Maisha yalivyo ni Bora ukibeba Mimba uzae tu kuliko kuitoa

Maisha yalivyo ni Bora ukibeba Mimba uzae tu kuliko kuitoa

Ila napata utata hapa!! Ulipofika kwa huyo Dr. Virutubisho, uliwezaje kuongea na wagonjwa wote hadi kufahamu wametoa mimba?
 
Turudi kwenye abortion.

If ni wewe assume this you are young and you want to test everything but when you try sex suddenly you are pregnant and your boyfriend still depend his parents to in everything even you.

What will you do and if you figuraout that your mama told you before i will kill you if you get pregnant.

And young lady doesnt have a place to depend on.

Tell me .

No food no shelter you must have an abortion to in order to survive.
It's not their fault
Hapa hamna sababu ya msingi kuua kichanga. Ni umalaya wenu tuu.
 
Haijalishi ni hali gani unapitia,,, lakini kutoa mimba sio jambo jema hata kidogo..
 
Kwa nini nyie mnaweka hamuoi ??
Umkatishie mtu starehe zake kisa vimbegu vyako siuzae na condom shenzi

Mkuu Liverpool VPN kila siku anasema maandiko yamesisitiza watu wazaliane na sio WAOANE,,, elewa hapo kwanza ndio tuendelee....

Ukiacha hayo, bado kuto-kuolewa sio sababu ya mtu kutoa mimba na akitoa haifanyi tuone amefanya Jambo sahihi... na swala la Starehe linabaki pale pale kwasababu mtu hawezi kuwa na mimba milele ni kipindi kifupi tu....

Vile vile mkuu kutumia Condom kunapunguza utamu,, haina tofauti na kupiga Nyeto.... ni bora Blow job kuliko kugegeda na ndom..

Ielewe ikuelewe.
 
Kutoa mimba ni dhambi, humtendei haki yule mtoto. Sema wengi huwa wanafikiria maisha yao tu kwa wkt huo, Hali wanazopitia kipindi icho. So sad, siwezi kuwalaumu.
 
Kwa mtazamo wangu,
Suala zima la.kupata mimba linahusisha vitu kobao kama hormones n.k.
Ni kweli kua wapo wanaotoa mimba tena nyingi tu na bado wanapata mimba, af kuna wale hata mimba hawajawahi kutoa na hawapati.
Sayansi ni pana juu ya hili.
Recently ukiangalia kwa kiwango kikubwa wengi wanaopata changamoto ya kutoshika mimba ni because ya mfumo wao wa maisha. Wengi wana hormonal imbalance due to vitu kama uzito mkubwa, kula vibaya, matumizi ya pombe n.k
My take ni kuwa, af mwanamke ana afya nzuri, b.m.i imekaa stable na ana mfumo mzuri wa maisha, in case akikosa mimba then hapo ni suala lingine la kiafya ambalo akienda hossy atapata ufumbuzi.
Na pia, tunapenda kulaumu wanawake sana, sometimes problem ni mwanaume. Unakuta mbegu anazo but zina walakini, sema jamii inapenda kumuangushia zigo mwanamke.
Tuamke!
 
Mtoto akifikisha miaka mitano anaanza darasa la kwanza wewe una miaka 50

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kuna shida gani??
Mungu atakuweka kwa ajili yake.
Mbona mimi baba yangu kaoa 45 na kafa miaka 98 years na kaona watu wameoa nakaona wajukuu na baadhi ya vitukuu sasa maisha hupangi wewe ni Mungu .
 
Jana nilibahatika kwenda kwa Dokta X aambaye kila Mtu nadhani anamjua anajinasibu kuwa anatibu Matatizo ya uzazi na hata Msanii mmoja ambaye yupo katika msiguano na Basata alishamfanyia Promo katika nyimbo kwenye upande wa video katika intro.

"Je utanipenda" I guess it was 2015

Mada yangu
Wateja niliowakuta 90% wanathibitisha kuwa wametoa Sana Mimba na hii imepelekea kukosa watoto.

Unfortunately kimuonekano wanaonekana kuchoka kimwili kiakili na kiroho wapo stressed na kuokoa Ndoa zao huku wakitafta Ujauzito usiku na Mchana.

Nyie wanawake Kama mgeyajua haya Mapema zile Mimba mlizotupa chooni mgekubari kuzaa tu Hata Kama Baba zao miyeyusho.

Sasa Mmefika 30+ huna mtoto huna Pesa huna Ndoa na umezeeka unakosa hata Mtu wa kukufariji (Comfort zone)

Wanaume Ni watu wenye Akili Sana wanasema hawapo tiyari kuoa single mothers but still wanaume baadhi wameoa single mothers so nanyie wanawake mnakimbilia kufanya abortion ili msikose kuolewa then mnakosa vyote Mtoto+Ndoa so ni juu yako pia njaa zinawaponza kwa kufikiria Utamlisha Nini mtoto na wewe utadanga vipi so unaua Kichanga then unaanza kuangaika kutafta Ujauzito Kwa Mwamposa mara kwa Dokta wa virutubisho it pain.

Badilikeni la sivyo mtachakazwa maana ukiingia tu 30+ kwisha habari yako.

Hizo Mimba mnazotupa chooni walai mtazikumbuka time will tell.

That All
Ujumbe mzuri

Shukranii
 
Back
Top Bottom