Maisha yangu ya zamani nilikuwa kiboko sana. True story of my life teenagers

Maisha yangu ya zamani nilikuwa kiboko sana. True story of my life teenagers

maddox

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
2,086
Reaction score
4,669
Niaje niaje.

Hii inagusa story muhimu kwenye maisha yangu halisi ingawa sitaingia ndani sana lakini nitagusa kidogo na code zitakuwa mubashara.

Picha linaanza niko chuo x ndio kwanza nimefika baada ya kujoin niko zangu reception nakutana na madam suzzy......naam tumpe jina la suzzy ndio nilimuangalia sana mpaka akajihisi tofauti.

So baada ya muda kidogo nikama alikuwa na wasi wasi hivi akaniuliza , samahani maddox naweza kukusaidia maana ni kama kuna kitu unapata nacho shida hivi ki ukweli hata sikuwa na jibu maana nilikuwa tu nimevurugwa huko board sasa nikawa kama siko sawa kidogo.

So akanipa ka ushauri fulani hivi na ikabidi nijiongeze kuomba bizness card maana nilihisi kama na yeye kuna kitu tu alikuwa anahisi kutoka kwangu. To cut the story.

Siku hiyo sikumtafuta hata maana nilikutana na pisi moja nikachukua namba nikasepa ghetto........nilikuwa nimechukua ghetto mitaa fulani ya mabibo uswahilini lakini palikuwa pako poa.

Jamani tutasameheana maana natumia simu kuandika ..........kwahiyo makosa ya uhandishi ni kawaida
 
hata sasa kutachangamka muda si mrefu
 
Niaje niaje.

Hii inagusa story muhimu kwenye maisha yangu halisi ingawa sitaingia ndani sana lakini nitagusa kidogo na code zitakuwa mubashara.

Picha linaanza niko chuo x ndio kwanza nimefika baada ya kujoin niko zangu reception nakutana na madam suzzy......naam tumpe jina la suzzy ndio nilimuangalia sana mpaka akajihisi tofauti.

So baada ya muda kidogo nikama alikuwa na wasi wasi hivi akaniuliza , samahani maddox naweza kukusaidia maana ni kama kuna kitu unapata nacho shida hivi ki ukweli hata sikuwa na jibu maana nilikuwa tu nimevurugwa huko board sasa nikawa kama siko sawa kidogo.

So akanipa ka ushauri fulani hivi na ikabidi nijiongeze kuomba bizness card maana nilihisi kama na yeye kuna kitu tu alikuwa anahisi kutoka kwangu. To cut the story.

Siku hiyo sikumtafuta hata maana nilikutana na pisi moja nikachukua namba nikasepa ghetto........nilikuwa nimechukua ghetto mitaa fulani ya mabibo uswahilini lakini palikuwa pako poa.

Jamani tutasameheana maana natumia simu kuandika ..........kwahiyo makosa ya uhandishi ni kawaida
Kwa uandishi huu jiandae kupata incomplete yaani course work lazima igome tena ya DS!
 
......tuendelee kwenye swala la kupendeza nilikuwa kiboko sana maana nilikuwa ni mtoto wa mjini na nilikuwa na harakati zangu za kunipa pesa so haikuwa ngumu kukaa fresh na kunukia uturi ninaoutaka.......maana hata marafiki zangu chuo walikuwa tu wanauliza mwamba hii kitu ni ile ambayo iko kwenye ile brand ya sigara ......jibu ni ndio.......yes nilikuwa smart class na hata kwenye life style pia nilikuwa smart sana.........sasa kuna siku moja nilikuwa na harakati zangu mitaa ya kinondoni ..........baada ya kumaliza nilipata mgao fulani ambao niliamua kwenda kwa mwanangu mmoja mitaa ya kkoo nikanunua ile perfume ya boss mzee hii kitu sio poa ........nikasema hapa nanunua na zaga zingine za kutumia ghetto mchezo kwishnei..........nilivofika ghetto nilibadirika chap maana nilikuwa na pindi jioni so nikajipiga kiunyunyu changu huyooo mwamba chuo.........ile nafika karibia na mlango wa class .........naisikia sauti ya kama mtu ambaye nilikuwa nimeshawai kumfahamu lakini ni kama alikuwa anaongea na mtu kwenye simu na alikuwa analia lakini sio kwa sauti kubwa...........nikatamani kujua huyo mtu ni nani na kwanini analia ............baada ya kusogea eneo la tukio nakuta ni yule madam suzzy lakini leo alikuwa kabadirika sana ......sio kama ambavyo nilimuona ile siku ya kwanza .........nikampa salam ya mbali na ni kawa nimetulia maana nilikuwa ndio kama naonana naye kwa mara ya pili na nilikuwa sina mazoea naye.............alikata ile simu na kujifuta machozi then kama sekunde 20 akanipa Salam pia ya kunyosha mkono bila kuongea.........basi sikuwa na jipya nikazama zangu class sababu nilikuwa sina cha kumwambia japo nilitamani kuongea naye kidogo
 
Back
Top Bottom