Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chase Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo

Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chase Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo

Mkuu kama unataka kuuza hiyo gari Kwa bei ya faida peleka mkoani , saizi unaweza ukajaribu Mtwara. Saizi watu wamepiga biashara za korosho pesa hawakosi.
 
Nacheka tu comments za Watanzania 🤣🤣🤣

Yani gari imeharibika msituni alafu abiria wote, dereva pamoja na konda wote kila mmoja anasema mtajua wenyewe
 
Hiyo 20,000 kwa siku ndiyo faida yenyewe, of course ukitoa gharama za uendeshaji. Million 7 ndiyo mtaji wenyew. Kwa maneno mengine faida inatengenezwa siku bajaj inaanza kuoperate, na siyo eti faida ni kurudisha million 7. Inaelekea hujawahi kufanya biashara.
Sio faida hyo,utakaporudisha 7m ya mtaji ndipo utaanza kuhesabu faida
 
Back
Top Bottom