Yule ayekuwa anafakamia mahindi ya kuchoma barabarani...hivi hajala mishikaki ya "MBWA" kweli?!!!Nilikuwa na kipato Cha kawaida, Ila yule akaharibu kabisa mipango ya maisha yangu.
Kwa vile nipo hai naendelea kupambana
Siyo kweli, jamaa aliua kila kitu na kuharibu nchi, pata picha kama Mungu asingesikia kilio cha WatanzaniaWezi wauza ngada na matapeli wote maisha yenu yaliharibika wakati wa utawala wa Magufuli,hilo liko wazi kabisa
Wewe mwenyewe jf umeingia juzi tuSio sijui kuandika vizuri, nimeweka cord kidogo, ila Kama upo Jf muda mrefu, utajua yule aliyeenda zake ni Nani.
Jina hili lisikuchanganye, ninao manne humuWewe mwenyewe jf umeingia juzi tu
Hakuna mkongwe jf anauandishi kama wakoJina hili lisikuchanganye, ninao manne humu
Kama kipato chako kilikuwa halali atakuharibiaje? Wengi waliokuwa kwenye kipato cha kusambaza ngada lazima mlalamike. Hata ningekuwa ningeharibu kabisa hicho kipato chako.Nilikuwa na kipato Cha kawaida, Ila yule akaharibu kabisa mipango ya maisha yangu.
Kwa vile nipo hai naendelea kupambana