Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,596
- 2,079
Very innocent!! Umeanika ukweli wako.Mimi nilipata miscarriage sio nilitoa makusudi imetokea tu.
Nanilikuwa tayari na mtu sio nilikuwa nashida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very innocent!! Umeanika ukweli wako.Mimi nilipata miscarriage sio nilitoa makusudi imetokea tu.
Nanilikuwa tayari na mtu sio nilikuwa nashida
Hapa hamna sababu ya msingi kuua kichanga. Ni umalaya wenu tuu.Turudi kwenye abortion.
If ni wewe assume this you are young and you want to test everything but when you try sex suddenly you are pregnant and your boyfriend still depend his parents to in everything even you.
What will you do and if you figuraout that your mama told you before i will kill you if you get pregnant.
And young lady doesnt have a place to depend on.
Tell me .
No food no shelter you must have an abortion to in order to survive.
It's not their fault
Kwa nini nyie mnaweka hamuoi ??Haijalishi ni hali gani unapitia,,, lakini kutoa mimba sio jambo jema hata kidogo..
Jinga sana wee mwanamke. Na hiyo mimba uliitoa makusudi. hutazaa tena.Kwa nini nyie mnaweka hamuoi ??
Umkatishie mtu starehe zake kisa vimbegu vyako siuzae na condom shenzi
Kwa nini nyie mnaweka hamuoi ??
Umkatishie mtu starehe zake kisa vimbegu vyako siuzae na condom shenzi
Mpka sasa umezitoa ngapiNa sara na dada kibao wamezaa wakiwa 45 tena mapacha you know what wewe sio Mungu
Mtoto akifikisha miaka mitano anaanza darasa la kwanza wewe una miaka 50Na sara na dada kibao wamezaa wakiwa 45 tena mapacha you know what wewe sio Mungu
Kuna shida gani??Mtoto akifikisha miaka mitano anaanza darasa la kwanza wewe una miaka 50
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kila mtu na damu yake...Nina ushuhuda wa binti aliyekua anatoa mimba almost kila miezi 2 na kila akienda imooo anatoa tena na sasa ana mtoto miaka 2
Ujumbe mzuriJana nilibahatika kwenda kwa Dokta X aambaye kila Mtu nadhani anamjua anajinasibu kuwa anatibu Matatizo ya uzazi na hata Msanii mmoja ambaye yupo katika msiguano na Basata alishamfanyia Promo katika nyimbo kwenye upande wa video katika intro.
"Je utanipenda" I guess it was 2015
Mada yangu
Wateja niliowakuta 90% wanathibitisha kuwa wametoa Sana Mimba na hii imepelekea kukosa watoto.
Unfortunately kimuonekano wanaonekana kuchoka kimwili kiakili na kiroho wapo stressed na kuokoa Ndoa zao huku wakitafta Ujauzito usiku na Mchana.
Nyie wanawake Kama mgeyajua haya Mapema zile Mimba mlizotupa chooni mgekubari kuzaa tu Hata Kama Baba zao miyeyusho.
Sasa Mmefika 30+ huna mtoto huna Pesa huna Ndoa na umezeeka unakosa hata Mtu wa kukufariji (Comfort zone)
Wanaume Ni watu wenye Akili Sana wanasema hawapo tiyari kuoa single mothers but still wanaume baadhi wameoa single mothers so nanyie wanawake mnakimbilia kufanya abortion ili msikose kuolewa then mnakosa vyote Mtoto+Ndoa so ni juu yako pia njaa zinawaponza kwa kufikiria Utamlisha Nini mtoto na wewe utadanga vipi so unaua Kichanga then unaanza kuangaika kutafta Ujauzito Kwa Mwamposa mara kwa Dokta wa virutubisho it pain.
Badilikeni la sivyo mtachakazwa maana ukiingia tu 30+ kwisha habari yako.
Hizo Mimba mnazotupa chooni walai mtazikumbuka time will tell.
That All
Wewe ulishatoa?Nina ushuhuda wa binti aliyekua anatoa mimba almost kila miezi 2 na kila akienda imooo anatoa tena na sasa ana mtoto miaka 2
KuabotiPole Mkuu.
Kwa Dokta ulienda kutibiwa nini mwenzetu?
Ulifanikiwa kupata Tiba?