Maisha yanakuhitaji umiliki vitu vitatu tu

Maisha yanakuhitaji umiliki vitu vitatu tu

Asante kutukumbusha ya msingi. Safi.

Tupambane kupata ya msingi, yakipatikana basi hayo ya sekondari tunayaendwa mdogomdogo bila presha.

Isitokee mtu 'akapambana' kupata ya sekondari. Ni kukosa shukrani tu.

Halafu mnaotafuta pesa, ni wazo vague sana. Utaulizwa unatafuta sh ngapi ushindwe kujibu. Ukisema pesa mingi, pesa mingi wich!?? Pesa haina absolute scale ni always relative.

Bora anayetafuta gari au nyumba, at least ana lengo linalopimika.
Muhimu kuwa na kipimo tu; utakuta mtu ana kiasi fulani cha fedha cha kumuwezesha kila wkend kutembelea mbuga za wanyama, lakini anashindwa kwenda, anakwambia bado anatafuta hela; Je anataka kununua helicopter?​
 
Mi naamini binadamu aliumbwa na Mungu, na wanyama wote na ndege waliumbwa na Mungu pia,
So Mungu hakuumba yai aliumba kuku then kuku akataga yai
Ko kuku ndo alianza
Kuamini kitu ambacho hakina uthibitisho wa kisayansi; hapo ndipo uwezo wa binadamu umefikia mwisho kufikiri; kuamini haimaanishi ni ukweli.
 
Kuamini kitu ambacho hakina uthibitisho wa kisayansi; hapo ndipo uwezo wa binadamu umefikia mwisho kufikiri; kuamini haimaanishi ni ukweli.
Basi we amini unachoamini, namimi niamini ninacho amini...

Au unasemaje comrade[emoji16][emoji16]
 
Maisha yanahitaji umiliki vitu vitatu tu:-​
  • Makazi -nyumba ya kuishi​
  • Usafiri- wa kukutoa sehemu moja kwenda kwingine​
  • Biashara- kitu cha kukuingizia kipato, iwe majengo, usafirishaji n.k​
Na wengi wanapambana kuajiriwa, kutafuta nafasi n.k ili tu kuweza kufanikisha hayo mambo makuu matatu.

Ukiyatafuta mengine zaidi ya hayo, ni kuuchosha mwili kwa vitu visivyokuwa na msingi; kwa sababu hata upambane vipi, hutokuja kumiliki 'private jet' wala 'train' kwa mazingira uliyopo.

Wengi mtatofautiana kwa ukubwa katika hayo maeneo matatu, lakini haitaathiri hivyo vitu vitatu.

Kwa hiyo kama umeshakamilisha hivyo vitu vitatu, unatakiwa utembee kifua mbele na usiangaike na mengineyo yatakayokuletea presha na kufa mapema.

Njooni kwa mjadala.​
Vyote umepatia ila kimoja cha nne umesahau nacho ni Kupata mke mwenye bikra yake mbichi (OG)
IMG_20230523_045525.jpg
 
Back
Top Bottom