Maisha yanaenda kasi sana, Eti Shilole naye ana msanii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Maisha yanaenda kasi sana, Eti Shilole naye ana msanii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Maisha yanaenda kasi sana eti shishi baby naye ana msanii 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Msanii wake mwenyewe ni mpishi wake wa shishi food πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sasa cha kuchekechesha ni kwamba eti msanii ataendelea kupika na kutosha vyombo kama kawaida hapo shishi food wakati huo huo atakuwa anaimba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Aliponiacha hoi Sasa eti yeye hatoi Cha gari, wala hampangii nyumba msanii wake hivyo vyote atavipata kupitia mshahara wake wa upishi na kwenye kuimba.

Msanii wake anaitwa Nice TZ , amemsaini kupitia lebo yake ya Shishi gang 🀣🀣🀣🀣na amemtambulisha rasmi usiku wa Leo.



View attachment 2850225
Yote kwa yote nampongeza Shishi beibeeee kwa uthubutu, japo wabongo wanasema eti jamaa atachukua nafasi ya Rommy soon πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila Shishi bhana ....
Ndiyo maana bongo fleva imepoteza mvuto siku hizi, wanapitwa hata na wasanii wa singeli
 
Mimi mbona naona ni kitu kizuri?

Jamaa ni mpishi lakini anatimiza ndoto yake ya kuimba, huku akiendelea na majukumu yake ya upishi.
Anastahili pongezi na support.
Kwa msanii hapo anamshusha brand angalau kidogo angekuwa msanii wa maigizo na si mwanamuziki.

Watu wanamlipa msanii kulingana na brand yake ikoje mf DVoice wa Leo thamani yake si sawa na DVoice aliyekuwa nje ya WCB.
 
Back
Top Bottom