Maisha yatakosa maana baada ya miaka 20 tu ijayo

Maisha yatakosa maana baada ya miaka 20 tu ijayo

MUWHWELA

Senior Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
167
Reaction score
238
Nikusalimu Ndugu!!

Kwa kuwa tumepewa UHAI basi wajibu wetu ni kuhakiki wajibu unatimizwa wa Kila mmoja wetu akiwa na huu Mwili, usijipe woga Wala USIOGOPE Kuwa na wazo mbadala.

Maisha ya hapa ulimwenguni yameanza KUKOSA maana Lakini ifikapo 2045 takriban miaka 20 ijayo maisha ya mwanadamu YATAKOSA maana kabisa.

1-Ngono kwa lengo lile kuu la uzazi na kuleta uzao, litakuwa limepoteza maana au halina maana kabisa. Why?

Leo Kuna technology ya IVF na nyingine nyingi ambazo zimeleta mbadala wa kupata uzao, mwanamke anaweza kupata mtoto maabara wa jinsi na RANGI anayotaka yeye, hapa kwetu tumefanya na uzinduzi wake kabisa, ni jambo jema. Lakini kwa future ya utu wa MTU kwa Asili yake inaenda kupotea .

Tumeruhusu wanaume wawili nao wawe na watoto wa maabara as if ni jambo jema, huu ni mwelekeo wa kuangamiza kizazi chenye Asili ya uumbaji, as nature laws speak.

Tuendako MTU akichoka kubembelezana na MTU mwenye HISIA ataenda kujipatia MTU mwenye akili bandia ambaye kwa maana ya uwezo wa akili atakuwa amemzidi mwanadamu huko ndiko tuendako. ...hapafurahishi hata kidogo.

2: ELIMU (education system) "Ukiwa mjinga hutapona ujinga wako kwa kuonewa huruma Bali kuelewa na kutambua vitu vinafanyikaje"

20yrs to come kwa Elimu hii inayotolewa na mifumo yetu itakuwa useless kwa zaidi ya 50%. Speed ya KUKUA kwa technology kunawatisha hata nchi tajiri Duniani. Je sisi tumeianza safari ya 2045?

Nafahamu ni ngumu kubadilisha mifumo kwa haraka,Lakini ni rahisi sana kubadilisha mifumo hasa unaoumiliki ambao ni familia yako. Change from there our future scare. Ruhuusu mtoto akili yake ifanye kazi, taaluma imeletwa Bali akili amekuja Nayo mwenyewe as gift.

Yapo mengi..tuanzie hapa
 
Akili Mnemba (IA)... Hii ndiyo inaniogopesha sana....

Yaani mambo ni vululuvululu......
 
Nikusalimu Ndugu!!

Kwa kuwa tumepewa UHAI basi wajibu wetu ni kuhakiki wajibu unatimizwa wa Kila mmoja wetu akiwa na huu Mwili, usijipe woga Wala USIOGOPE Kuwa na wazo mbadala.

Maisha ya hapa ulimwenguni yameanza KUKOSA maana Lakini ifikapo 2045 takriban miaka 20 ijayo maisha ya mwanadamu YATAKOSA maana kabisa.

1-Ngono kwa lengo lile kuu la uzazi na kuleta uzao, litakuwa limepoteza maana au halina maana kabisa. Why?

Leo Kuna technology ya IVF na nyingine nyingi ambazo zimeleta mbadala wa kupata uzao, mwanamke anaweza kupata mtoto maabara wa jinsi na RANGI anayotaka yeye, hapa kwetu tumefanya na uzinduzi wake kabisa, ni jambo jema. Lakini kwa future ya utu wa MTU kwa Asili yake inaenda kupotea .

Tumeruhusu wanaume wawili nao wawe na watoto wa maabara as if ni jambo jema, huu ni mwelekeo wa kuangamiza kizazi chenye Asili ya uumbaji, as nature laws speak.

Tuendako MTU akichoka kubembelezana na MTU mwenye HISIA ataenda kujipatia MTU mwenye akili bandia ambaye kwa maana ya uwezo wa akili atakuwa amemzidi mwanadamu huko ndiko tuendako. ...hapafurahishi hata kidogo.

2: ELIMU (education system) "Ukiwa mjinga hutapona ujinga wako kwa kuonewa huruma Bali kuelewa na kutambua vitu vinafanyikaje"

20yrs to come kwa Elimu hii inayotolewa na mifumo yetu itakuwa useless kwa zaidi ya 50%. Speed ya KUKUA kwa technology kunawatisha hata nchi tajiri Duniani. Je sisi tumeianza safari ya 2045?

Nafahamu ni ngumu kubadilisha mifumo kwa haraka,Lakini ni rahisi sana kubadilisha mifumo hasa unaoumiliki ambao ni familia yako. Change from there our future scare. Ruhuusu mtoto akili yake ifanye kazi, taaluma imeletwa Bali akili amekuja Nayo mwenyewe as gift.

Yapo mengi..tuanzie hapa
Sasa jidanganye usiyachukulie maisha serious,, hiyo miaka itaisha na Dunia itabaki kama ilivyo

Kama unasoma soma, ngono ipo na itaendelea kuwepo usitishwe na yanayaibuliwa
 
Jmaa una akili sana ...Bora hata zamani kwa sasa hata umaskini umekuwa mkubwa sana ...ukiachana na wimbi la vijana wa hovyo , watu wamekuwa na roho mbaya utu hakuna kabisa .
Kuna mtego tumetegwa wote, Viongozi na raia...panawekezwa mjini Ili vijana wakimbie vijiji wao waende wakajipatie maeneo huko..trap trap trap......kwa maana ya hovyo hii ni error yenye ujinga wa kutosha kabisa
 
Sasa jidanganye usiyachukulie maisha serious,, hiyo miaka itaisha na Dunia itabaki kama ilivyo

Kama unasoma soma, ngono ipo na itaendelea kuwepo usitishwe na yanayaibuliwa
Numbers don't lie brother....kama tumeshindwa kutatua mauongo ya pharmaceutical industry, religion, education system....Hilo nalo litafika na litamaliza watu kama ilivyo .....(Hela za miijiza) Just kidding 😂
 
Kuna mtego tumetegwa wote, Viongozi na raia...panawekezwa mjini Ili vijana wakimbie vijiji wao waende wakajipatie maeneo huko..trap trap trap......kwa maana ya hovyo hii ni error yenye ujinga wa kutosha kabisa
Umeongea ukweli , ardhi itakuja kuwa ishu sana miaka ya baadae.
 
Kwa kuanzia nafikiri ifikiriwe namna ya kupunguza idadi ya watu kwa 70%!
Dunia haipanuki lakin teknolojia inapunguza kwa kasi ushiriki wa watu kwa idadi ila inahitaji watu kwa ulaji wa bidhaa.
Ardhi ndo mali itakayotutesa sana.
Mwenye akili na uwezo leo ni amiliki ardhi nyingi kadri awezavyo.
 
20yrs to come ya huko ughaibuni labda kidogo na mijini ila sio Tz nzima, maeneo mengi hayataathirika.

Teknolojia ya simu janja imefika muda mrefu sana lakini kuna maeneo huwezi itumia ipasavyo kwa shida kubwa ya mtandao.
Tech ili ikuathiri inabidi ujue kuitumia, kama hujui kama kipo hakiwezi kukudhuru.
 
Ngono ishapoteza maana kitambo....na hii ndiyo imepelekea hata ndoa kupoteza maana.Kitendo Cha mwanamke na mwanaume kutoka nje ya mahusiano kuchukuliwa kawaida.....ndo umaana ulipopotea mazima.
 
Back
Top Bottom