Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Usijemfundisha kushanduaNjoo kwangu nikulee, uwe.kiben10 wangu.
Serious!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijemfundisha kushanduaNjoo kwangu nikulee, uwe.kiben10 wangu.
Serious!!!
Too young to give up..kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
Ila Inauma sana kama yupo seriousNjoo kwangu nikulee, uwe.kiben10 wangu.
Serious!!!
Nyoosha maelezoDuuuuh umenishika kooni?
Dah, kauli ya nguvu kutoka kwa mshangazi wa nguvu! Mawazo yanaumba! Ukijinenea mazuri lazima yakufuate! Hata hekaya za kiyahudi na kiarabu zinasema Mungu wao alitumia neno!Our brains need healthy food
Law of attraction......Dah, kauli ya nguvu kutoka kwa mshangazi wa nguvu! Mawazo yanaumba! Ukijinenea mazuri lazima yakufuate! Hata hekaya za kiyahudi na kiarabu zinasema Mungu wao alitumia neno!
Nakupenda sana mtu wangu wa faida, hayo maelezo hayajapinda yamenyookaNyoosha maelezo
Kuna Manzi nilimnenea mabaya vibaya sana cha kishangaza ndio kayazidisha mahaba au vice versa is true?Law of attraction......
Kabisa ukijinenea mazuri yanakufuata na vice versa pia.
Nimekuelewa sana Mkuu Wapi hio Ngosha Bariadi?Mbona sisi hatuchoki
View attachment 3045576
Aisee nina hamu kweli ya kumpenda mtu yaani ile kicrazy kabisaaaa....tatizo simpatiNakupenda sana mtu wangu wa faida, hayo maelezo hayajapinda yamenyooka
Sasa huyo amekufikia tatizo umejifungia ndani umefunga milango umefunga madirisha huyo mtu yupo nje anapisha hodi funguaAisee nina hamu kweli ya kumpenda mtu yaani ile kicrazy kabisaaaa....tatizo simpati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa nyie msio washanduajii si mumpe msaada autakao.Usijemfundisha kushandua
Acha wenge kijanaYaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
Km yupo serious aje kwangu, nimlee had mambo yake yakikaa sawa anajisepeaa anakotakaa.Ila Inauma sana kama yupo serious
Sio rahisi kihivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa nyie msio washanduajii si mumpe msaada autakao.
yeye aje kwangu apate hitaji lakee, woiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]