Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
we chizi kweli unadhani ukijiita mkristo ndo unakua mkristo moja kwa moja.. kwa taarifa yako anayetambua nani mkristo nani mpambe ni Mungu.
Sio kama dini yenu wachinja watu kama isis na alshababu ni waislamu. kwakuwa wanatawadha na kula uji wa sunna na wa ngama.. watu wa dini nyie .......
Dogo we si mkristo, wakristo wanakunywa sumu na wanashika mijoka, na wakishika mtu ana pona kabisa, nenda kawashike wale wenye magonjwa ya Ebola watapona dogo.
 
Adiosamigo

Haha katika hayo yote ulio sema hakuna hata moja ni ya kweli, isipokuwa hio ya kurogwa,na Mungu kasema mtu hawezi kurogwa bila ya Mungu kutaka? sa ajabu ipi?
Nimesikitishwa sana kuona kuwa unakataa yote na kukubali hili la Mtume Kulogwa peke yake!! Nimesikitishwa kwakuwa unakila dalili za kuendeleza ubishi badala a kujadili kilicho cha kweli. NA wakati mwingine kuweka ushahidi hapa inakuwa kama kuzodoana, ni heri ukakubali kuwa yale niliyoyaweka hapa situngi ya kwangu bali yapo kwenye iman yenu. Wakati haya yote nimeyaainisha hapa nimetoa kwenye Korani na baadhi ya HAdithi.. Anyway...Labda Unikumbushe kwenye Bibilia ni wapi umewahi kuona nabii ama mtume ama mwamuzi Kalogwa kamailivyo kwa Mtume?

KWanza hii ni dalili kuwa husomi Koran wala hadithi. NA kama unasoma umekua ukikatazwa kuona shaka yale yalio ODD kwenye mtazamo wako. Ukidhani unatakiwa uyakubali tu kwakuwa yameandikwa.. Bibilia inasema Mti Mwema hujulikana kwa matunda yake..na Koran inasema Ukiwa na shaka waulize waliopewa kitabu kwanza.. sisemi haya kwa majivuno bali Nakushauri Usiufiche ufunguo wa Maarifa kwakuwa Umefundishwa kutokuona shaka penye shaka!! Afterall wewe ni msomi kuliko Muhammad mwenyewe. angalau unajua kusoma na kuandika kitu ambacho Muhammad hakujaaliwa nacho. If you realy want change you better change on how you think.........word

Mitume wote wamefanyiwa mitahani migumu na Mungu. Na Mungu akitaka iwe vile sababu ana lengo lake. Prophet Ibrahim alipo ambiwa amchinje mwanae, kwa hio yeye ni chinja chinja sio, sababu Mitume wote hawakumbiwa wachinje watoto zao? Mbona Mussa alionyesha elimu ya kuwazidi uchawi watu Firauni. Kwa hio Mussa sio Mtume ni mchawii? Mbona Prophet Ibrahim hakuwajua malaika walipo shuka mpaa kawachinjia ndama, bada ya kuwachinjia ndama ndio akajua wale si binadamu? Sa ajabu iko wapi?
KWanza stori ya Abraham ni complex majibu yako yanahihirisha wewe ni novice kwenye hiki kitengo cha imani..
Jaribu kufahamu mazingira ya Abraham na tamaduni zake naamini utajifunza kitu kipya. Wajudea wenyewe hawaamini hicho mnachoamini cha kuadhimisha hija ya kumsifu allah na abraham kwa kitendo cha kumfukuza shetani aliyejaribu kuokoa maisha ya ishmael. Hivi umewahi kufahamu chochote kuhusu aya za shetani na ninini hasa kimo ndani yake???

Kuhusu Musa hakuna mahali Musa alivaa pete , hirizi wala kutumia majini katika kufanya muujiza ule bali alimtumainia Mungu peke yake ambaye alimruhusu kushika fimbo.. Inashangaza kuona unajaribu kulinganisha visiyolingana. Yani wachawi wanaomtegemea shetani na majini yake na Musa anayemtegemea Mungu. Swali Je kuna andiko lolote linaloonyesha kuwa Mashetani yalivutiwa na torati ya Musa ama amri kumi za mungu alizokujanazo MUSa kama ambavyo mashetani yalivyovutiwa na koran ya Mtume??
JE kuna andiko kwenye Bibilia ama Koran linaloonyesha mashetani yaliipenda Injili ya yesu kama yalivyoipenda korani? Swali kwanini KOran???????????????????????????????????

Mbona nyie mnasema Yesu alitekwa na shetani? Sa kipi bora kurogwa au kutekwa na shetani? Kurogwa unakuwa huna dhambi kabisa, lakini ya kutekwa na shetani, hapo unakuwa ni shetani, sa nyie mungu wenu ni shetani sio:A S wink:
Unashuhudia uongo ama unajaribu kutumia matamshi yakukebehi.HAtusemi Yesu ametekwa na shetani. Jaribu angalau kumpenda YEsu japo kidogo usiwe kama majini na mapepo yanavyomchukia YEsu asiye na dhambi. Nadhani Yesu hakutekwa na shetani, bali Shetani alikuja kumjaribu Yesu akashindwa. Na ufahamu alimjaribu akiwa katika mwili wa kibinadamu tena akiwa na njaa. Mara nyingi njaa inaweza kumbadili mtu misimamo.
hata Adam na Eva walijaribiwa na shetani wakashindwa lakini Yesu akamshinda Shetani. Yesu hakuwa na dhambi alifufua wafu na atakuja kuhukumu ulimwengu. Na hapa kuna hoja ya kitheolojia ya kwanini Yesu anajiita mwana wa Adam. Fikiri tofauti kidogo...

 
Last edited by a moderator:
Laiti Abraham,Musa,Eliya na Mitume wote.!!
Wangekuja leo dunian wangeshangaa kuona mnavyobishana kidini, Mungu hakuleta dini bala dini ililetwa na wanadamu. Chunguzeni njia zenu kwa maana mwenye haki na Moyo safi atamuona Mungu.!!!
Kama we si Muislam sahau kuona pepo ya Mungu.
 
Unajua Kafiri yyt bongo yake Inakuwa contaminated na Uharo wa Nguruwe na inakuwa ni vigumu sana kumuelekeza.Na mara nyingine hufanya vitu akidhani ni vya maana kumbe ni Balaa tupu!
Mfano hai ni yule kafiri wa Msalabani.Jamaa kaamua kujiua eti watu wengine waselebuke tu.
Yaani watu nyie mambulula wa ajabu. Subirini moto wa Jahannam tu.
Alifanywa kafiri kwa ajili yetu... ili sisi tuokolewe............................
 
Hahaha dogo mama yake Mussa alimnyonyesha ndio na aliishi pale kama ni mfanya kazi wa mtoto tu, lakini nani kamlea na kumpa chakula si mke wa Firauni, yani Musa kalelewa na Firauni sa we unacho bisha nini? Mussa kalelewa nyumba gani kama si ya Firauni sa unacho bisha kipi? Hio ya kujidai kumuita Faraoh nikubadilisha mana yake. Kwanza Firauni si jina lake haswa hilo yeye jina lake ni la utani tu. Jina lake haswa ni Malik Bin Nadras, hilo jina la Firauni alipewa toka zamani. Sababu mama yake alikuwa akimtafuta arudi nyumbani anamkimbia haswa pale kagombana na wenzake. Mana ya Fir ni kakimbia kwa kiarabu na ouni kwa kiarabu hapa. Sa mama yake time akiwa na mtafuta, wale watoto wakawa na sema Firoun yani kisha kimbia hapa. Sa we sijui unaleta hadith za uwongo eti jina lake ni Farouh. Hata hadith na story huijui kwanini alitwa vile. Hebu tupe mana ya Farouh ni lugha gani haswa? Au unataka kusema jina lake Firauni ni Farouh hahaha.


Kuhusu Mtume hajaenda shule kwanini Yesu alienda shule?
Sa sindio ujiuliza mtu ambaye hajaenda shule, vipi akandika Qur'an kama hio, ambayo Mungu anasema hata mjikusanye dunia nzima hamuwezi kushusha sura ndogo kama INA ATWAINAKYA AL KAUTHAR. Hayo mengine ulio andika naona ni pumba tu, hazina mana yoyote ile, sijui hizo hadith mnasimuliwa na Paulo au na nani, au shetani gani, mana hazi exist kabisa.
Musa alipata upendo wa mama vizuri sana, tena aliishi kifalme hakuwa mtumwa.. mwanzo hadi mwisho akaiona mbingu.... SIo muhammad ambaye aliishi maisha magumu akaoa mzee baadaye akaanza maisha ya anasa za dunia mpaka anauwawa.
We kwa akili yako Koran imeandikwa na Mtu Msomi??? Nauliza lakini...
Em tuambie Mtume aliandikaje koran????
penye kijani: em tujuze Mtume aliishushaje Sura ? ilikuwa imening'inia wapi na aliishusha kutokea wapi???

The Koran famously quotes Allah as saying in chapter (sura) 2, verse 256 that there should be ‘no compulsion in religion.' Yet numerous sayings of Mohammed known as hadith which form the basis of Islamic Sharia law quote Mohammed as saying ‘If a Moslem discards his religion, kill him.' So are you telling Moslems that Allah was right but Mohammed was misquoted, and their Sharia law tradition on apostasy is wrong?
 
Yesu akasema kuwa yeye ni muuwaji na ni MNAFIKI!

Mathayo 10: 34.

34-Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.-

35-Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu.


NAULIZA hivi nyie wakristo hii tabia ya kuua waislamu na Kuleta fitina duniani kumbe mliitoa kwa kiongozi wenu sio?

Yule jamaa alikuwa SHETANI MBAYA SANA.

Ndio maana wayahudi wakamuwahi na kumuua kabisa! Angekuwa hai muda mrefu angeleta balaa kubwa sana duniani.
Nyambaff zake kabisa.


ndugu umefanya kosa la kumkufuru roho mtakatifu,Tubu Mungu akusamehe!
bora kukaa kimya kuliko kutukana akupaye pumzi
 
And for those who take heed there is a constant reminder in the verse, "Not a word is said except that there is a watcher by him ready to record it." [Qur'an Soorah Qaf 50:18]
Prophet Muhammad said; "Whoever believes in Allah (God) and the Last Day should speak good or keep silent."
what about those who believe in Prophet muhammad as a true Allah's prophet?

The Koran famously quotes Allah as saying in chapter (sura) 2, verse 256 that there should be ‘no compulsion in religion.' Yet numerous sayings of Mohammed known as hadith which form the basis of Islamic Sharia law quote Mohammed as saying ‘If a Moslem discards his religion, kill him.' So are you telling Moslems that Allah was right but Mohammed was misquoted, and their Sharia law tradition on apostasy is wrong?
 
Adiosamigo


Nimesikitishwa sana kuona kuwa unakataa yote na kukubali hili la Mtume Kulogwa peke yake!! Nimesikitishwa kwakuwa unakila dalili za kuendeleza ubishi badala a kujadili kilicho cha kweli. NA wakati mwingine kuweka ushahidi hapa inakuwa kama kuzodoana, ni heri ukakubali kuwa yale niliyoyaweka hapa situngi ya kwangu bali yapo kwenye iman yenu. Wakati haya yote nimeyaainisha hapa nimetoa kwenye Korani na baadhi ya HAdithi.. Anyway...Labda Unikumbushe kwenye Bibilia ni wapi umewahi kuona nabii ama mtume ama mwamuzi Kalogwa kamailivyo kwa Mtume?
Wewe dogo unataka nikubali ujinga wako wakati uislam hauendi kabisa na hayo maneno. Kabla sijavamia point zote ni anze naile ya kusema Mtume alisex na wake zake wakati wako kwenye hedhi yani damu za mwezi. Hio hata mtoto wa kislam atakucheka asiye kuwa ana elimu, hayo mengine pia yote ulio sema ni uwongo. Tatizo lako wewe unachukia uwongo wa wakristo wanao poteza watu wasuijue ukweli wa uislam mnauweka hapo. Hakuna uislam unao sema usex na mke wako kwenye hedhi, sa vipi ifikie Mtume wao afanye yale?

KWanza hii ni dalili kuwa husomi Koran wala hadithi. NA kama unasoma umekua ukikatazwa kuona shaka yale yalio ODD kwenye mtazamo wako. Ukidhani unatakiwa uyakubali tu kwakuwa yameandikwa.. Bibilia inasema Mti Mwema hujulikana kwa matunda yake..na Koran inasema Ukiwa na shaka waulize waliopewa kitabu kwanza.. sisemi haya kwa majivuno bali Nakushauri Usiufiche ufunguo wa Maarifa kwakuwa Umefundishwa kutokuona shaka penye shaka!! Afterall wewe ni msomi kuliko Muhammad mwenyewe. angalau unajua kusoma na kuandika kitu ambacho Muhammad hakujaaliwa nacho. If you realy want change you better change on how you think.........word?
Tatizo sio mimi tatizo ni wewe una copy Qur'an inaongelea kingine na mna copy fake hadith ambazo hazi exist kwenye usilam. Tatizo lenu nyie hamna dini sa mnataka wote tuwe hatuna dini? Nimekuliza wewe ukristo nani kauleta, Je ni Mungu? Kama ndio wapi unaushahidi? Kama ni Yesu, wapi ushahidi? Kama ni wao ndio wameuleta dalili ziko wapi? Nimekupa dalili Yesu anakataa kuwa yeye si Mkristo na hataki watu wamuite yeye ni kristo, sa kama hutaki kumsikia Yesu utamasikia nani?


KWanza stori ya Abraham ni complex majibu yako yanahihirisha wewe ni novice kwenye hiki kitengo cha imani..
Jaribu kufahamu mazingira ya Abraham na tamaduni zake naamini utajifunza kitu kipya. Wajudea wenyewe hawaamini hicho mnachoamini cha kuadhimisha hija ya kumsifu allah na abraham kwa kitendo cha kumfukuza shetani aliyejaribu kuokoa maisha ya ishmael. Hivi umewahi kufahamu chochote kuhusu aya za shetani na ninini hasa kimo ndani yake
Mimi najua wewe hujui chochote kuhusu Mtume Ibrahim ndio sababu ukapotea, wakristo mnasema Ibrahim alizini? Kuna Mtume ana zini? Wakristo Mnasema Ismael si mtoto wa kwanza wa Ibrahim, wakati Bibilia zenu zina mkiri ni mtoto wake wa kwanza. Tatizo lenu kama anavyo sema Mungu, mnadalili gani kama Ibrahim alikuwa mkristo au myahudi? Hamna.

Kuhusu Musa hakuna mahali Musa alivaa pete , hirizi wala kutumia majini katika kufanya muujiza ule bali alimtumainia Mungu peke yake ambaye alimruhusu kushika fimbo.. Inashangaza kuona unajaribu kulinganisha visiyolingana. Yani wachawi wanaomtegemea shetani na majini yake na Musa anayemtegemea Mungu. Swali Je kuna andiko lolote linaloonyesha kuwa Mashetani yalivutiwa na torati ya Musa ama amri kumi za mungu alizokujanazo MUSa kama ambavyo mashetani yalivyovutiwa na koran ya Mtume??
Mimi navyo jua hata mchawi hawezi kufanya kitu bila amri ya Mungu, lazima ujuwe mchawi hana nguvu bila Mungu kumjalia afanikiwe, Shetani hana nguvu bila ya kupewa nguvu na Mungu? Lazima wewe dogo ufahamu hata shetani bila Mungu hawezi kufanya kitu, kumbuka shetani kaumbwa na Mungu. We unadhani shetani kaumbwa na na nani?Si ndio nikisema wewe huna kitu na haufahamu kitu unabisha. Hivi wewe akilini kwako Firauni angefanya aliyo yafanya kama Mungu hakutaka ayafanye? Mungu angetaka kummaliza Firauni hamhitajii Prophet Mussa wala mtu yoyote yule. Hivi we hujui shetani alimuomba Mungu ampe nafasi mpaka siku ya malipo, yani kiama ndio apewe adhabu yake? Na Mungu akampa chance na akasema utawapoteza wajinga tu, ndio wewe wa kwanza kakupoteza kwa kusema Yesu ni Mungu.
JE kuna andiko kwenye Bibilia ama Koran linaloonyesha mashetani yaliipenda Injili ya yesu kama yalivyoipenda korani? Swali kwanini KOran???????????????????????????????????
Mimi huwa nashangaa wapi shetani kaipenda Qur'an unaweza kutuonyesha dalili? Majini kuipenda Qur'an wapo sababu kuna majini waislam na hata nimeisha kuambia Mungu Alisha umba Majini na Binadamu sa wewe unadhani wote Majini ni mashetani? Na wewe unadhani Mungu anawachukia Majini? Angekuw ana wachukia Majini asinge mpa shetani na fasi ya kuwa karibu na malaika zake wanne. Na akifikiwa mpaa kuonekana kama malaika. Tatizo lako huna elimu sababu ukristo hauna mbele wala nyuma hamjui, mko wapi, na mnaenda wapi na mmefika wapi. Kama unadhani Majini wote ni wa motoni na binadamu wote ni wa motoni unajidanganya. Majini waislam na binadam waislam ndio wanaenda peponi. Na majini makafiri kama nyie wakristo mnaenda motoni tu, na shetani ndio kiongozi wenu.

Unashuhudia uongo ama unajaribu kutumia matamshi yakukebehi.HAtusemi Yesu ametekwa na shetani. Jaribu angalau kumpenda YEsu japo kidogo usiwe kama majini na mapepo yanavyomchukia YEsu asiye na dhambi. Nadhani Yesu hakutekwa na shetani, bali Shetani alikuja kumjaribu Yesu akashindwa. Na ufahamu alimjaribu akiwa katika mwili wa kibinadamu tena akiwa na njaa. Mara nyingi njaa inaweza kumbadili mtu misimamo.
Sa kati ya mimi na wewe nani anaye mchukia Yesu? Mimi na mheshmu na waislam wote tuna mheshimu, sisi tuna jua Yesu alikuwa Mtume wa Mungu? Nyie ndio mmemzulia mkasema ana lanaa, na alikufa kwa sababu ya madhambi zenu, nyie mkamtungia kama yeye ni Mungu wakati hajasema. Yesu kasema kwa kauli yake hakutumwa isipokuwa kwa kondoo tu wa kiyahudi? Hivi wewe ni myahudi? Na hivi mtu aliye tumwa anaweza kuwa Boss? Sa vipi mtu aliye tumwa na Mungu awe Mungu?
hata Adam na Eva walijaribiwa na shetani wakashindwa lakini Yesu akamshinda Shetani. Yesu hakuwa na dhambi alifufua wafu na atakuja kuhukumu ulimwengu. Na hapa kuna hoja ya kitheolojia ya kwanini Yesu anajiita mwana wa Adam. Fikiri tofauti kidogo...
Kumbe dogo akilini huna hivi. Adam alishindwa vipi na shetani wakati anaenda peponi? Mtu anaye shindwa na shetani hafiki peponi? Na wewe akili zako Mungu angetaka shetani amshinde Yesu unadhani Angeshindwa kufanya hayo? Sijawahi kusikia shetani alimshinda Mtume Muhammad au kumsogelea kabisa. Sa nani ni bora hapo Mtume Muhammad au Yesu? Mana shetani hajawahi hata kumsogelea alivyo kuwa anamuogopa Mtume Muhammad. Yesu alijaribiwa na Adam alidangywa au uwongo?
 
Ishmael wakristo mnasali kwa siku mara ngapi? Au mungu wenu anawasikia siku ya Juma pili tu? Tena ni nusu siku tu, afu mnajitongoza humo humo kanisani time mnasali hahaha. Ndio mana kila kukicha tunasikia kanisani ushoga, mke wa mtu kakutwa na mchungaji ana tolewa pepo kitandani tena yuko uchi kabisa. Dini yenu ni balaa tupu hata shetani anawashangaa aisay.

We pray everyday, anytime, anyplace. Our God is omnipresent, not like Allah who is only available/resides in Makkah where you guys face while worshiping him.
 
Unajua Kafiri yyt bongo yake Inakuwa contaminated na Uharo wa Nguruwe na inakuwa ni vigumu sana kumuelekeza.
Na mara nyingine hufanya vitu akidhani ni vya maana kumbe ni Balaa tupu!
Mfano hai ni yule kafiri wa Msalabani.
Jamaa kaamua kujiua eti watu wengine waselebuke tu.
Yaani watu nyie mambulula wa ajabu. Subirini moto wa Jahannam tu.
Hii kityu imekuharibu akili weye kafir wa kifirist.
9800603.jpg


hqdefault.jpg
 
Musa alipata upendo wa mama vizuri sana, tena aliishi kifalme hakuwa mtumwa.. mwanzo hadi mwisho akaiona mbingu.... SIo muhammad ambaye aliishi maisha magumu akaoa mzee baadaye akaanza maisha ya anasa za dunia mpaka anauwawa.
We kwa akili yako Koran imeandikwa na Mtu Msomi??? Nauliza lakini...
Em tuambie Mtume aliandikaje koran????
penye kijani: em tujuze Mtume aliishushaje Sura ? ilikuwa imening'inia wapi na aliishusha kutokea wapi???

The Koran famously quotes Allah as saying in chapter (sura) 2, verse 256 that there should be ‘no compulsion in religion.' Yet numerous sayings of Mohammed known as hadith which form the basis of Islamic Sharia law quote Mohammed as saying ‘If a Moslem discards his religion, kill him.' So are you telling Moslems that Allah was right but Mohammed was misquoted, and their Sharia law tradition on apostasy is wrong?
Dogo sa mbona unakimbia swali, Mussa alilewa kwenye nyumba ya baba yake au ya Firauni? Full stop. usilete hadith nyingi, tumeisha choka. Sababu we ndio ulianza Muhammad hajalelewa na baba yake? Sa Prophet Mussa mbona hajalelewa na baba yake?
Prophet Muhammad, did not write the Qur'an. He was not able to do so, because he was illiterate. He could neither read nor write and there are many who attested to this fact. The Qur'an came down to Prophet Muhammad, from Almighty God (Allah) by way of the angel Gabriel and then it was memorized by him and he then in turn, would teach it orally to his companions.
 
what about those who believe in Prophet muhammad as a true Allah's prophet?

The Koran famously quotes Allah as saying in chapter (sura) 2, verse 256 that there should be ‘no compulsion in religion.' Yet numerous sayings of Mohammed known as hadith which form the basis of Islamic Sharia law quote Mohammed as saying ‘If a Moslem discards his religion, kill him.' So are you telling Moslems that Allah was right but Mohammed was misquoted, and their Sharia law tradition on apostasy is wrong?
Let us look at Qur'an Verse 2:256 "Let there be no compulsion in religion: Truth stands out clear from error: whoever rejects evil and believes in Allah hath grasped the most trustworthy handhold, that never breaks. And Allah heareth and knoweth all things." The Holy Quran prohibits Muslims to force any person into Islam. Muslims must not let people resent Islam and Muslims. They must leave people decide for themselves because the "Truth stands out clear from error" (Qur'an 2:256). Compulsion is incompatible with religion: Because (1) religion depends upon faith and will, and these would be meaningless by force; (2) Truth and Error have been so clearly shown up by the mercy of Allah Almighty that there should be no doubt in the minds of any persons of good will as to the fundamentals of faith; (3) Allah Almighty's protection is continuous, and His Plan is always to lead us from the depths of darkness into the clearest light. Let us look at Qur'an verse 3:72 "A section of the People of the Book (Jews and Christians) say: Believe in the morning what is revealed to the believers (Muslims), but reject it at the end of the day; perchance they may (themselves) turn back (from Islam)." To protect Islam from such Satanic attempts done by a group of the people of the book (Jews and Christians), Prophet Mohammed peace be upon him ordered the death of those who enter Islam and leave it. This temporary law that was put by our Prophet had stopped the hypocrites from the People of the Book who carried so much hatred toward Islam to enter Islam and desert it afterwards.
 
We pray everyday, anytime, anyplace. Our God is omnipresent, not like Allah who is only available/resides in Makkah where you guys face while worshiping him.
I see, Congrats; Many Christians think all that's required of them is to go to church. BTW; I thought, they go there to spend time, to meet others. Mhhm, you don't have to go every Sunday as long as you don't sin, right?
 
I see, Congrats; Many Christians think all that's required of them is to go to church. BTW; I thought, they go there to spend time, to meet others. Mhhm, you don't have to go every Sunday as long as you don't sin, right?
God is everywhere, which is one of His attribute. You know that Allah is not omnipresent.
Acts 2:46
And they,
continuing daily with one accord in the temple, and breaking bread from house to house, did eat their meat with gladness and singleness of heart,
 
Let us look at Qur'an Verse 2:256 "Let there be no compulsion in religion: Truth stands out clear from error: whoever rejects evil and believes in Allah hath grasped the most trustworthy handhold, that never breaks. And Allah heareth and knoweth all things." The Holy Quran prohibits Muslims to force any person into Islam. Muslims must not let people resent Islam and Muslims. They must leave people decide for themselves because the "Truth stands out clear from error" (Qur'an 2:256). Compulsion is incompatible with religion: Because (1) religion depends upon faith and will, and these would be meaningless by force; (2) Truth and Error have been so clearly shown up by the mercy of Allah Almighty that there should be no doubt in the minds of any persons of good will as to the fundamentals of faith; (3) Allah Almighty's protection is continuous, and His Plan is always to lead us from the depths of darkness into the clearest light. Let us look at Qur'an verse 3:72 "A section of the People of the Book (Jews and Christians) say: Believe in the morning what is revealed to the believers (Muslims), but reject it at the end of the day; perchance they may (themselves) turn back (from Islam)." To protect Islam from such Satanic attempts done by a group of the people of the book (Jews and Christians), Prophet Mohammed peace be upon him ordered the death of those who enter Islam and leave it. This temporary law that was put by our Prophet had stopped the hypocrites from the People of the Book who carried so much hatred toward Islam to enter Islam and desert it afterwards.

"No compulsion in religion"? It is a joke.It means no compulsion in other religions ,but when it comes to islam you are stuck with it ,there is no way out. It is like HIV that there is no cure,no redemption.. It is deception to sweet talk someone into embracing islam and there hold in vice-like grip that the only way out is "death".It is worse than any mafia manual!
 
Let us look at Qur'an Verse 2:256 "Let there be no compulsion in religion: Truth stands out clear from error: whoever rejects evil and believes in Allah hath grasped the most trustworthy handhold, that never breaks. And Allah heareth and knoweth all things." T
Forced Conversion

Muslims are commanded to fight unbelievers until they are either dead, converted to Islam, or in a permanent state of subjugation under Muslim domination. Allowing people of other faiths to live and worship independently of Islamic rule is not an option.

Quran Exhibits:
Qur'an (8:39) - "And fight them until there is no more Fitnah (disbelief and polytheism: i.e. worshipping others besides Allah) and the religion (worship) will all be for Allah Alone [in the whole of the world ]. But if they cease (worshipping others besides Allah), then certainly, Allah is All-Seer of what they do." Translation from the Noble Quran

Qur'an (9:29) - "Fight those who believe not in Allah nor the Last Day, nor hold that forbidden which hath been forbidden by Allah and His Messenger, nor acknowledge the religion of Truth, (even if they are) of the People of the Book, until they pay the Jizya with willing submission, and feel themselves subdued." Suras 9 and 5 are the last "revelations" that Muhammad handed down - hence abrogating what came before, which includes the oft-quoted verse 2:256 -"Let there be no compulsion in religion...".


Hadith Exhibits
Sahih Muslim (1:33) The Messenger of Allah said: "I have been commanded to fight against people till they testify that there is no god but Allah, that Muhammad is the messenger of Allah, and they establish prayer and pay zakat." The first part of this condition is the Shahada, or profession of faith in Islam. Violence is sanctioned until the victims embrace Muhammad's religion.

Sahih Muslim (19:4294) - "When you meet your enemies who are polytheists (which includes Christians), invite them to three courses of action. If they respond to any one of these, you also accept it and withhold yourself from doing them any harm. Invite them to (accept) Islam; if they respond to you, accept it from them and desist from fighting against them ... If they refuse to accept Islam, demand from them the Jizya. If they agree to pay, accept it from them and hold off your hands. If they refuse to pay the tax, seek Allah's help and fight them" Osama bin Laden echoes this order from his prophet: "Does Islam, or does it not, force people by the power of the sword to submit to its authority corporeally if not spiritually? Yes. There are only three choices in Islam … . Either submit, or live under the suzerainty of Islam, or die." (source: The al-Qaeda Reader p. 19-20)

Muhammad said: 'Proceed on and do not look about until Allah grants you victory', and Ali went a bit and then halted and did not look about and then said in a loud voice: 'Allah's Messenger, on what issue should I fight with the people?' Thereupon he (the Prophet) said: 'Fight with them until they bear testimony to the fact that there is no god but Allah and Muhammad is his Messenger' (Sahih Muslim 31:5917)
 
Sisi dini yetu ni ya ukweli haijatungwa na mzungu haibadiliki na haitobadilika hatuhitaji siasa kwasababu imekamilika, angalia wazungu wanavyoweweseka na uislam , kila kukicha wanatafuta jinsi ya kuleta propaganda, ndio maana dunia nzima ukienda wote tuna quraan moja tu, na tuna mafundisho yaliyojitosheleza kila eneo ndoa, mirathi nk, kazi kwenu makafir
Hizo propaganda zenu hazitusumbui, endeleeni kula mangurue yenu na kulawitiana hadi makanisani , hayo hayatuhusu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom