Maisha yatakosa maana baada ya miaka 20 tu ijayo

Maisha yatakosa maana baada ya miaka 20 tu ijayo

Labda kama utamu wa kupizz utakuwa umeondolewa kwenye papuchi. Ila kama bado utakuwepo nafikiri Africa haitaathirika na upuuzi huo.
 
Kumsomesha mtoto shule ya ada million 10 halafu akimaliza anauza matunda ni majanga.
Kupanga ni kuchagua....kama wazazi hatuna taarifa za kutosha hofu imejaa sana mpka tumeshindwa kufanya machaguzi sahihi juu ya baadae ya vizazi vyetu
 
20yrs to come ya huko ughaibuni labda kidogo na mijini ila sio Tz nzima, maeneo mengi hayataathirika.

Teknolojia ya simu janja imefika muda mrefu sana lakini kuna maeneo huwezi itumia ipasavyo kwa shida kubwa ya mtandao.
Tech ili ikuathiri inabidi ujue kuitumia, kama hujui kama kipo hakiwezi kukudhuru.
Bwana Musk nasikia ameshaomba kibali TCRA ku operate starlink kwa Tanzania Mainland, ingawa nasikia nape aliipiga chini kulinda wawekezaji kina Voda na wenzake 😁. Na ukizingatia ni internet ambayo hata vijijini pasipo na miundombinu mizuri ina perform tu
 
Back
Top Bottom