Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
IgnoreHivi ni kwanini redio zisiwe na vipindi virefu vya kuchambua kilimo ambayo ni sekta mama ya uchumi, badala ya michezo ambayo inapoteza muda mwingi bila tija?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IgnoreHivi ni kwanini redio zisiwe na vipindi virefu vya kuchambua kilimo ambayo ni sekta mama ya uchumi, badala ya michezo ambayo inapoteza muda mwingi bila tija?
Wamebaki na kampeni zao za kwenda mawinguni sijui tumekuverfySikuhizi wamebaki kupiga ramli tu
Nasikia eti biashara ni kuuuza wanachohitaji Wateja sio unachodhani wewe kwamba ni cha muhimu kwao[emoji3]Hivi ni kwanini redio zisiwe na vipindi virefu vya kuchambua kilimo ambayo ni sekta mama ya uchumi, badala ya michezo ambayo inapoteza muda mwingi bila tija?
radio itabiri mvua badala ya kutabiri mechi ambayo ni ajira ya vijana?Hivi ni kwanini redio zisiwe na vipindi virefu vya kuchambua kilimo ambayo ni sekta mama ya uchumi, badala ya michezo ambayo inapoteza muda mwingi bila tija?
Vipindi hivo vipi Sibuka Fm mbona husikilizi.Hivi ni kwanini redio zisiwe na vipindi virefu vya kuchambua kilimo ambayo ni sekta mama ya uchumi, badala ya michezo ambayo inapoteza muda mwingi bila tija?
Hilo ndilo jiburadio itabiri mvua badala ya kutabiri mechi ambayo ni ajira ya vijana?
Ulitaka zikaripotiwe wapi hili ndio tatizo la kuvamia spoti kwa dhumuni la mikeka tu!Kwa kweli Wasafi na EFM wameleta mapinduzi makubwa sana kwenye vipindi vya michezo kuanzia kwenye kuhabarisha na kuchambua.
Yaani ukikaa juu sana jua unakaribia kudondoka hii nimeiona Kwa hawa CMG, kwanza siyo kila habari ni ya kuhabarisha yani leo hii clouds mnaanza ku report sijui league na uchaguzi wa viongozi wa mikoa kama katavi halafu mnategemea nisi switch efm na wasafi kwenye habari zinazo make headline na uchambuzi wa kiufundi.
Kwaherini mawinguni nimehamia EFM na Wasafi
Kupanga ni kuchagua. Nikisikia kipindi cha michezo huwa ninabadili stesheni.Nasikia eti biashara ni kuuuza wanachohitaji Wateja sio unachodhani wewe kwamba ni cha muhimu kwao[emoji3]
Ndio ujue kwamba tuna kizazi kibovu sana mkuu. Hii ni dalili mojawapo!Kupanga ni kuchagua. Nikisikia kipindi cha michezo huwa ninabadili stesheni.
Huwa ninapenda mada zenye mantiki kwangu na siyo kipindi cha masaa matatu mfululizo.
Zamani michezo ilikuw inapewa muda kati ya dakika 15-45 tu. Yaani unapashwa headline basi.
Fikra za watu hadi wamama zimejaa michezo sana kuliko mambo ya msingiNdio ujue kwamba tuna kizazi kibovu sana mkuu. Hii ni dalili mojawapo!
Hivi ni kwanini redio zisiwe na vipindi virefu vya kuchambua kilimo ambayo ni sekta mama ya uchumi, badala ya michezo ambayo inapoteza muda mwingi bila tija?
Kuna mmoja hapa anasema yeye anahitaji sare tu ili afuzu; yaani hadi timu anahisi ameimiliki hadi kuwa ya kwakeHii nchi siku nzima ni uchambuzi tu. Asubuhi uchambuzi, mchana uchambuzi, usiku uchambuzi vijana wamejaza ujinga vichwani.
Unaweza kuwa, juu, na, ukaendelea, kuwa juu zaidi, Vodacom haijawahi kushuka kwa viwango, shabiby bus service inazidi kupanda juu, wapo wengine, ABC, Saul nk, lakini shabiby bado wapo juu,Kwa kweli Wasafi na EFM wameleta mapinduzi makubwa sana kwenye vipindi vya michezo kuanzia kwenye kuhabarisha na kuchambua.
Yaani ukikaa juu sana jua unakaribia kudondoka hii nimeiona Kwa hawa CMG, kwanza siyo kila habari ni ya kuhabarisha yani leo hii clouds mnaanza ku report sijui league na uchaguzi wa viongozi wa mikoa kama katavi halafu mnategemea nisi switch efm na wasafi kwenye habari zinazo make headline na uchambuzi wa kiufundi.
Kwaherini mawinguni nimehamia EFM na Wasafi
Kiemba yupo AzamHakikaa na ndio aliyebaki pale na nazan anausoma mchezo muda c muda atasepa zake Kutafuta maslai zaidii..
Mbona humu uchambuzi wa kilimo umedorora ? Watanzania wa kwenye redio/tv ni yofauti na wa himu JF ?Hivi ni kwanini redio zisiwe na vipindi virefu vya kuchambua kilimo ambayo ni sekta mama ya uchumi, badala ya michezo ambayo inapoteza muda mwingi bila tija?
Anachambuaga azam cku za mechii na clous napo piaa yupo ..Kiemba yupo Azam