Maisha yanaenda kasi sana. Ali Choki ndo yupo kule!

Mmenikumbusha mbali enzi ya Muumini, na nyimbo zake zile Mgumba namba 1, namba 2 na mgumba namba 3,
Napenda sana ule wimbo wa Muumini wa 'Nampenda Nani ' kuna maneno anasema "ukimuona mzuri mchaguee " "nampenda mpenda naanii nampendaa "

Ali choki na extra bongo, Ali choki na nyimbo ya 'chuki binafsi ' ,'umbea hauna posho '
Akudo wazee wa 'pekecha pekecha '
Nyoshi saadat huwa anapigaga Show tegeta Kwenye bar moja inaitwa Brazil.

Hadija mnoga, Sada saleh,
 
yupo super kamanyola ya mwanza.......nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. nimemuona akikomalia kuiimba 'nawashukuru wazazi wangu' ya ddc mlimani park. najihisi kuhuzunika kiasi, lkn sijui ni kwanini!!
Sawa

Nicheke tu
 
Hakika mkuu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Funzadume,

Umeandika 100/100. Ni kweli hili ulisemalo. Mfano mimi mzazi wangu wa kiume. Miaka kenda nyuma CO wa kambi ya jeshi, mjuvi wa fani aina 3 za engineering na tegemeo jeshini na mbabe yeye. Leo ukimuona anatia huruma ujanja kwisha. Na mbaya zaidi alitumia na akafuja. Leo si yule..hata ujenzi alisahau. Anaishi nyumba ya rafiki.
 
"Jirani jirani yangu, nimekukosea nini * kila unachokitaka jirani, mimi ninakupatia * mimi ninachokuomba jirani, mwenzangu wanikatalia*" - Twanga pepeta (Ally Choki)
Huu wimbo ulisababisha nimle jirani yangu kimasihara [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
 
Msafiri Diof aliLost kitambo kabla ya hata mziki wa dansi baada ya kuanza kutumia ngada.wawezeshaji wa mziki wa dansi kina papa Msofe,Said Ntimizi,Abdul Karim,Fikiri Madinda,Juma Kapuya.nk baada ya kupotea na mziki ukapotea!
 
Dansi zama zake zishaisha.

Mwenyewe leo nilikuwa nasafiri kutoka Ushirombo kwenda Mwanza, Jamaa wamepiga sana nyimbo za akila Msondo ngoma, Akudo impact na bend nyingi tu. Japo mimi sio mhenga ila nimepatwa maswali kwanini huo mziki zama hizi umepoa sana hasa hasa Bongo ?? Lakini kwa wakongo naona bado unapigwa pigwa


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
yupo super kamanyola ya mwanza.......nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. nimemuona akikomalia kuiimba 'nawashukuru wazazi wangu' ya ddc mlimani park. najihisi kuhuzunika kiasi, lkn sijui ni kwanini!!
yaaah, jana alikuwa antumbuiza pale Villa Park
 
Enzi hizo kuna mpaka viatu fulani hivi vya kuchomeka miguu viliitwa Ally Choki..Kweli zama zinapita.
 
Yahaya Mkango naye sijui yuko wapi? Alikuwa anacharaza gita hapo Twanga , nakumbuka alikuwa anakuja sana Mwananyamala Mchangani kwa demu wake Hidaya. Wakati huo Twanga Twanga kweli.. .Kabla ya Banza kuondoka na mara baada ya Banza kuondoka na Ally Choki kudhibiti dimba.
 
Hivi kati na banza stone na Ally choki nani alikuwa ni nan enzi zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…