Maisha yangu baada ya miaka 37!

Maisha yangu baada ya miaka 37!

Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. awaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Mafanikio ya mwanaume yanakuja kama mwanamke alonae ana akili na anaweza kuyabeba matatizo tofauti na hivyo hauna mke una kiburudisho tu
 
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Mkuu issue kubwa hapo ni kodi ya nyumba, hiyo 300k ni kubwa tafuta nyumba ya 100k afu 200k anza kusave utanishukuru baadaye
 
Hapa hamna mtu! Kwa maelezo yako unaonekana ni mtu usie jielewa! Ushauri wangu wa kwanza, TAFUTA KUJIELEWA KWANZA
Kwa ufupi wewe ni ZUMBUKUKU kuna watu mtaani hata hiyo million hawapati kwa mwezi na wanaishi vzr kuliko ww
 
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.

Watoto 4. Mke hana kazi, Nina kunywa pombe Mara kwa Mara, mshahara 1.3, Nina mkopo, he he he

Usitafute mchawi, maelezo yako Yana majibu, labda niulize, huna nyumba, huna Gari, kodi laki 3, huo mkopo ulifanyania nini?
 
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Njoo upitie [emoji1484] utakuja kunishukuru mkuu

 
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Pole sana mkuu ila njia yako haina tofauti sana na yangu. Ili nikushauri naanza kujielezea mm kwanza.

Nimeanza kaz X 2018 kwa mshahara wa 1.8m haina makato na ikafika had 5.4m

Mshahara wote huo nilikua naona hautoshi kuanza maisha.

Siku moja nilienda mkoani nikaona walimu wa shule za msingi wana nyumba na pikpk wakati huo mm sina hata baiskel (hii kitu iliniuma sana)

Nikaamua kufanya maamuzi magumu nikanunua gari japo nilikua sina uhitaji wa gari ila nilitaka linichangamshe akili kidgo

Baada ya hapo nikaingia kwenye viwanja japo sina uhitaji wa kujenga pia.

Nikaamua kujiingiza kwenye majukumu yatakayonifanya niache kutumia hela vibaya (hapa nilifanikiwa sana, asikwambie mtu kumsaidia mtu especially ndugu na akasema asante hiyo kitu inaleta baraka sana).

Mwisho nikajikuta siipendi pombe kwasababu ya majukumu niliyojiwekea.

Narudi kwako sasa, unaonekana humuamini mkeo na wewe ni aina ya watu wa changu ni changu mtu asinipangie namna ya kutumia hela yangu.

Tenga pesa ya kumuachia mkeo yaani usiwe na shida ya chakula hapo nyumbani halafu inayobaki anza kununua assets (najua unaogopa atarithi mkeo kwa njia ya kitonga ila fanya hivyo kwaajili ya wanao)

Kuacha pombe ni ngumu sana ni sawa na kuanzisha kikundi cha waasi wakati hauna jeshi la kutosha.

Punguza marafiki hata ukienda bar nenda na hela inayokutosha ww tu usiweke mambo ya emergency kwenye pombe, pombe italamba emergency yote.
 
Unahitaji maombi...ila najua watoto nao Kuna gharama zake ila ningetegemea fasta fasta hapo ungekuwa na kiwanja na kigari kwa mbali..
 
Mkosi ni akili yako tu kaka.

Fanya mambo kadhaa muhimu:

1.Kaa na mkeo na mpange budget ya matumizi ya fedha mnayopata…kwenye mshahara wako jitahidi uwe unaweka 10% kama dharura na 5% iwe budget yako ya gambe na matumizi yako binafsi (jipende).

2.Tenga kiasi cha akiba kila mwezi kwa ajili ya kufungua kitega uchumi kingine; anza na wife mwambia anaweza kujishughulisha na nini. Weka malengo ya akiba kiasi gani ya kuweka na kwa muda gani mpaka wife awe na bishara.

3.Wakati unaweka akiba kwa ajili ya biashara ya wife, fanya utafiti wa kina kuhusu hiyo biashara kumbuka kuwa tuna fedha kichele hivyo ni vyema tusiipoteze kwa kutokuwa na uelewa na tunachokifanya.

3.Punguza matumizi yasiyo ya lazima; birtdhay za kifahari, michango isiyo ya lazima, pombe n.k punguza.

4.Wakumbuke wazazi na kuwatunza: Baraka zao zitakufungua sana hutaamini.

5.Usijilinganishe na wengine. Kujilinganisha kutakufanya ukate tamaa na kuona umechelewa.

6.Jitahidi utumie uzazi wa mpango, watoto uliobarikiwa wanatosha.

7.Hakikisha familia nzima mna bima ya afya, gharama za matibabu huwa zinarudisha watu nyuma sana.


Kila la Kheri
Mkuu hii shule ya bei nyingi sana umetupa bure, asante sana
 
Shida inaanzia hapo kwenye 300k za kupanga...

Kingine ni mkopo huo wa miaka 5...

Anza na hayo 2 utaona mabadiliko...
Asante kwa ushauri. Kodi naweza kurekebisha ila mkopo ndo mpaka uishe.
 
Huna mkosi wowote, mchawi hapo ninahisi ni hiyo namba nane hapo. Pombe, Pombe, Pombe, Pombe....

Acha pombe ndugu yangu, baada ya miaka mitatu tu, utakuja hapa kunishukuru.
.
mkuu issue kubwa hapo ni kodi y nyumba hy 300k ni kubwa tafuta nyumba ya 100k afu 200k anza kusave utanishukuru baadaye
Asante.
 
Back
Top Bottom