Maisha yatakosa maana baada ya miaka 20 tu ijayo

Labda kama utamu wa kupizz utakuwa umeondolewa kwenye papuchi. Ila kama bado utakuwepo nafikiri Africa haitaathirika na upuuzi huo.
 
Kumsomesha mtoto shule ya ada million 10 halafu akimaliza anauza matunda ni majanga.
Kupanga ni kuchagua....kama wazazi hatuna taarifa za kutosha hofu imejaa sana mpka tumeshindwa kufanya machaguzi sahihi juu ya baadae ya vizazi vyetu
 
Bwana Musk nasikia ameshaomba kibali TCRA ku operate starlink kwa Tanzania Mainland, ingawa nasikia nape aliipiga chini kulinda wawekezaji kina Voda na wenzake 😁. Na ukizingatia ni internet ambayo hata vijijini pasipo na miundombinu mizuri ina perform tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…