunza ndo unajikuta unapenda mpaka basi.
Acha tu nimshukuru Mungu. Yani hadi mama huwa ananiambia nimepata mtu manake yeye na aunt walikua mwanzoni hawana imani nae coz ametoka ile kanda maalumu. Walikua wananiambia yani "M" umeacha wanaume wote hawa umeamua kwenda huko kwenye watu wana bendera yao. Ngoja niishie hapa asije soma hii topic.Shukuru mungu roho mtakatifu yuko pamoja na wewe, wenzio macho ya rohoni hawana unamkuta demu anamkatalia professor kijana smart anamkubalia Hemedy PhD
My guts never lie for sho! Don't get me started cause i know when a chic want somn she missin for a dead while 😍Hahaa..
I knew it..!
Lazima uje tu hapa unibishie, how far are you sure Extro eti..??
Vaa vizuri bro Suti sio utanashati.Ntaboreshaje? Kama mdada ananiona sokwe, hata nikivaa suti, ataendelea kuniona sokwe nlievaa suti, mm kwenye vaa yangu nahakikisha tu i'm clean, usharo sina KateMiddleton
Carleen I can be that someone 'special' to you.Ameen..!
We all do praying for that special someone..!
Ambao hatunywi bia bossVaa vizuri bro Suti sio utanashati.
Pangilia nguo zako mwilin zikae Fresh nunua Perfume Kali unukie vizuri.
Nunua viatu vikali vya kutosha nunua Sandles ,pensi Kali, saa yako mkononi Kali .
Utapata pisi Kali mbona
Afu usisahau kunywa bia na kutafta pesa .
Dada zangu wa jf, inaniuma sana utakuta umempenda Mdada, ila moyo wa huyo mdada uko kwa mwanaume mwingine ambaye hamthamini huyo mdada, mdada Unamtongoza anakukataa anakuambia ana mchumba Na Wapo kwenye mahusiano Serious ya kuelekea ndoa, na ukichunguza ni kweli ana mchumba, ila mdada anasuka nywele za bei rahisi mno nyie mnaitaga Sijui twende kilioni, na smartphone yake ina crack za kutosha, Mwanaume hataki hata kuongozana na mdada in public, unajiuliza huyu mdada anaesema ana mchumba, ana mchumba wa aina gani? Mbona huyu mwanaume anayependwa na mdada mzuri hivi, hajali kuwa simu ya mpenziwe ina cracks? Shida ni kuwa hisia zote huyo mdada kawekeza kwa huyo mwanaume, na huwezi mfumbua macho huyu mdada Kuwa mwanaume alie nae anamchukulia kama sehemu ya kukojolea, Na si kama life partner na mke mtarajiwa, kwa hofu ya kuonekana snitch, kwa hiyo huwa nasikitika ndani kwa ndani [emoji24][emoji24][emoji24] to yeye KateMiddleton Carleen financial services
Munywe maji na mchakate mbususuAmbao hatunywi bia boss
Mm mwenyewe niliambiwa hivyo hivyo kwasababu ametoka huko[emoji23]Acha tu nimshukuru Mungu. Yani hadi mama huwa ananiambia nimepata mtu manake yeye na aunt walikua mwanzoni hawana imani nae coz ametoka ile kanda maalumu. Walikua wananiambia yani "M" umeacha wanaume wote hawa umeamua kwenda huko kwenye watu wana bendera yao. Ngoja niishie hapa asije soma hii topic.
Jamani,Kwa kweli namshukuru Mungu kwa huyu mtoto wa mama mkwe na sitaacha kumtolea sadaka kwa kweli. Ni mwanaume wa shoka kila idara hakika Mungu amenipa wa kufanana na mm.
Hongera sana mwaya dear..!Nahisi wengi hawajaolewa wala kuoawa watu waliokua na features walilizozitaka. Binafsi nkikumbuka huwa naishia tu kumshukuru Mungu. Picha nlizokua nazo kichwani mwangu na nlichokuja pewa ni tofauti. Sasa yule unaetamani ndo akuoe wala hakuoi, yule unaeona hafai ndo anakujali mpaka unaogopa. Mi ilifika kipindi mpaka nikisali namwambia Mungu huyu mtu kama sio wangu naomba umuondoe kwa namna yoyote ile, lakini wapi ndo kwanza ananogesha penzi mpaka huoni sababu ya kumwacha. Mwisho wa siku unakubali yaishe ukimaliza kujifunza ndo unajikuta unapenda mpaka basi.