Mmenikumbusha mbali enzi ya Muumini, na nyimbo zake zile Mgumba namba 1, namba 2 na mgumba namba 3,
Napenda sana ule wimbo wa Muumini wa 'Nampenda Nani ' kuna maneno anasema "ukimuona mzuri mchaguee " "nampenda mpenda naanii nampendaa "
Ali choki na extra bongo, Ali choki na nyimbo ya 'chuki binafsi ' ,'umbea hauna posho '
Akudo wazee wa 'pekecha pekecha '
Nyoshi saadat huwa anapigaga Show tegeta Kwenye bar moja inaitwa Brazil.
Hadija mnoga, Sada saleh,
Napenda sana ule wimbo wa Muumini wa 'Nampenda Nani ' kuna maneno anasema "ukimuona mzuri mchaguee " "nampenda mpenda naanii nampendaa "
Ali choki na extra bongo, Ali choki na nyimbo ya 'chuki binafsi ' ,'umbea hauna posho '
Akudo wazee wa 'pekecha pekecha '
Nyoshi saadat huwa anapigaga Show tegeta Kwenye bar moja inaitwa Brazil.
Hadija mnoga, Sada saleh,