Maisha yanaenda kasi sana. Ali Choki ndo yupo kule!

Maisha yanaenda kasi sana. Ali Choki ndo yupo kule!

Bora Choki Ukimuona Muumin utamuonea Huruma kweli maisha yanaenda kasi sana...Kuna siku nilimuona kwenye Bajaji za kuchangia jero jero anaenda kunegotiate na manager wa BAR apige show siku ya valentine na siku nyingine tukapanda naye Mwendokasi aiseee yaani mpole anatia huruma.
Kama wote wako hai inatosha pesa sio ishu sana wanazipata kula siku ziende ukishalijua Hilo chili’s hatua haraka jiwekeze Hata sisi wa Enzo za Ali na akina Hega tumechoka basi tu hatujulikani kwa majini
 
yupo super kamanyola ya mwanza.......nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. nimemuona akikomalia kuiimba 'nawashukuru wazazi wangu' ya ddc mlimani park. najihisi kuhuzunika kiasi, lkn sijui ni kwanini!!
Mwaka juzi alikuwa Tabora mjini anaimba na bendi fulani pale Whatsup Pub
 
Kama wote wako hai inatosha pesa sio ishu sana wanazipata kula siku ziende ukishalijua Hilo chili’s hatua haraka jiwekeze Hata sisi wa Enzo za Ali na akina Hega tumechoka basi tu hatujulikani kwa majini
Muumini alikuwa habari nyingine miaka ya 2000's sio wa kupanda Bajaji za Jero Jero.
 
Niliwahi pia mara kwa mara kumsaidia buku mbili mbili lakini nikastuliwa kwamba hazitumii kwa chakula...
Nakumbuka siku moja pale Mango Garden vijana kabla haijavunjwa walikuwepo Malaika Band chini ya Mzee wa Masauti wanaburudisha alikuja Msafiri Diouf kupiga mzinga wa buku 2 huku akijitambulisha mie ndio Msafiri Diouf naomba niwezeshe buku 2 angalua niweze kula.
Dah haya maisha noma sana.
Tatizo wasanii wanafanya starehe sana bila kujua future yao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom