Maisha yanakuhitaji umiliki vitu vitatu tu

Maisha yanakuhitaji umiliki vitu vitatu tu

Maisha yanahitaji umiliki vitu vitatu tu:-​
  • Makazi -nyumba ya kuishi​
  • Usafiri- wa kukutoa sehemu moja kwenda kwingine​
  • Biashara- kitu cha kukuingizia kipato, iwe majengo, usafirishaji n.k​
Na wengi wanapambana kuajiriwa, kutafuta nafasi n.k ili tu kuweza kufanikisha hayo mambo makuu matatu.

Ukiyatafuta mengine zaidi ya hayo, ni kuuchosha mwili kwa vitu visivyokuwa na msingi; kwa sababu hata upambane vipi, hutokuja kumiliki 'private jet' wala 'train' kwa mazingira uliyopo.

Wengi mtatofautiana kwa ukubwa katika hayo maeneo matatu, lakini haitaathiri hivyo vitu vitatu.

Kwa hiyo kama umeshakamilisha hivyo vitu vitatu, unatakiwa utembee kifua mbele na usiangaike na mengineyo yatakayokuletea presha na kufa mapema.

Njooni kwa mjadala.​
Walisema zamani:Chakula,Mavazi na Malazi,Tokes happo sogelea"Man's law'
 
Ni mambo matatu.

1-Pesa

2-Mke.

3-Watoto
Namba moja itapatikana wapi? Mke na watoto hawa wote ni 'liability' baada ya kuyatimiza yale yote mambo matatu, ila unaweza pia kurukia kwenye hizi 'liabilities' kabla ya kufanikisha yale matatu pia.​
 
Kupanga ni kuchagua iyo ni mipango na machaguzi yako wacha kupangie wengne
Af pia ndg akunaga anaejua fomula ya maisha na kla mtu anafomula yake ya kutafta maisha na kuishi

Ivyo ni vipaumbele vyako ktk maisha yako wacha kutoa sili za maisha yako
 
Kupanga ni kuchagua iyo ni mipango na machaguzi yako wacha kupangie wengne
Af pia ndg akunaga anaejua fomula ya maisha na kla mtu anafomula yake ya kutafta maisha na kuishi

Ivyo ni vipaumbele vyako ktk maisha yako wacha kutoa sili za maisha yako
Hakuna jipya katika hii dunia, vitabu tunavyosoma ni mawazo ya walio tutangulia; ni muhimu kupeana abc na panapohitaji criticism una criticise.​
 
Kwa nchi masikini kama Tanzania ni sawa ila kwa mataifa yaliyoendelea suala la nyumba au makazi ni tata.

Si rahisi kumiliki nyumba nchi zilizoendelea, nyumba wanazojenga wabongo huku kule hauigusi gharama ya ujenzi. Ni wachache sana wanaomiliki nyumba zao binafsi lakini wanaomiliki magari ni wengi.
 
Maisha yanahitaji umiliki vitu vitatu tu:-​
  • Makazi -nyumba ya kuishi​
  • Usafiri- wa kukutoa sehemu moja kwenda kwingine​
  • Biashara- kitu cha kukuingizia kipato, iwe majengo, usafirishaji n.k​
Na wengi wanapambana kuajiriwa, kutafuta nafasi n.k ili tu kuweza kufanikisha hayo mambo makuu matatu.

Ukiyatafuta mengine zaidi ya hayo, ni kuuchosha mwili kwa vitu visivyokuwa na msingi; kwa sababu hata upambane vipi, hutokuja kumiliki 'private jet' wala 'train' kwa mazingira uliyopo.

Wengi mtatofautiana kwa ukubwa katika hayo maeneo matatu, lakini haitaathiri hivyo vitu vitatu.

Kwa hiyo kama umeshakamilisha hivyo vitu vitatu, unatakiwa utembee kifua mbele na usiangaike na mengineyo yatakayokuletea presha na kufa mapema.

Njooni kwa mjadala.​
Miliki pesa nyingi na dem mkali lkn tu asiwe mchaga😂😂😂😂
 
Maisha yanahitaji umiliki vitu vitatu tu:-​
  • Makazi -nyumba ya kuishi​
  • Usafiri- wa kukutoa sehemu moja kwenda kwingine​
  • Biashara- kitu cha kukuingizia kipato, iwe majengo, usafirishaji n.k​
Na wengi wanapambana kuajiriwa, kutafuta nafasi n.k ili tu kuweza kufanikisha hayo mambo makuu matatu.

Ukiyatafuta mengine zaidi ya hayo, ni kuuchosha mwili kwa vitu visivyokuwa na msingi; kwa sababu hata upambane vipi, hutokuja kumiliki 'private jet' wala 'train' kwa mazingira uliyopo.

Wengi mtatofautiana kwa ukubwa katika hayo maeneo matatu, lakini haitaathiri hivyo vitu vitatu.

Kwa hiyo kama umeshakamilisha hivyo vitu vitatu, unatakiwa utembee kifua mbele na usiangaike na mengineyo yatakayokuletea presha na kufa mapema.

Njooni kwa mjadala.​
Cha muhimu hapo ni kimoja tuu, biashara
 
Kwa nchi masikini kama Tanzania ni sawa ila kwa mataifa yaliyoendelea suala la nyumba au makazi ni tata.

Si rahisi kumiliki nyumba nchi zilizoendelea, nyumba wanazojenga wabongo huku kule hauigusi gharama ya ujenzi. Ni wachache sana wanaomiliki nyumba zao binafsi lakini wanaomiliki magari ni wengi.
Kuna Engineer mmoja wa kigeni alisema, ingekuwa huku ndio kwao, asingeajiriwa bali angejikita kwenye ufugaji na kilimo tu, akimaanisha bado kuna maeneo ya kutosha.
 
Sasa hapo si unge'summarize kwa kutaja;
Chanzo Cha Pesa (Biashara, kilimo, Ajira). Katika hiyo/hayo tunaweza kujenga Nyumba nzuri (Makazi) tunaweza kufanikisha gharama za Harusi na kupata Mke, lakini pia tunaweza kupata huduma au Mahitaji ya kijamii.
 
Sasa hapo si unge'summarize kwa kutaja;
Chanzo Cha Pesa (Biashara, kilimo, Ajira). Katika hiyo/hayo tunaweza kujenga Nyumba nzuri (Makazi) tunaweza kufanikisha gharama za Harusi na kupata Mke, lakini pia tunaweza kupata huduma au Mahitaji ya kijamii.
Ajira inaweza kuwa chanzo cha kufanikisha hayo mambo matatu, lakini sio ya kufikiria kwa muda mrefu,sababu ajira ina mwisho.
 
Asante kutukumbusha ya msingi. Safi.

Tupambane kupata ya msingi, yakipatikana basi hayo ya sekondari tunayaendwa mdogomdogo bila presha.

Isitokee mtu 'akapambana' kupata ya sekondari. Ni kukosa shukrani tu.

Halafu mnaotafuta pesa, ni wazo vague sana. Utaulizwa unatafuta sh ngapi ushindwe kujibu. Ukisema pesa mingi, pesa mingi wich!?? Pesa haina absolute scale ni always relative.

Bora anayetafuta gari au nyumba, at least ana lengo linalopimika.
 
Back
Top Bottom