airmax
JF-Expert Member
- Oct 14, 2022
- 870
- 965
Yule ayekuwa anafakamia mahindi ya kuchoma barabarani...hivi hajala mishikaki ya "MBWA" kweli?!!!Nilikuwa na kipato Cha kawaida, Ila yule akaharibu kabisa mipango ya maisha yangu.
Kwa vile nipo hai naendelea kupambana