Maisha yananikatisha tamaa sana

Maisha yananikatisha tamaa sana

Na Ndio lengo la Maisha Kwa walio wengi Kukukatisha Tamaa,,na ndio maana waliofanikiwa ni wachache,,shukuru Kwa Machache Uliyobarikiwa kuna mwingine hiyo afya na nguvu ya kuandika Mitandaoni anaitafuta Kwa tochi Kwa maumivu makali na mateso ya ugonjwa na Unaweza kuta ni mwema mnoo kuliko wewe,,Ulimwengu una adhabu zake kwa kila kilichomo ndani Yake kila mmoja kwa nafasi ma wakati wake,, itakuchapa tuu ni wewe kuamua ikupe adhabu za mara kwa mara kama mwanafunzi mtukutu wa Ulimwengu,,au kuwa na Nidhamu kama mwanafunzi mtiifu wa Ulimwengu.###JipiganieMnoo,,Hakuna Mlimwengu,,Walimwengu wa KukupiganiaYanayokuhusuKamwe###
 
Mtoa mada nikiweka ushuhuda hapa utashangaa. Mm niliachaga kaz mwemyew ofis flan hiv nilisafa sio poa... na hapo nlikuwa na 24 tu kariakoo ile yote naijua mitaa. Na shida ya maisha watu hawataki watia huruma. Wewe hata kama shida yako ajira andika hata business proposal kubwa tu tembea nalo ofis z watu.. ukifika huko vimba kana kwamba hata GSM unataka wakutafute wewe waachie na business kadi kabisa

Zungukazunguka kwenye Maofis vimba ile yenyewe. Mam-d wemyewe watulize kwa mbwembwe. Ukikosa yote hata kiajira cha kiidara flani utapata tu kwnye hayo Maofis

Kuna mwanangu aliitumia hii teknik na alipata kikaz cha laki 4 pale mikochen
 
Mbona sisi hatuchoki
FB_IMG_1721242849248.jpg
 
Yaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.

Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.

kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
Acha wenge kijana
 
Back
Top Bottom