Sawayupo super kamanyola ya mwanza.......nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. nimemuona akikomalia kuiimba 'nawashukuru wazazi wangu' ya ddc mlimani park. najihisi kuhuzunika kiasi, lkn sijui ni kwanini!!
yaani mpaka kukumbuka nyuma unaona aibu ,ukiwa peke yako na akili yakoyote maisha hata sisi wengine miaka ya 2000s tulikuwa na mapesa kama yote sasa ivi tumefulia apeche alolo
My goodness [emoji26][emoji26][emoji26]Mwijuma Muumini anapatikana kwenye Mghahawa Bubu pale Mtoni Mtongani,anamsaidia Mmama kuuza chakula,ujira wake ukiwa ni kupewa msosi wa bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]ahsante ndugu. ni ujumbe murua kabisa......
tatizo sisi binadamu ni wepesi sana kusahau na kupuuzia mambo, hata hao kina choki na muumini walipokuwa juu nadhani mifano ya wakongwe wa zamani waliotamba ambao sasa ndo hizo nyimbo zao wanaziimba walikuiwa nayo lakini hawakutilia maanani.
kuna makumi ya wastaafu, wa kitambo kama hao unaowasema na wengine wa miaka hii hii ya juzi tu (2015 kuja juu), ambao tayari wameshapoteza dira ikiwemo hata kushindwa kumalizia nyumba walizoanza kuzijenga baada ya kustaafu na kutokuwa au kushindwa kuendeleza mradi.....bado unawaona vijana wakishindwa kuona na kujifunza, wanaponda tu maisha!!
[emoji23][emoji23]Huyu huyu ambae wakati alivyokuwa Mdogo hakujua maana ya mapenzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
myambizi halijampataMuumini alikuwa habari nyingine miaka ya 2000's sio wa kupanda Bajaji za Jero Jero.
Funzadume,Ndugu zangu wana JF, anayopitia Ali Choki, na wengine ndio mfumo mzima wa Maisha ya watanzania. Wao wanajulikana na ndio maana tunawaona kirahisi walivyokuwa sasa tofauti na zamani
Tusiwabeze ndio mfumo ulivyo. Wazazi wetu sisi wengine walikuwa wakubwa serikalini lakini leo tunachangishana watoto kuwakatia Bima za Afya hawana uwezo tena na Maisha yamewapiga wanatutegemea sisi watoto wao. Tusipojipanga vyema na sisi tutakuwa hivyo hivyo tegemezi kwa watoto wetu. Wakati ni ukuta huwezi kubaki juu milele tecnolojia inabadilika na dunia inabadilika vizazi vinabadilika.
Kuna wengi upande wa wafanyakazi na wakulima, Mapedeshee ukiwaona wamefulia tofauti na kipindi cha nyuma
SOMO MUHIMU: Ukiwa juu jitahidi kuwekeza na kujijenga ili wakati unapobadilika ubaki kuwa juu au usitetereke sana
Msafiri Diof aliLost kitambo kabla ya hata mziki wa dansi baada ya kuanza kutumia ngada.wawezeshaji wa mziki wa dansi kina papa Msofe,Said Ntimizi,Abdul Karim,Fikiri Madinda,Juma Kapuya.nk baada ya kupotea na mziki ukapotea!Nakumbuka siku moja pale Mango Garden vijana kabla haijavunjwa walikuwepo Malaika Band chini ya Mzee wa Masauti wanaburudisha alikuja Msafiri Diouf kupiga mzinga wa buku 2 huku akijitambulisha mie ndio Msafiri Diouf naomba niwezeshe buku 2 angalua niweze kula.
Dah haya maisha noma sana.
Tatizo wasanii wanafanya starehe sana bila kujua future yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dansi zama zake zishaisha.
Hahahhaa.ujinga kaanza zamani[emoji23] eti alidhani mapenzi ni jabari linaloweza kumshika mtu na kumtoa roho yake mara moja
(am just joking)
Sent from my iPhone using JamiiForums
yaaah, jana alikuwa antumbuiza pale Villa Parkyupo super kamanyola ya mwanza.......nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. nimemuona akikomalia kuiimba 'nawashukuru wazazi wangu' ya ddc mlimani park. najihisi kuhuzunika kiasi, lkn sijui ni kwanini!!
Mkuuu kazezee ni balaaaHuyu legendary nilikutana nae Mwanza aisee,kachoka yaani yupo tuu.... Mimi kama mmoja wa wahenga nasikitika sana kumuona vile aisee.... huwa anapiga show Villa park pale.
Ama kweli wakati ni ukuta
Enzi hizo kuna mpaka viatu fulani hivi vya kuchomeka miguu viliitwa Ally Choki..Kweli zama zinapita.Khadija kimobitel na Bad Bakule mwaka 2018,walikuwa wanapiga show bar ya TOT Tabata,kila Jmosi kiingilio kinywaji.Weekend nikiwa naandalia EPL nasindikizwa na burudani kutoka kwao.
Ali Choki aka mzee wa Farasi enzi zake alikuwa hatari.Sijui super Nyamwela na super Danger wapo wapi nao.Nakumbuka kipindi cha nyuma nipo Manyanya kituoni,nilimuona Nyamwela anashuka kwenye gari na demu mkali kinyama.
Yahaya Mkango naye sijui yuko wapi? Alikuwa anacharaza gita hapo Twanga , nakumbuka alikuwa anakuja sana Mwananyamala Mchangani kwa demu wake Hidaya. Wakati huo Twanga Twanga kweli.. .Kabla ya Banza kuondoka na mara baada ya Banza kuondoka na Ally Choki kudhibiti dimba.Nakumbuka siku moja pale Mango Garden vijana kabla haijavunjwa walikuwepo Malaika Band chini ya Mzee wa Masauti wanaburudisha alikuja Msafiri Diouf kupiga mzinga wa buku 2 huku akijitambulisha mie ndio Msafiri Diouf naomba niwezeshe buku 2 angalua niweze kula.
Dah haya maisha noma sana.
Tatizo wasanii wanafanya starehe sana bila kujua future yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni banza stone mwana masanjaKuna wimbo uliitwa "Elimu ya Mjinga ni Majungu"
Bonge la songi la Dansi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo jamaa nikikupiga ban usiseme nimekuoneaNiliwahi pia mara kwa mara kumsaidia buku mbili mbili lakini nikastuliwa kwamba hazitumii kwa chakula...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kati na banza stone na Ally choki nani alikuwa ni nan enzi zaoYahaya Mkango naye sijui yuko wapi? Alikuwa anacharaza gita hapo Twanga , nakumbuka alikuwa anakuja sana Mwananyamala Mchangani kwa demu wake Hidaya. Wakati huo Twanga Twanga kweli.. .Kabla ya Banza kuondoka na mara baada ya Banza kuondoka na Ally Choki kudhibiti dimba.