Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #41
Asante kutukumbusha ya msingi. Safi.
Tupambane kupata ya msingi, yakipatikana basi hayo ya sekondari tunayaendwa mdogomdogo bila presha.
Isitokee mtu 'akapambana' kupata ya sekondari. Ni kukosa shukrani tu.
Halafu mnaotafuta pesa, ni wazo vague sana. Utaulizwa unatafuta sh ngapi ushindwe kujibu. Ukisema pesa mingi, pesa mingi wich!?? Pesa haina absolute scale ni always relative.
Bora anayetafuta gari au nyumba, at least ana lengo linalopimika.
Na bila kuwa na pesa huwezi fanikisha hicho Cha tatu[emoji16][emoji16]Ukifanikisha cha tatu, kitakupatia hela
Ni sawa na yai na kuku; kipi kilianza?Na bila kuwa na pesa huwezi fanikisha hicho Cha tatu[emoji16][emoji16]
Hili liko wazi alianza kuku,Ni sawa na yai na kuku; kipi kilianza?
Kuku alitoka wapi?Hili liko wazi alianza kuku,
Let me answer you in question way[emoji16]Kuku alitoka wapi?
Unaamini vitabu vinavyosema, binadamu alikuwa sokwe?Let me answer you in question way[emoji16]
Kwani Kati ya binadamu na mimba kipi kilianza[emoji16]??
Mi naamini binadamu aliumbwa na Mungu, na wanyama wote na ndege waliumbwa na Mungu pia,Unaamini vitabu vinavyosema, binadamu alikuwa sokwe?
Kuamini kitu ambacho hakina uthibitisho wa kisayansi; hapo ndipo uwezo wa binadamu umefikia mwisho kufikiri; kuamini haimaanishi ni ukweli.Mi naamini binadamu aliumbwa na Mungu, na wanyama wote na ndege waliumbwa na Mungu pia,
So Mungu hakuumba yai aliumba kuku then kuku akataga yai
Ko kuku ndo alianza
Basi we amini unachoamini, namimi niamini ninacho amini...Kuamini kitu ambacho hakina uthibitisho wa kisayansi; hapo ndipo uwezo wa binadamu umefikia mwisho kufikiri; kuamini haimaanishi ni ukweli.
Vyote umepatia ila kimoja cha nne umesahau nacho ni Kupata mke mwenye bikra yake mbichi (OG)Maisha yanahitaji umiliki vitu vitatu tu:-
Makazi -nyumba ya kuishi Usafiri- wa kukutoa sehemu moja kwenda kwingine Biashara- kitu cha kukuingizia kipato, iwe majengo, usafirishaji n.kNa wengi wanapambana kuajiriwa, kutafuta nafasi n.k ili tu kuweza kufanikisha hayo mambo makuu matatu.
Ukiyatafuta mengine zaidi ya hayo, ni kuuchosha mwili kwa vitu visivyokuwa na msingi; kwa sababu hata upambane vipi, hutokuja kumiliki 'private jet' wala 'train' kwa mazingira uliyopo.
Wengi mtatofautiana kwa ukubwa katika hayo maeneo matatu, lakini haitaathiri hivyo vitu vitatu.
Kwa hiyo kama umeshakamilisha hivyo vitu vitatu, unatakiwa utembee kifua mbele na usiangaike na mengineyo yatakayokuletea presha na kufa mapema.
Njooni kwa mjadala.
Mke mwenye bikraNi mambo matatu.
1-Pesa
2-Mke.
3-Watoto