Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Kwa Vichekesho Hivi Zaidi Dial *150#
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana bongo fleva imepoteza mvuto siku hizi, wanapitwa hata na wasanii wa singeliMaisha yanaenda kasi sana eti shishi baby naye ana msanii π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Msanii wake mwenyewe ni mpishi wake wa shishi food πππππ
Sasa cha kuchekechesha ni kwamba eti msanii ataendelea kupika na kutosha vyombo kama kawaida hapo shishi food wakati huo huo atakuwa anaimba πππππ
Aliponiacha hoi Sasa eti yeye hatoi Cha gari, wala hampangii nyumba msanii wake hivyo vyote atavipata kupitia mshahara wake wa upishi na kwenye kuimba.
Msanii wake anaitwa Nice TZ , amemsaini kupitia lebo yake ya Shishi gang π€£π€£π€£π€£na amemtambulisha rasmi usiku wa Leo.
View attachment 2850225
Yote kwa yote nampongeza Shishi beibeeee kwa uthubutu, japo wabongo wanasema eti jamaa atachukua nafasi ya Rommy soon πππ
Ila Shishi bhana ....
Juzi kwenye birthday yake kajizawadia gari la m 70.Hata shishi harakati zake alianza hivi hivi Ila Leo she is financial stable anamiliki nyumba mjini ana usafiri na biashara za hapa na pale , so kubeza harakati za MTU ni inferiority complex
Yes she is hustler ni moja ya wanawake wachache wenye focus katika PESA.Juzi kwenye birthday yake kajizawadia gari la m 70.
Kwa msanii hapo anamshusha brand angalau kidogo angekuwa msanii wa maigizo na si mwanamuziki.Mimi mbona naona ni kitu kizuri?
Jamaa ni mpishi lakini anatimiza ndoto yake ya kuimba, huku akiendelea na majukumu yake ya upishi.
Anastahili pongezi na support.
π€£π€£π€£π€£π€£Shish music food gang shilole ndie msanii wa kwanza tz kupika dengu mgahawan kwake
Shilole akili zake waluwalu, halafu sijui kwa nini aliacha kuigiza maana alikuwa muigizaji mzuri huku kwenye muziki alikuwa anafosi tu.Kwanini ameita Shishi Gang? Gang jina baya
HIVI kuna sehemu walisema emoj NI kwa matumizi ya watoto WA kike ?Punguza emoji mtoto wa kiume
π€£π€£π€£πKwa Vichekesho Hivi Zaidi Dial *150#
Vinafanana emoji nyingi zinaashiria ni mtu smoothHIVI kuna sehemu walisema emoj NI kwa matumizi ya watoto WA kike ?
π€Vinafanana emoji nyingi zinaashiria ni mtu smooth
Hiyo NI kwa mujibu wako au waandaa emojVinafanana emoji nyingi zinaashiria ni mtu smooth
Ficha upumbavu wakoVinafanana emoji nyingi zinaashiria ni mtu smooth