Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Sa hapo ndio mnaniwacha hoi yani kila aliye andika hadith za Mtume Muhammad, akiwa ana jina la kislam basi yuko sawa hawezi kuwa kakosea. Hivi elimu watu wanasoma mara moja basi, hawachunguzi wanacho soma kiko sawa au fake? Yani mwalimu wako shule akisema 1+1+1=1 we ukubali tu, sababu ni mwalimu sio. Hivi kijana uliwahi kusoma kwenye bibilia yenu inasema hivi kwa kizungu; The Prophet who will come from the lands and "tents of Kedar" and "lands of Teman". Kedar and Teman (also called "Tema" in the Bible) are two of Ishmael's sons: Genesis 25:13-15. Hebu kasome ujuwe huyo Mtume ambaye kila Mmoja alikuwa anamgojea kama si Mtume Muhammad. Afu ukienda kusoam kitabu cha Matthew utaona hivi kwenye New Testament, Yesus anasema hivi kuambia Mayahudi: "So [For this reason; Therefore] I tell you that the kingdom of God will be taken away from you and given to people [a nation] who do the things God wants in his kingdom [will produce its fruit]." (Matthew 21:43). Jesus Christ here spoke about foreign people; non-Jews. Jesus was a Jew and was speaking with Jews. Siku njema wahi dogo kabla hujakata roho utajuta kuendelea kuabudu binadamu badala ya Mungu.
Sa hapo ndio mnaniwacha hoi yani kila aliye andika hadith za Mtume Muhammad, akiwa ana jina la kislam basi yuko sawa hawezi kuwa kakosea. Hivi elimu watu wanasoma mara moja basi, hawachunguzi wanacho soma kiko sawa au fake? Yani mwalimu wako shule akisema 1+1+1=1 we ukubali tu, sababu ni mwalimu sio. Hivi kijana uliwahi kusoma kwenye bibilia yenu inasema hivi kwa kizungu; The Prophet who will come from the lands and "tents of Kedar" and "lands of Teman". Kedar and Teman (also called "Tema" in the Bible) are two of Ishmael's sons: Genesis 25:13-15. Hebu kasome ujuwe huyo Mtume ambaye kila Mmoja alikuwa anamgojea kama si Mtume Muhammad. Afu ukienda kusoam kitabu cha Matthew utaona hivi kwenye New Testament, Yesus anasema hivi kuambia Mayahudi: "So [For this reason; Therefore] I tell you that the kingdom of God will be taken away from you and given to people [a nation] who do the things God wants in his kingdom [will produce its fruit]." (Matthew 21:43). Jesus Christ here spoke about foreign people; non-Jews. Jesus was a Jew and was speaking with Jews. Siku njema wahi dogo kabla hujakata roho utajuta kuendelea kuabudu binadamu badala ya Mungu.
O-K, kwanza lazima ufahamu sijaiona hio point yake, sababu kuna wakati na fatilia mengi nayo jibiwa, na yeye kama kanijibu sijaona hio point. Tazama navyo mgaragarza chini hapo .Hayo unayoongelea umejibiwa na Eiyer hapa chini, lakini unajifanya hujaona unarudia kitu kile kile, tena unajitoa akili kabisa, hebu angalia tena hujibu
Dogo we hujui kama mtu akisali anaongea na Mungu? Au wewe unadhani kwenye akili yako mtu akisali anaongea na rafiki zake, au anajisemea mwenyewe kama mwehu? Sa kama tunaweza kuongea na Mungu directly, kwanini atutumie Mitume, IKIWA TUTAFATA POINT ZAKO HAPO. Je watoto wa Adam wote walikuwa Mitume? Sababu waliongea na Mungu? Nvyo fahami mimi ni Seth ndio alikuwa mtume na huyo alikuwa mtoto wa Adam watano, alizaliwa baada ya wale watoto wa Adam, wawili wa kiume mmoja kumua mwenzake. Na nilisahau kidogo kuna history inasem kabla ya Adam kufa alikuwa ameona wajukuu wa wajukuu zake 400,000. Sa vipi asiwe Mtume dogo. We akili yako Adam HAKUONA WAJUKUU ZAKE?By EiyerHujui hata unazungumza nini
Hivi kama Mungu anaweza kuongea na wewe na anafanya hivyo kila siku kuna haja gani Mungu kumtumia mtu mwingine kukufikishia ujumbe wakati yeye mwenyewe anaweza kuongea na wewe na anaongea nawe kila siku?
Ni wapi panaonesha hayo waliyoyafanya Kaini na Abeli walifundishwa na Adam?
Halafu nani kakuambia zaka ni sawa na sadaka?
Sijui nguzo za Uislam ni kitu gani,unaniulizaje hili swali?
Wengi sana na hata mimi natoa ....
Waliwasiliana na Mungu kama wewe unavyowasiliana na dada yako au mama yako,hapo Mungu aliwasiliana nao kwa kuzungumza,Abeli na Kaini walijifunza kuongea kama watoto wengine,unataka kuniambia kuwa utume wa Adam ni wa kuwafundisha akina Abeli kuongea?
Soma hapo juu ....
Kwenye Biblia Adama anatambuliwa kama mzazi wetu wa kwanza na sio zaidi ya hapo,utume mnauleta nyie
Mara nabii Adama mara mtume,yaani hamueleweki ......!
General Bill Cosby , Barakah Lah Fiq Wa Min Amthalakum InshaAllah , mimi na wewe na Jamiii Muslimin tutaingia peponi biidhnLah. Na tuwaombee ndugu zetu wakristo wapate kufata njia ya haki, ni bora tukiwa nao kule peponi, kuliko waende motoni. Hasara kubwa sana wakibaki na ukaidi wao.Captain Adiosamigo maneno yako km RADI! Mashallah!!!
Yanapasua mioyo ya makafiri.
Endelea kutoa Darasa Maalim wangu, mi niko pembeni hapa napata Kahawa na Kashata huku napata Faida ya Bayana zako hizi.
Jazakallahu kheiran fii daaraiyin.
Aljumaatul mubarakah.
Mkuu wa chuo, uzuri wangu mimi nilifundishwa hivi na wazazi wangu. Hata mwalimu awe ana elimu gani kuna siku anaweza kukosea asiye kosea ni Mungu tu. Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy, ni mtu mwenye elimu na sita mfikia hata chembe, lakini kuna sehemu anaweza kukosolewa sababu yeye si Mungu. Kuhusu swali lako la Wraqa Ibn Nawfal huyu alikuwa ni shemeji yake Mtume na alikuwa ni cousin wa mke wake, kwani alifanya ni zaidi ya kumuliza Mtume yule malika ndio kama yule alimuona Mussa? Akamuambia Mtume ningekuwa kijana ningekusapoti sana, kwa sababu ya uzee wangu siwezi kukusaidia kitu. Hapo Warqa alikuwa najua wazi Mitume wote huwa wananadamwa vibaya sana na makafiri, sababu hawataki kuona haki ya Mungu. Kuna lingine kijana leta tuko hapa kwa ajili yako ili uwe mtu wetu wa peponi kama unataka, kama hutaki we ukifika motoni ni call sawa. Takuwa pale peoni na nitakuwa nakuliza hivi, kwa njia ya simu; Umekipata tulicho kuwa tunakusia dunia usikifate.Check sasa unavyotema pumba, hiyo quote usidhani mchekeshaji Bill Cosby hajaiona ameiona ila ametulia tu, yaani unaanza kumbeza na kadhi Sheikh Abdullah Saleh Farsy, kwa ilm gani uliyonayo zaidi yake!?
Haya niambie Waraqa bin Naufal ni nani!?
[h=3]KORAN HAIKUTEREMSHWA KUTOKA KWA ALLAH[/h]Ishmael , nimechunguza sana wewe kazi yako kufanya fujo, we kama unaijua dini yako ongea fact si utuletee ma picture na una copy huku na huku, hata sisi tunaweza kufanya vile lakini tunaongea mambo ya ukweli kuhusu dini mbili tujuwe nani yuko sawa na nani yuko wrong. Nadhani umenifahamu. Una elimu sisi tutaipokea kwa mikono miwili huna kaaa kimya wacha wenye kufahamu dini waongee, na wewe soma ujifunze. BTW wenye akili nadhani watajua dini ipi ni ya ukweli na ipi ya uwongo. Siku njema.
MUHAMMAD SI MTUME WA AMANI - SI MTUME WA MUNGU YOYOTEO-K, kwanza lazima ufahamu sijaiona hio point yake, sababu kuna wakati na fatilia mengi nayo jibiwa, na yeye kama kanijibu sijaona hio point. Tazama navyo mgaragarza chini hapo .
Dogo we hujui kama mtu akisali anaongea na Mungu? Au wewe unadhani kwenye akili yako mtu akisali anaongea na rafiki zake, au anajisemea mwenyewe kama mwehu? Sa kama tunaweza kuongea na Mungu directly, kwanini atutumie Mitume, IKIWA TUTAFATA POINT ZAKO HAPO.
Hapo naona unajisumbua tu, watu wote wanajua Mtume Muhammad alikuwa si Msomi hajasoma, kama vile Yesu alishushiwa kitabu kwa njia ya malaika Gabriel. Hivi we akilini kwako Yesu alishushiwa kitabu au maneno aliyo kuwa akisikia ndio alikuwa akiyazungumza hicho ndio kitabu. Wale wengine walikuwa wakiandika sio Yesu kakiandika. Hebu nipe shule gani Yesu alisoma? Au Wapi Mungu alimshushia Injili directly. Vitabu vya Mungu ni malaika ndio wanazungumza, na Mitume wao wanakwenda kuwambia wafuasi zao na wao ndo wanaandika.KORAN HAIKUTEREMSHWA KUTOKA KWA ALLAH
Je, ungependa kuwafahamu waandishi wa Koran?
Katika somo letu la leo, tutajifunza kuhusu waandishi wa Koran. Je, ni kweli Koran ilishushwa? Je, kuna ushaidi wa kutosha wa kusaidia madai ya kuteremshwa kwa Koran?
Unaposema kuwa Allah ndie mwandishi wa Qur'ani, ni uongo mkubwa sana na wengi wameukubali huu uongo na udanganyifu kwamba eti Koran ilishushwa wakatia inafahamika kuwa iliandikwa miaka 1400AD.
Mtu mwenye fikra anaweza kusema bila ya wasiwasi kuwa Qur'ani iliandikwa na watu kadhaa ambao wanajulikana kimajina. Waandishi Mashuhuri zaidi miongoni mwao ni hawa hapa:
Imrul Qays-mshairi: wa kale wa Arabia ambaye alifariki miaka michache kabla ya kuzaliwa Muhammad
Zayd b. Amr b. Naufal:-'lililopotoka' wa wakati wake ambaye alihubiri na kupandwa Hanifism
Labid:-mshairi mwingine
Hasan b. Thabit:-mshairi rasmi wa Muhammad
Salman: – Mshauri wa Kiajemi wa Muhammad
Bahira:-Nestoraian Mkristo mtawa wa Kanisa huko Syria
Jabr:-Jirani wa Kikristo wa Muhammad
Ibn Qumta:-Mtumwa wa Kikristo
Khadija:-Mke wa kwanza wa Muhammad
Binamu Waraqa:- Ndugu ya Khadija
Ubay b. Katibu Ka'ab;-Muhammad na Mwandishi wake
Muhammad: – Mwenyewe
Hapa chini, nitaandika historia fupi ya baadhi ya waandishi wa Koran. Nitaanza na Bahira ambaye alikuwa ni Mtawa wa Kikrito.
Bahira
Bahira alikuwa Mtawa wa Kikristo wa Nestorian aliyeishi katika Sham (Syria). Jina lake la Kikristo lilikuwa Sergio Georgius. Inaaminika kwamba alifukuzwa kutoka utawa baada ya makosa.
Katika mji wa Makkah, alikutana na Muhammad, akawa karibu sana na yeye na kukaa pamoja naye. Yeye alikuwa na mazungumzo ya siri na Muhammad, ambayo yeye hakika alimwambia Muhammad mambo mengi ya Ukristo. Aya kadhaa katika Qur'an zinazozungumzia Ukristo zilitoka kwa huyu Mtawa Bahira.
Mfano, aya zote za ndani ya Kuran zinazozungumzia kitabu cha Zaburi zilihaririwa na huyu Mtawa Bahira:
4.163 Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.
17: 55. Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.
21:105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.
2:113. Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana.
2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu.
3: 23. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.
*** Quran haina chochote cha zaidi au bora kuliko vitabu vingine. Qur'an, imeandikwa kwa kuibia, kugezea, kupora, kudanganya na / au kupotosha kutoka BIBLIA, kuhalalisha kwamba Watu wa Kitabu wamwamini au kutumia kama mwongozo. ***
Jabr:
Kamusi ya Uislamu (Hughes Kamusi ya Uislamu, p.223) inasema kwamba Jabir alikuwa mmoja wa Ahlu-l-Kitab (Watu wa Kitabu) na alikuwa amesoma vizuri vitabu vya Taurati na Injil (Injili), na hivyo, Muhammad akamtumia sana Jabr katika uandishi wa Quran. Jabr ndiye aliye kuwa anamsomea Taurat na Injil Muhammad kila alipo pita nyumbani kwake. Muhammad alijifunza kutoka kwa Jabr na kuweka Sura katika Quran yenye mahusiano na Wakristo na Wayahudi. Mistari yote inayo mhusu Daudi na Sulemani ilitengenezwa na huyu Jabr. Baadhi ya aya hizo:
Daudi akamuuwa Jaluti ... 2:251
Zaburi alipewa Daudi ... 4:163
Allah ni mbaguzi ; anapendelea baadhi ya Mitume kwa wengine; aliwapa Zaburi Daudi ... 17:55
Allah alishuhudia hukumu ya Daudi na Sulemani ... 21:78
Allah kampa Sulemani uelewo sahihi ; Yeye alifanya milima na ndege kumtumikia Daudi ... 21:79
Allah kamfundisha Daudi ujuzi wa kufanya vita ... 21:80
Kabla ya Qur'an , Mwenyezi ujumbe katika Zaburi ya Daudi ... 21:105
Allahu kampa maarifa ya Daudi na Sulemani ... 27:15
Baba wa Sulemani alikuwa ni Daudi. Sulemani alikuwa mrithi wa Daudi; Suleiman kueleweka hotuba ya ndege wanyama, na mimea ... 27:16
Sulemani alikuwa na mamlaka juu ya majini ; majini na ndege kupigana katika jeshi la Sulemani ... 27:17
Allah kaweka milima chini ya amri ya Daudi; akamfundisha jinsi ya kufanya silaha kutoka chuma ... 34:10-11
Allah alikuwa na kaweka milima , ndege kwa ajili ya huduma ya Daudi na majaliwa yake kwa hekima na mantiki ... 38:18-20
Allah kusamehe dhambi ya Daudi ... 38:25
Allah alimteua Daudi kuwa mtawala juu ya nchi na akampa mamlaka ya kutoa hukumu ya haki na sheria za Mungu na kwa maoni yake binafsi ... 38:26
*** Bila shaka, hadithi/aya zote hapo juu si kutoka BIBLIA lakini walikuwa wamekopia/wamigizia/wameangalizia na kupotosha mafundisho ya baadaye ya Wayahudi na Wakristo ***
Ibn Qumta
Ibn Qumta alikuwa mtumwa wa Kikristo ambaye aliishi katika mji wa Makkah . Muhammad alijifunza kuhusu injili apocryphal ya Ukristo (kama vile : Injili ya Utoto na Injili ya Barnabas ) kutoka kwake. Sura nzima juu ya Maria na kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Sura 19) kiliandikwa na mtumwa huyu wa Kikristo.
Vyanzo kutoka Wakidi , Alphonso Mingana , katika insha yake , Maambukizi ya Koran, Chimbuko la Koran, p.103 , anaandika:
' Mwanahistoria wa kale zaidi, Wakidi , ina sentensi zifuatazo ambazo zilipendekeza na ' Abdallah b. Sad b. Abi Sarh , na mtumwa Mkristo, bin Qumta , walikuwa na kitu cha kufanya katika Koran.
Na bin Abi Sarh akarudi na kusema kwa Makureshi : "Ilikuwa tu Mtumwa wa Kikristo ambaye alikuwa akimfundisha yeye ( Muhammad ); Nilikuwa na kazi ya kuandika na kubadili chochote alichoa taka Mtume Muhammad. " '
Tafadhali kumbuka kwamba Abdallah b. Sad b Abi Sarh alikuwa mwandishi mwaminifu wa Muhammad. Wakati Muhammad anahamia Madina Abdallah na yeye alimfuata. Kila Muhammad alipo kuwa katika maono Abdallah ndiye aliye kuwa mwandishi wa hayo maono. Wakati Abdallah alipendekeza baadhi ya mabadiliko ya Muhammad lisping, Muhammad alikubali kirahisi. Mfano ni wakati Muhammad alikuwa anasema hii aya 23:12-14 .
23.12 Na sisi tulimuumba Mtu kutoka Udongo;
23.13 Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti
23. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.!
Hii hapa ni orodha fupi ya baadhi ya aya katika Qur'an ambazo Muhammad alinakili/ ilibia kutoka vitabu au nakala za Wakristo, Wayahudi, Waarmenia, Wahindu na Majusi (Wazoroastro):
Tayammum ( 04:43 ): Kunakiliwa kutoka kwenye maandiko ya Kiyahudi Talmud.
Kinga ya maisha ndani ya ndege (2:260 , 3:49 , 5:110): Kunakiliwa kutoka vitabu Coptic .
Houris , Azazil (44:54 ): kujifunza kutoka kwa wageni katika Makkah.
Harut amd Marut (2:102 ): Kutoka Muarmeni -vitabu Harut na Marut ni katika udhibiti wa upepo na mvua.
Kiti cha enzi ya Mwenyezi Mungu juu ya maji (11:07 ): Kutoka mapokeo ya Wayahudi
Malik, mtawala wa Jahannamu (43:77): Kutoka Wayahudi. [ Moleki - Mambo ya Walawi 18.21 ; 20.2/3/4/5 , nk]
7 Mbinguni (2:29, 41:12) : Iliyopitishwa kutoka katika maandiko Sanskrit ya Wahindu.
Mariamu kujifungua chini ya shina la mti ( 19:23 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto , apocryphal Mkristo Injili
Mtoto Yesu kuzungumza ( 3:46 , 19:30-31 , 19:33 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto .
Maelezo ya peponi na Kuzimu (kuna aya nyingi - tazama sehemu ya Salman, Kiajemi: Kunakiliwa kutoka Majusi ( Wazoroastro ) na Wahindu.
Yesu si kuuawa , Mwenyezi Mungu akainua Yesu ( 3:55 , 4:157-158 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Barnabas
Hadithi ya Yusufu (Sura 12): Kunakiliwa kutoka Midrash, maandiko ya Kiyahudi.
Hadithi ya Sulemani na Sheba ( 21:78-82 , 27:17-19 , 27:22-23 ): Kunakiliwa kutoka Haggada , Maandiko Wayahudi. [ Wafalme mimi 10.1 ]
Qur'ani ya awali ni agizo katika Mbinguni ( 43:4 , 85:21-22 ): Talmud anasema kuwa Torati ni kibao katika ulinzi wa Mbinguni.
Malaika wa kifo - Azrail au Azazil , Malaku'l Maut ( 6:61 , 7:37, 32:11 ): Iliyopitishwa kutoka Wayahudi na mchawi maandiko ( Zoroastrian ).
WAPAGANI WANASEMA QURAN NI SAWA NA HADITHI ZA KALE
Hapa ni ushahidi wa baadhi ya mistari ya kuchaguliwa kutoka Quran kutuambia kwamba wapagani walikuwa na ufahamu kwamba Muhammad alikuwa anawaambia hadithi ya kale walizokuwa wamesikia kabla ya-Muhammad:
Wasioamini walisema kuwa Quran ni kama hadithi za watu wa kale wa Kipagani ... 08:31
Wasioamini walisema kwamba Aya za Muhammad zilinakiliwa kutoka hadithi za kale ... 16:24
Wapagani wengi walishasiikia hadithi za ufufuo kutoka katika hadithi zamani za Kipagani... 23:83
Makafiri walisema kuwa 'Qur'ani ni hadithi za kale ambazo walisikia kabla ya Muhammad' ... 25:5
Wasioamini walisisitiza kwamba Qur'ani ni hadithi kutoka vitabu vya kale ... 27:68
Wakasema makafiri Quran imejaa visa vya watu wa kale ... 46:17
Wasioamini wanaliziita na kuzifananisha aya za Muhammad na hadithi za kale ... 68:15
HITIMISHO
'Quran' si maandishi ya Mwenyezi Mungu. Mungu mwenye Hekima hawezi kuandika Kitabu chenye Makosa, Utata, kujirudiarudia , makosa ya kimaandiko kama yalivyo jaa kwenye Qur'an yenye muongozo potofu kwa Mwanadamu.
Anomalies zote, utata , MAKOSA YA KIMAANDIKO, upayukaji , KUJIRUDIARUDIA , makosa ya kisarufi na kilugha, Makosa ya Kihistoria, TABIA YA KUPENDEKEZA MAUAJI, HATEMONGERING , WARMONGERING , UBAGUZI , ubaguzi wa rangi na sifa nyingine za mapepo ya Quran kutakufanya kwa urahisi uelewe kuwa Koran si Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtakatifu aliye jaa huruma na rehema angeweza kuandika kitabu cha kishetani kama Qur'an kwa Muhammad .
Inafahamika na wenye Hekima kuwa Muhammad ambaye anadai eti kapewa Koran ni uongo wa wazi kabisa na ndio maana Muhammad akasema alipewa maono na Allah ili kuwafunga Mdomo wale wote ambao wanatia shaka katika Kitabu chake.
Qur'an Nzima ni Maandishi ya Muhammad na imejaa matakwa na fikra zake.
Alter ego
Katika hali halisi, Muhammad, Jibril na Allah ni Mtu mmoja.
Muhammad
Ilikuwa ni Muhammad ndiye aliye anzisha Uislam na baadaye baadhi ya wafuasi wake ambao, 'Kwa jina la Allah' walitengeneza Qur'ani kwa kurekebisha , kurekebisha na kuibia kutoka maandiko mbalimbali na mila ya watu wengine wa wakati huo.
Wafuasi wake waliendelea kutangaza huu udanganyifu wa Muhammad na kuusambaza katika fahamu za binadamu, ili kupata matakwa yao ya kisiasa yenye nia ya kutawala peninsula ya Arabia na baadaye, nchi nyingine za amani.
Koran si Kitabu cha Mungu bali ni maandishi ya Muhammad na marafiki zake.
Katika huduma yake.
Mtume Muhammad hana shida na wewe dogo, yani we umkubali au umktae hauta mpunguzia kitu au kumzidishia kitu. Hizi fujo unazo fanya hapa ni utoto unakusumbua bada ya kuona huna point za kuonyesha ukweli wa dini yako. Tumeisha kuwambia unapo jaribu kuukosoa Uislam huwezi kupata point, sababu hakuna point inayo weza wewe kufanya kuushinda uislam. Aya za Qur'an unazo Quote ni kuruka sura bada ya sura huleti kimpangilio, kuonyesha unaongelea nini, au kukosoa wapi kwenye Qur'an. Leta point ziwe zinafahamika sio una Quote hujui una Quote nini au Qur'an inaongelea nini.MUHAMMAD SI MTUME WA AMANI - SI MTUME WA MUNGU YOYOTE
Baada ya kufanya utafiti wa makini wa Quran na maisha ya Muham-mad nimegundua kutwa Marehemu Muham-mad ahakuwai ongea na Allah wala Mjumbe yeyote yule kutoka kwa Allah na hakuwa na Ufuno wowote ule kutoka kwa Mungu, kama alivyo dai kwenye Koran ya Jibril.
(Sahih al-Bukhari, Volume 9, Book 93, Number 477)
Amehadithia Masruq:
Mimi nilimuuliza 'Aisha, "O Mama! Je Mtume Muhammad aliwai kumuona Bwana wake?" Aisha akasema, "Kile umesema hufanya nywele yangu kusimama juu ya mwisho kujua kwamba kama mtu atakwambia moja ya mambo matatu yafuataho, HUYO NI MUONGO!. Yeyote atakayekwambia kwamba Muhammad alimwona Bwana wake, NI MWONGO"
Quran 2:191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.
Quran 2:193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Allah tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu.
Quran 2:216. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui.
Muham-mad alimzulia Allah na akamgeuza kuwa mungu wa makosa ya jinai na kujipa nguvu ya kisiasa kwa ajili yake mwenyewe na kutumia mafundisho yake alifanya ya kutungwa, inadaiwa alipokea ujumbe huu kutoka kwa Mungu Bandia, kama ambavyo wanazuoni walivyo halalisha ujangiri huu wa kidini na kisheria kwa ajili ya uhalifu wake. Allah aliishi ndani ya mawazo ya Muham-mad, lakini hakukuwa na kitu kama Mungu aitwaye Allah. Muhammad na Allah ni mtu mmoja na au kitu kilekile.
Quran 9:14. Piganeni nao, Allah awaadhibu kwa mikono yenu, na awahizi na akunusuruni muwashinde, na avipoze vifua vya kaumu ya Waumini
Quran 47:35. Basi msiregee na kutaka suluhu, maana nyinyi ndio mtakao shinda. Na Mwenyezi Mungu yu pamoja nanyi, wala hatakunyimeni malipo ya vitendo vyenu.
Kama alivyo dai kwenye Koran yake Bandia, Muhammad alifanya udanganyifu, alitesa watu, alifanya mauaji kwa watu wasio na hatia, mauaji ya watoto, mauaji ya akina mama, uporaji, wizi, utumwa na ubakaji na kuvifanya kuwa ni hala na (kisheria), kustahili ya peponi, kama muda wao walikuwa unaofanywa juu ya makafiri. Mafundisho haya mabaya na ya kishetani yakaingizwa kwenye Koran yake na kuwa sheria ya milele ya Allah mpinga Mungu. Muhammad hakuwa Mtume wa Mungu bali alikuwa mtenda dhambi na mwenye makosa ya Jinai.
[/FONT][/COLOR]
Mtu ambaye amesha kufa atakuwaje na shida na mtu ambaye yupo hai? Jamaa yenu yupo hapa:Mtume Muhammad hana shida na wewe dogo, yani we umkubali au umktae hauta mpunguzia kitu au kumzidishia kitu. Hizi fujo unazo fanya hapa ni utoto unakusumbua bada ya kuona huna point za kuonyesha ukweli wa dini yako. Tumeisha kuwambia unapo jaribu kuukosoa Uislam huwezi kupata point, sababu hakuna point inayo weza wewe kufanya kuushinda uislam. Aya za Qur'an unazo Quote ni kuruka sura bada ya sura huleti kimpangilio, kuonyesha unaongelea nini, au kukosoa wapi kwenye Qur'an. Leta point ziwe zinafahamika sio una Quote hujui una Quote nini au Qur'an inaongelea nini.
Teyari umesha salimu amri. Nilikwambia, nyie hamana chenu duniani na after life. Hata Quran mnakopia halafu mnadai eti imeteremshwa. Hili iliteremshwa katika umbo gani na Muhammad aliipokeaje?Hapo naona unajisumbua tu, watu wote wanajua Mtume Muhammad alikuwa si Msomi hajasoma, kama vile Yesu alishushiwa kitabu kwa njia ya malaika Gabriel. Hivi we akilini kwako Yesu alishushiwa kitabu au maneno aliyo kuwa akisikia ndio alikuwa akiyazungumza hicho ndio kitabu. Wale wengine walikuwa wakiandika sio Yesu kakiandika. Hebu nipe shule gani Yesu alisoma? Au Wapi Mungu alimshushia Injili directly. Vitabu vya Mungu ni malaika ndio wanazungumza, na Mitume wao wanakwenda kuwambia wafuasi zao na wao ndo wanaandika.
ALLAH NA MUHAMMAD WARUHUSU UMALAYA KWA KUPITIA NDOA YA MUT'AHHuyu mchungaji mwingine anadai Roho mtakatifu aliingia kwenye dushelele lake ikabidi atafune mwana kondoo ili amridhishe roho mtakatifu!
Na yale majimaji yanayotoka kwenye nanihii yake anayaita MAZIWA MATAKATIFU!
Pastor Claims ‘Holy Spirit' Came Through His Penis[/h]
for more on this story, click HERE
Mkuu wa chuo, uzuri wangu mimi nilifundishwa hivi na wazazi wangu. Hata mwalimu awe ana elimu gani kuna siku anaweza kukosea asiye kosea ni Mungu tu. Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy, ni mtu mwenye elimu na sita mfikia hata chembe, lakini kuna sehemu anaweza kukosolewa sababu yeye si Mungu. Kuhusu swali lako la Wraqa Ibn Nawfal huyu alikuwa ni shemeji yake Mtume na alikuwa ni cousin wa mke wake, kwani alifanya ni zaidi ya kumuliza Mtume yule malika ndio kama yule alimuona Mussa? Akamuambia Mtume ningekuwa kijana ningekusapoti sana, kwa sababu ya uzee wangu siwezi kukusaidia kitu. Hapo Warqa alikuwa najua wazi Mitume wote huwa wananadamwa vibaya sana na makafiri, sababu hawataki kuona haki ya Mungu. Kuna lingine kijana leta tuko hapa kwa ajili yako ili uwe mtu wetu wa peponi kama unataka, kama hutaki we ukifika motoni ni call sawa. Takuwa pale peoni na nitakuwa nakuliza hivi, kwa njia ya simu; Umekipata tulicho kuwa tunakusia dunia usikifate.
ALLAH NA MUHAMMAD WARUHUSU UMALAYA KWA KUPITIA 82fNDOA YA MUTAH
[h=3]NANI ANAPOTOSHA WATU ILI WAENDE JEHANNAM, ALLAH AU SHETANI?[/h]