Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

Ilikuaje mkuu? Ilikua lini
Kuna mtu aliuliwa kama sikosei. Sasa kuna kijana fulan ana tatizo la akili akaenda choma kwa maaskari kikawaka mno. Pakafungwa. Ukizingatia mama mwenyewe mmiliki alishafariki basi ndo ikakaa muda wakaja fungua. Wamepaboresha sana ila wale wadada poa siku hizi hakuna sana. Mlambai ndo danguro siku hizi. Ila mabaamedi wote almost wanajiuzaga hapo manzese. Yaan unakuta mabinti ni wazuri mno ila jamani acheni. Yaan hata kaunta akapata upenyo tu anazama room chaap. Yaan unaona kabisa biashara yako inapata mikosi ila utafukuza kila siku? Unavumilia maumivu tu
 
Kuna mtu alikufa sijui ni katika uvomvi. Ngoja weekend nikirudi town nitapata taarifa full. Ila david ndo aliwachoma. Anafabyaga mishe za ujenzi. Ama kama we ni mdau ukienda utapata data tu
David aliwachomaje tena? Means uyo mtu alipokufa, ilikua top secret waka mtoa mule ila uyo Dave akafanya usamaria
 
David aliwachomaje tena? Means uyo mtu alipokufa, ilikua top secret waka mtoa mule ila uyo Dave akafanya usamaria
Si kikishawaka kichwani kuna nn tena. Ngoja tu nikifika. Nitakupa update full. Ila lambo ilikua enzi hizo mama mage hajafa maskini. .
 
Kmmk[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe ni mzinzi incharge manyota. Mtaa wa mrina hapo. Next to sumi hotel iliyoko opp. Na erado hotel. Wajonga sana nyie[emoji23][emoji23]
You sound like a keeper. I like ur energy. Izo ranks ulizonipa mbona nahisi bado nitakua ni mdogo shaaaana kwako. Basi kama umenipa all those stars and decorations ofukouriseee wewe ni c in c!
 
You sound like a keeper. I like ur energy. Izo ranks ulizonipa mbona nahisi bado nitakua ni mdogo shaaaana kwako. Basi kama umenipa all those stars and decorations ofukouriseee wewe ni c in c!
Hahaha oyaaa, endelea kununua mwanangu. Me sigawi wala kuuza. Ila kwa sasa ndoa ni ngumu sana. Yaan mabinti ni wazuri mno ila ukiambiwa wanauza hutaamini
 
Me sigawi wala kuuza. Ila kwa sasa ndoa ni ngumu sana.
Come on darling i dont bite. you of all people shoulda not rush to ideas.

Kwani what so baaad kuuza au kugawa even jesus were entertained by a prostitute.. thus far wauzaji hawana baya and have a place in his kingdom just like those who play "not selling" card while actual they are the real monster
 
Back
Top Bottom