Hahaha dogo mama yake Mussa alimnyonyesha ndio na aliishi pale kama ni mfanya kazi wa mtoto tu, lakini nani kamlea na kumpa chakula si mke wa Firauni, yani Musa kalelewa na Firauni sa we unacho bisha nini? Mussa kalelewa nyumba gani kama si ya Firauni sa unacho bisha kipi? Hio ya kujidai kumuita Faraoh nikubadilisha mana yake. Kwanza Firauni si jina lake haswa hilo yeye jina lake ni la utani tu. Jina lake haswa ni Malik Bin Nadras, hilo jina la Firauni alipewa toka zamani. Sababu mama yake alikuwa akimtafuta arudi nyumbani anamkimbia haswa pale kagombana na wenzake. Mana ya Fir ni kakimbia kwa kiarabu na ouni kwa kiarabu hapa. Sa mama yake time akiwa na mtafuta, wale watoto wakawa na sema Firoun yani kisha kimbia hapa. Sa we sijui unaleta hadith za uwongo eti jina lake ni Farouh. Hata hadith na story huijui kwanini alitwa vile. Hebu tupe mana ya Farouh ni lugha gani haswa? Au unataka kusema jina lake Firauni ni Farouh hahaha.
Kuhusu Mtume hajaenda shule kwanini Yesu alienda shule? Sa sindio ujiuliza mtu ambaye hajaenda shule, vipi akandika Qur'an kama hio, ambayo Mungu anasema hata mjikusanye dunia nzima hamuwezi kushusha sura ndogo kama INA ATWAINAKYA AL KAUTHAR. Hayo mengine ulio andika naona ni pumba tu, hazina mana yoyote ile, sijui hizo hadith mnasimuliwa na Paulo au na nani, au shetani gani, mana hazi exist kabisa.