DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Jana nilibahatika kwenda kwa Dokta X aambaye kila Mtu nadhani anamjua anajinasibu kuwa anatibu Matatizo ya uzazi na hata Msanii mmoja ambaye yupo katika msiguano na Basata alishamfanyia Promo katika nyimbo kwenye upande wa video katika intro.
"Je utanipenda" I guess it was 2015
Mada yangu
Wateja niliowakuta 90% wanathibitisha kuwa wametoa Sana Mimba na hii imepelekea kukosa watoto.
Unfortunately kimuonekano wanaonekana kuchoka kimwili kiakili na kiroho wapo stressed na kuokoa Ndoa zao huku wakitafta Ujauzito usiku na Mchana.
Nyie wanawake Kama mgeyajua haya Mapema zile Mimba mlizotupa chooni mgekubari kuzaa tu Hata Kama Baba zao miyeyusho.
Sasa Mmefika 30+ huna mtoto huna Pesa huna Ndoa na umezeeka unakosa hata Mtu wa kukufariji (Comfort zone)
Wanaume Ni watu wenye Akili Sana wanasema hawapo tiyari kuoa single mothers but still wanaume baadhi wameoa single mothers so nanyie wanawake mnakimbilia kufanya abortion ili msikose kuolewa then mnakosa vyote Mtoto+Ndoa so ni juu yako pia njaa zinawaponza kwa kufikiria Utamlisha Nini mtoto na wewe utadanga vipi so unaua Kichanga then unaanza kuangaika kutafta Ujauzito Kwa Mwamposa mara kwa Dokta wa virutubisho it pain.
Badilikeni la sivyo mtachakazwa maana ukiingia tu 30+ kwisha habari yako.
Hizo Mimba mnazotupa chooni walai mtazikumbuka time will tell.
That All
"Je utanipenda" I guess it was 2015
Mada yangu
Wateja niliowakuta 90% wanathibitisha kuwa wametoa Sana Mimba na hii imepelekea kukosa watoto.
Unfortunately kimuonekano wanaonekana kuchoka kimwili kiakili na kiroho wapo stressed na kuokoa Ndoa zao huku wakitafta Ujauzito usiku na Mchana.
Nyie wanawake Kama mgeyajua haya Mapema zile Mimba mlizotupa chooni mgekubari kuzaa tu Hata Kama Baba zao miyeyusho.
Sasa Mmefika 30+ huna mtoto huna Pesa huna Ndoa na umezeeka unakosa hata Mtu wa kukufariji (Comfort zone)
Wanaume Ni watu wenye Akili Sana wanasema hawapo tiyari kuoa single mothers but still wanaume baadhi wameoa single mothers so nanyie wanawake mnakimbilia kufanya abortion ili msikose kuolewa then mnakosa vyote Mtoto+Ndoa so ni juu yako pia njaa zinawaponza kwa kufikiria Utamlisha Nini mtoto na wewe utadanga vipi so unaua Kichanga then unaanza kuangaika kutafta Ujauzito Kwa Mwamposa mara kwa Dokta wa virutubisho it pain.
Badilikeni la sivyo mtachakazwa maana ukiingia tu 30+ kwisha habari yako.
Hizo Mimba mnazotupa chooni walai mtazikumbuka time will tell.
That All