Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aysee juzi jmos nlikuwa pale villa park kirumba sikuamini kuwa Ali ndo anaimba live band akiwa kwny muonekano ule,jamaa kachoka saanaa mkuuyupo super kamanyola ya mwanza.......nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. nimemuona akikomalia kuiimba 'nawashukuru wazazi wangu' ya ddc mlimani park. najihisi kuhuzunika kiasi, lkn sijui ni kwanini!!
Jmos nlikuwa hapo villa ndo alikuwa anatumbuiza,hakika jamaaa kachokaHuyu legendary nilikutana nae Mwanza aisee,kachoka yaani yupo tuu.... Mimi kama mmoja wa wahenga nasikitika sana kumuona vile aisee.... huwa anapiga show Villa park pale.
Ama kweli wakati ni ukuta
Mwijuma Muumini anapatikana kwenye Mghahawa Bubu pale Mtoni Mtongani,anamsaidia Mmama kuuza chakula,ujira wake ukiwa ni kupewa msosi wa bure.Bora Choki Ukimuona Muumin utamuonea Huruma kweli maisha yanaenda kasi sana...Kuna siku nilimuona kwenye Bajaji za kuchangia jero jero anaenda kunegotiate na manager wa BAR apige show siku ya valentine na siku nyingine tukapanda naye Mwendokasi aiseee yaani mpole anatia huruma.
Siyo kweli hata kidogo muziki wa dansi ulishakufa hata kabla utawala huu wa awamu ya tano haujafikiriwa hata kuwa mgombea uraisMapedeshee wengi waliokuwa wanaziwezisha hizi bendi wamepigwa pini na huu utawala wa jpm.unaweza kuhusisha na kufulia kwa wanamziki hawa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi yale mafuba yote waliyokuwa wanavuna tangu enzi za kina marehemu Mpakanjia yameishia wapiMwijuma Muumini anapatikana kwenye Mghahawa Bubu pale Mtoni Mtongani,anamsaidia Mmama kuuza chakula,ujira wake ukiwa ni kupewa msosi wa bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo hakujawahi kuwa na mziki wa dansi,hizo mambo tuwaachie wakongo wenyew hawa wa kwetu ni wapiga mayowe tu.yupo super kamanyola ya mwanza.......nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. nimemuona akikomalia kuiimba 'nawashukuru wazazi wangu' ya ddc mlimani park. najihisi kuhuzunika kiasi, lkn sijui ni kwanini!!
Dah!